miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Hahahah dahHUYUUU UNAMPIKA.NA SUPU KABISA WOIIIIIIII KUNA WENGINE MAMBOYA KUCHOMA AYATOSHI........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah dahHUYUUU UNAMPIKA.NA SUPU KABISA WOIIIIIIII KUNA WENGINE MAMBOYA KUCHOMA AYATOSHI........
Hahaha si unanidipu. Nakupigia[emoji3] hamna mkuu,mbona wachaga wako poa,mwenyewe ninae m1 ila [emoji2957][emoji2957]
Mi mchaga sasa halafu nakupenda kinyama yani. Ile kinoma noma. Mkuu wa makampuni ni mtu mimi atiHuwezi kumtetea Neema, Neema ni mchaga. Wachaga sio watu wazuri. Na kama ndugu yako ameoa mchaga mwambie aendelee kupumulia mashine. Siku zake zinahesabiwa😄😄😄😄😄😄
Sasa mbona unaninyooshea kidole. Niache bhana wewe si ulikataaUjumbe, vijana waache kudanga.
Kuna kijana aiashi makumbusho hapo, ana subaru impreza na forester. Anadanga kupita maelezo. Ni ana mademu kama wote. Yaan haya yote anayomiliki ni kutokea mifukoni mwa wanawake anaowarubuni. Chalii yangu kiama chako chajaa[emoji23][emoji23] na anajisifiaga balaaa anawadanga. Iko siku
Nataka nikuchomeeSasa mbona unaninyooshea kidole. Niache bhana wewe si ulikataa
Wanazimika na makelele ya subaru na swaga zangu bhana acha niwapige.Nataka nikuchomee
Ila wanaume wanayoyafanya bas tyuuu, mie mwenyew ishawahu nikuta sitasahau kabisa ktk maisha yangu, naishia kumuomba Jah uvumilivu vingnevyo ingekua historia nyingne.Huyo mdada kavurugwa hasa na huyo marioo mwenye getto lake hapo makumbusho.......tumwombee asije kwenda na kidumu sheli...
[emoji23][emoji23][emoji23]Nikimegwa na kuachwa wewe kinakuumiza nini? Kuna wanaume wana umama sijapata ona[emoji706][emoji706]
[emoji23][emoji23][emoji706][emoji706]Wanazimika na makelele ya subaru na swaga zangu bhana acha niwapige.
Na wewe ulitaka kupiga petroli, ile roho ya kufuatiliwa na shetani kama kule bustani ya Eden haijawatoka.....Ila wanaume wanayoyafanya bas tyuuu, mie mwenyew ishawahu nikuta sitasahau kabisa ktk maisha yangu, naishia kumuomba Jah uvumilivu vingnevyo ingekua historia nyingne.
Kuna mdau mmoja kasema mademu wa kichaga hawawezi doggy style, je, lina ukweli hili? na kwa nini?Nataka nikuchomee
Wala hata ila bas tyuuh, acha niwe mpole but nshapona now maumivu nasonga mbele tyuuuNa wewe ulitaka kupiga petroli, ile roho ya kufuatiliwa na shetani kama kule bustani ya Eden haijawatoka.....
Unasonga mbele kwa mtindo gani, siyo vizuri kusonga bila kuwa na replacement ya huyo..Wala hata ila bas tyuuh, acha niwe mpole but nshapona now maumivu nasonga mbele tyuuu
Mbona wachina na wajapani na wahindi wanatanguliza Ng'ombe [emoji230].... Dragon [emoji236]etc na yanadumu[emoji23][emoji23][emoji23]Mapenzi/mahusiano/ndoa yoyote ile,bila ya kumtanguliza Mungu usitegemee muujiza...
Hiyo Pablo kwenye jina lako ndio huyu Pablo ninaemjua mimi?[emoji23][emoji23][emoji706][emoji706]
1. Fundisho kwa wengine.Nipe faida 2 tu atakazopata Neema binafsi kwa kitendo alichofanya nami nitakuunga mkono.
Wajaribu wote. Ila hakikisha hauwahiwi na petrolKuna mdau mmoja kasema mademu wa kichaga hawawezi doggy style, je, lina ukweli hili? na kwa nini?