Sasa hapo kwenye kupiga goti ni mtihani mwingine wifi yanguNdo nakusubiri ufike, kuna wakina bibi wa kisukuma hapa wako tayari kukueleza vizuri, uanze na ku practice kupiga goti mpaka chini usije shangaza wasukuma bure maana nyie hamnaga mambo ya kupiga goti. 🙂
Hivi unajua kulipiga hilo goti?Magoti tena, si atapitiliza adondoke huyu!
Sasa hapa itabidi Kiranga anichukue tukaishi US niepuke hayo mambo ya magoti jamaniTehe! 😀😀😀😀😀
Jamani atoto usimtishe buana, halafu sijui ataweza kweli, unajua magoti ya kisukuma ni yale ya kwenda mpaka chini kabisa karibu uguse floor. Sasa mchaga huyu itabidi aanze kujifunza sarakasi kabsa!
CC Valentina
Bado unalipiga sasa?Really?!, hahahaaa pole zako mbona!
Mwenzio goti lilikuwa kama vile kunywa maji, yaani mpaka shule walikuwa wananishangaa...lol
Mie tena!! Kama kawa.Hivi unajua kulipiga hilo goti?
Mmh we huo upole umeanza lini mwenzetu?Huyo sasa hata hakuwa mkorofi, komesha yangu alikuwa mzaa baba, yule ndio mie copy kabisa, maana baba na mama wote wapoleeeee(kama mimi)
Teh "kupatwa" kwa upoleMmh we huo upole umeanza lini mwenzetu?
Kwakweli hii ni kupatwa mana si kawaidaTeh "kupatwa" kwa upole
Vale sie Wasukuma wa US magoti is optional, ila ukienda nyumbani Mwanza kuna wazee hawajui hilo itabidi ujifunze tu.Sasa hapa itabidi Kiranga anichukue tukaishi US niepuke hayo mambo ya magoti jamani
Ha haa wazee wa nyumbani itabidi tuwasalimie kwa Skype jamani...Vale sie Wasukuma wa US magoti is optional, ila ukienda nyumbani Mwanza kuna wazee hawajui hilo itabidi ujifunze tu.
Huko ukisikia "Ong'wanike kotuja, tujaga mayooo" ujue mzee anadai kupigiwa magoti.
Mmh we huo upole umeanza lini mwenzetu?
[emoji57] [emoji57] [emoji57]Teh "kupatwa" kwa upole
Sasa hapo kwenye kupiga goti ni mtihani mwingine wifi yangu
Bado unalipiga sasa?
mimi Valentina japo na huyu miss chagga ingawa wanapenda pesa hawaa
Sasa ntapigaje goti mbele ya kioo jamani! Hao wazee watakua wakoloni sasa chaHahaha, eti utasalimia kwa Skype watakuwa hawakuoni eti 🙂
Hebu jifunze huko bwana we!! Tusisahau tamaduni zetu bwana, mie napenda nikimuona mtu anapiga hoti acha tu.Sasa ntapigaje goti mbele ya kioo jamani! Hao wazee watakua wakoloni sasa cha
Ha haa sijui nighairiHebu jifunze huko bwana we!! Tusisahau tamaduni zetu bwana, mie napenda nikimuona mtu anapiga hoti acha tu.
Kwamba ughairi kisa kupiga goti!! Mfyuuuuu!Ha haa sijui nighairi
Uliza kama nina ujanja huo sasa tehKwamba ughairi kisa kupiga goti!! Mfyuuuuu!
Hata haujawaonja ila umekufa ukaoza!! Ngoja ujiwekee matarajio makubwa alafu uje ukute, yaliyomo hayamo.Uliza kama nina ujanja huo sasa teh