Funguka mwanamke unaempenda humu JamiiForums

Funguka mwanamke unaempenda humu JamiiForums

He hee halafu hakunijibu

We kui hebu jibu swali langu bana usigeuze mambo
Mmh labda nikaonje tena huko usukumani


Ndo nakusubiri ufike, kuna wakina bibi wa kisukuma hapa wako tayari kukueleza vizuri, uanze na ku practice kupiga goti mpaka chini usije shangaza wasukuma bure maana nyie hamnaga mambo ya kupiga goti. 🙂
 
Back
Top Bottom