Usisingizie English.Huhuhuh...! Sawa mjukuu wa malkia, english kwangu sawa na kisukuma au kichagga. Haina ata radha. Wanao kunana wasiwashwe wewe umewashwa wapi bila kukunwa..!
Pishia mbali usijenitafutia ban..
Wewe zizi la nguruwe unalijua yaani mie huwa sitoi maneno ya shombo hivyo huo uchi unaosema naomba uishie hapohapo yawezekana hujaenda jando weweSifa ya beberu kiarufu sasa wewe mdada mdada unuke uchi utakimbiwa mpk ushangae.
I am not your brother, do not flatter yourself.Too childish to expose my competency on simple matter like that brother..!
hahaha haswaaSi ajabu huwa wanatongozana wanaume kwa wanaume bila kujijua kama kukimbiza mwizi gizani unaweza kimbizana baba na mwana mnajikuta mnakimbilia nyumba moja
Pole mkuu!Mi kuna kipindi nilikuwa natafuta mke, nikaona bandiko humu nikaenda PM tulichat hadi tukaonana, Mtoto alikuwa bomba sana (mwarabu wa Tanga), sikutaka chochote zaidi ya kuitaji hawe mke wangu.
Tulifuata taratibu zote kuoana, tukapanga tarehe ya ndoa lakini zikiwa zimebaki wiki mbili ndoa ipite ikatokea sintofaham upande wa familia yake uchumba ukavunjika, nikaambulia maumivu makali ya moyo.
Ingawa baada ya tukio ilo mrembo bado alihitaji tuwe wote lakini mimi nikarudi nyuma sababu chanzo cha uchumba kuvunjika ilikuwa ni mrembo mwenyewe.
Hii ndiyo ya kigumu msipopatana inapotezea simple..!Nilishawahi det na Dada moja alikua maarufu Sana humu miaka 2010-14 chotara wa kichaga sijui na mjerumani unapoanza kuchat kabla ya kuonana huwa speed sana na hamu ya kila mtu kumwona mwenzie mkishaonana story kwishney zinaweza pita week mbili bila hata salaam ajabu utamuona akichangia na wewe unachangia tu had mnapotezeana
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Zipo nyingi ila hawa wenye midomo mirefu na waongeaji usiwafuate hao wamekataliwa mtaani kwao jf ndiyo faraja yao..! Maana hujinadi gizani..!
Huwa ni inferiority mkuu, umuone anajua vingi na sharp minded kumbe hivyo huwa havipimwi kwa kupiga kelele.Nilishakutana na watatu lakini hawakunivutia sana,mmoja kati yao alinivutia ila alikuwa anaongea sana kuliko Mimi hadi kero lakini aliniiudhi kwa vile alikuwa anaogelea zaidi mahusiano yake had I kero..nb;wadada mnapokutana na MTU kwa Mara ya kwanza punguza kuongea na ujuaji wa kupitiliza
Nilishapoa mkuu nilishaoa mwingine nimpendae zaidi sasa hivi nakula raha tu.Pole mkuu!
Tufikili kwa kina,ulitengemwa kulipwa tirion 300 halafu unalipwa pesa ambayo hata thelusi haifiki harafu unashabikia kuwa ni ushindi.. Tunatambua kazi aliyoifanya lakini badoNi bora tungeshtakiwa MIGA kuliko kipigo tulichopata. Madai ya sh. 425 trilioni tuje kulipwa 673 bilioni!? Yaani hata trilioni moja haifiki! Na zile Noah zetu je?
Huwa ni inferiority mkuu, umuone anajua vingi na sharp minded kumbe hivyo huwa havipimwi kwa kupiga kelele.
Napenda msichana awe calm then asiwe mbishi sna.
Like it
Hao wengine wanakuwa wanausalama, usikubali kumtumia picha yako mtu ambaye humjui atleast tuma ya mtu mwengine yeye akituma ya kwake ndo na ww utume ya kwako ogKutongoza jamii forum. Hakuna tofauti na kubet.
Kuna siku nilikula ban humu nikafungua account mpya. Nilipoingia nikakutana na tangazo la mdada anatafuta bwana.
Fasta nikaenda pm. Nikampa namba zangu. Fasta akanicheki . Cha ajabu yeye kaweka picha ya mwanaume. Nilipo muuliza akasema ni kaka yake. Maana niliogopa. Akaniambia tuma picha yako. Sababu mm siweki picha zangu. Nilipomtumia akaniambia huko vizuri lakini haujanivutia. Nikamwambia nitumie picha yako na wewe nikuone akagoma. Nikaachana nae
kwenye nini....?Akili yako haipandi milima..!