Funzo alilotuachia Grace Mushi wa Makabe

nyie ndio mnakunwa na akina Mushi mnaanza kulia lia hapa, umeso a nlicho andika, unafikiri hili jukwaa ni lakwanza A? kwamba ukiuliza moja na moja uambiwe ni mbili?
Wewe ni mchaga ambaye ni ke? ili tupate uzoefu kutoka kwako.....mimi nina experience na mmoja ambaye alishindwa......ndo maana nikashangaa mdau mwingine humu JF alivyo comment kwamba hawawezi hiyo style pendwa kwa wanaume tulio wengi..
 
Wewe ni mchaga ambaye ni ke? ili tupate uzoefu kutoka kwako.....mimi nina experience na mmoja ambaye alishindwa......ndo maana nikashangaa mdau mwingine humu JF alivyo comment kwamba hawawezi hiyo style pendwa kwa wanaume tulio wengi..
shule kumbe hazijafunguliwa, okay.
 
Mbona wachina na wajapani na wahindi wanatanguliza Ng'ombe [emoji230].... Dragon [emoji236]etc na yanadumu[emoji23][emoji23][emoji23]
Tanguliza tu na wewe mkuu,hao ng'ombe au Dragon ili yadumu...
 
Hahaa! Humohumo kwenye utani utani utani watu wanakulana kimasikhara mkuu!! Lol mi simchomi najivua gamba tu hata awe milionea vipi namuacha si mchana kweupe bali asubuhi na mapemaaa!!
 
Wewe unadhani kujivua gamba rahisi kama unavyolitamka kipenzi! Investment inauma zaidi na ndiyo maana mtu kama Neema anakimbilia petroleum.
Sijafikia huko aisee mi ukinzengua na viwanawake nakuambia ukiendelea si nakuacha! Tena unioneshee kabisa uuwii hata sifikirii mara mbili,,
 
Sijafikia huko aisee mi ukinzengua na viwanawake nakuambia ukiendelea si nakuacha! Tena unioneshee kabisa uuwii hata sifikirii mara mbili,,
Kwanza lazima ujiulize kama wewe hujawahi kufanya na pili ume invest kiasi gani. Investment ninayosema si ecomomical bali hata socially
 
Asisahau tu familia yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…