Funzo alilotuachia Grace Mushi wa Makabe

Sasa hawa wanaodangwa subaru foester na imprezza wanasubiri nini kuwasha petroli......mbona sisi wanaume tumedangwa karne nyingi lakini bado hatujawahi hata kufikiri kuwasha kiberiti...
Aaaah,,,, Kuna jamaa alitumia gunia mbili za mkaa kumchoma mkewe kaka,, haya mambo ni yakuacha tu yanapokutokea nikuomaba Mungu usipatwe ni fikra mbaya au maamuzi mabaya
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu sina hapa lol
 
Good girl
 
Broo kama una mchaga, time will tell
 
We nawe kolo Yani mama yako ndio umemfanya msuluhishi wa ndoa yako, si ajabu ndoa ilikuwa inayumba sana.

Mwanaume unamiliki bastola yenye risasi mbili kwenye suruali unakimbia polisi na taulo mpaka gongo la mboto kwa Maza? narudia tena we kolo.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…