Fungua jicho la tatu

We jamaa ni kiazi! Naamimi hata hilo jicho la tatu unalozngumzia ni tundu ya haja! Aliyefunguka hawezi andika upupu wa dizaini hii
 
Hakuna kitu hapo... Imejitosheleza kivipi, mbona waarabu sio wavumbuzi wakati kitabu kimejitosheleza

Wagunduzi wengi ni wagiriki... Ambao kimsingi ni wakristo
😅😅😅Unajaribu kutetea kabisa
 
Nyie wemyewe si ndio uwa mnatwambia uarabu sio uislamu... sasa mbona leo naongelea waarabu wewe unaanza kusema naongelea uislamu... Nimekuuuliza kwa hiyo uarabu ni uislamu
Mwanaume gani hauna msimamo na umetaja waarabu hapo .!! Unataka nikuonyeshe ?

Kusoma sijui kutoendelea mbona chuki kibao kwa vitu vidogo.
 
Wewe ndio unanipakazia chuki ya udini ila mimi sijazungumzia uislamu nimezungumzia uarabu na waarabu ambao kimsingi wapo waarabu wakristo

Hii ndio sababu na ulichoandika ni upupu mtupu ,hizo nchi zina wageni wengi kaangalie rate ya kule Qatar katika ya wenyeji na wageni.
 
Title ya mada kitu kingine habari ndani mambo yakufilana,
Kona kona nyingi badala ya kuzungumzia ulichokiweka kwenye title, ama Kuna uhusiano kati ya hivyo vitu viwili?
 
Oya we mzee lete mada mezani achana na hao wa njiani
 
Mungu hayupo.

Dini ni utamaduni wa jamii husika.

Waafrika walipumbazwa wakaacha utamaduni wao na dini zao wakarithi zile za waarabu na wazungu.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mungu yupo, maelezo yako yenyewe yamekubali halafu wewe ukakataa, umesema waafrika wameambukizwa dini na wazungu, afu wakaacha dini yao, Sasa hiyo dini au Imani halisi ya mwafrika kabla ya mzungu unamaanisha haikumuhusisha Mungu
 
Mkuu hebu tuendelee na jicho letu la tatu , achana na hawa waislamu wao wanatumia hisia badala ya akili, ili uyaelewe haya mambo lazima utoke kwenye zone za Imani za dini kwanza.
 
We MPUMBAVU nimesoma madudu yako na binafsi najilaumu sana!

Naona target yako ilikuwa ni kuiponda dini moja kiaina na kutaka kuonesha kwamba haina maana isipokuwa nyingine ndo dini Kinara.

Wahaya hamuishagi mashauzi na ujuaji!

HOVYO KABISA!

WaHaya na ubaguzi wa Dini ni vitu viwili tofauti.

Mleta mada ana matatizo yake binafsi, yasihusishwe na kabila la WaHaya.
 
WaHaya na ubaguzi wa Dini ni vitu viwili tofauti.

Mleta mada ana matatizo yake binafsi, yasihusishwe na kabila la WaHaya.
Soma tena utaelewa.. sikusema "Wahaya ni wabaguzi na wana udin"
Nilichokilenga ni wahaya wana mashauzi na ujuaji katika kila kitu... hata wasiyoyajua watayaongea mwishowe wanajikuta wanayalulunganya na kuonekana mazwazwa mbele ya maguberi wenyewe wenye kujua mambo na kuelewa

soma tena utaelewa
 


Sawa Nimekuelewa.


Lakini tambua ya kuwa Tabia ya mtu haijengwi na kabila lake pekee tena kwa sasa ambapo kuna muingiliano mkubwa sana wa makabila tofauti nchi nzima.


Mleta mada kwa kujiita Mhaya hakumpi status ya kuwa kiwakilishi cha WaHaya wote katika jambo lolote.
 
Usimchanganye Mungu na Injili. Sisi wapagani hatujui juu ya injili. Wala juu ya biblia, wala juu ya Yesu au Mtume Mohammad S.A.W.
Lakini tunaamini juu ya uwepo wa Mungu. Tunamwabudu kwa namna tofauti tofauti. Lakini kikubwa tunaamini Mungu yupo. Kwa sisi wapagani tunaamini kwa yeye ndio mpaji wa mali na bahati. Tunaamini juu ya ulinzi wake dhidi ya magonjwa na mabalaa.
Tunaamini juu ya kukasirika kwake pale tunapozidisha makosa au tunapofanya makosa makubwa kama kuua.
Tunaamini juu ya kuleta kwake baraka ya mvua, jua na mwezi.
Kwa hiyo Mungu asichanganywe kwenye maneno ya watu ya kwenye vitabu.
Na wapagani wengi hatujui kusoma kabisa au tunajua kidogo na hatutilii maanani kusoma. Sisi tunaamini tu na kumuabudu Mungu katika namna mbali mbali zikiwepo sadaka za kuteketezwa.
 
Ahsante ndugu! Nimekuelewa pia 🙏🏾
 
Sheikh we fungua tu jicho lako la tatu Muarab niko hapa. [emoji39]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…