Majuzi nilikuwa nasikiliza speech zake alipokuwa waziri wa maji na PM alikuwa na nguvu sana ya kuongea ila baadaye hakawa hana uwezo wa kuongea. Kweli stress zilimuatahiri sana.Watamshukuruje mtu aliechangia Mzee wao kua na stress,labda angeishi kwa muda kadhaa bila kufedheheshwa na jk
Tunakomesha unafki kwenye Taifa.Mtu kashakufa haina haja ya kuleta mengine ...Huo usia utasaidia nn ? Mtu muacheni apumzike kweny msiba mnaleta siasa ....
Hivi Jk angempambania mwenzake angepungukiwa nini?Wewe maamuma huna hulijuwalo, yule Mkwele hakuwa na uwezo wa kuwa pale, Urais alipewa na wanamtamdao Mwenyekiti wa mtandao akiwa bingwa wa mikakati Lowasa.
Mtibeli humu aliwahi kuandika humu na nampa credit Kwa kuliona hili mapema.
Leo katika mazishi ya Mwamba wa kaskazini Mzee Lowasa kwenye wasifu wa marehemu Kwa makusudi na mpaka Sasa haijurikani ni Kwa maslahi ya Nani kuna kundi la wahuni hawakuandika chapter muhimu ya historia ya Mzee Lowasa duniani.
Mpaka pale Statesman Freeman Mbowe alipopewa fursa kama mwanafamilia kutowa Beno kukosowa wasifu ule ambao Kwa makusudi unanificha chapter muhimu ya maisha ya Mzee Lowasa.
Sasa tuliobaki hai tujifunze katika hili, wenye uwezo wa kuandija vitabu na waandije Sasa na wasiokuwa na iwezo huo basis tutunze historian zetu Kwa kuziandija wenyewe tusisubiri kuandikiwa na wanafki.
Mwisho wa ubaya aibu, haya Mzee wa Msoga leo umejisikiaje wanafamilia wanamwaga sifa na shukrani Kwa watu mbalimbali mpaka mama Samia hawana cha kumshukuru Kwa Upendo na wema wake, wewe mswahili wa Msoga hauna sehemu umetajwa jina je unajisikiaje leo? Unafki unalipa?
Labda kuna viumbe wameumbwa bila aibu, leo ni aibu Kubwa na fedhea kutoka boys to men mpaka mwisho wa safari ya swahiba Wako hakuna sehemu familia inakutambuwa Kwa lolote tangy auguwe, hii ni aibu Kubwa.
Tujifunze kuishi vizuri na watu na Kwa uaminifu, unafki ni Mbaya sana na mwisho wa ubaya ni aibu. Aibu yao hii baba Mkwele.
Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli
haina maana wala haja yeyote kumsifia JK, hakwenda pale kusifiwa na wasio na imani....Mtibeli humu aliwahi kuandika humu na nampa credit Kwa kuliona hili mapema.
Leo katika mazishi ya Mwamba wa kaskazini Mzee Lowasa kwenye wasifu wa marehemu Kwa makusudi na mpaka Sasa haijurikani ni Kwa maslahi ya Nani kuna kundi la wahuni hawakuandika chapter muhimu ya historia ya Mzee Lowasa duniani.
Mpaka pale Statesman Freeman Mbowe alipopewa fursa kama mwanafamilia kutowa Beno kukosowa wasifu ule ambao Kwa makusudi unanificha chapter muhimu ya maisha ya Mzee Lowasa.
Sasa tuliobaki hai tujifunze katika hili, wenye uwezo wa kuandija vitabu na waandije Sasa na wasiokuwa na iwezo huo basis tutunze historian zetu Kwa kuziandija wenyewe tusisubiri kuandikiwa na wanafki.
Mwisho wa ubaya aibu, haya Mzee wa Msoga leo umejisikiaje wanafamilia wanamwaga sifa na shukrani Kwa watu mbalimbali mpaka mama Samia hawana cha kumshukuru Kwa Upendo na wema wake, wewe mswahili wa Msoga hauna sehemu umetajwa jina je unajisikiaje leo? Unafki unalipa?
Labda kuna viumbe wameumbwa bila aibu, leo ni aibu Kubwa na fedhea kutoka boys to men mpaka mwisho wa safari ya swahiba Wako hakuna sehemu familia inakutambuwa Kwa lolote tangy auguwe, hii ni aibu Kubwa.
Tujifunze kuishi vizuri na watu na Kwa uaminifu, unafki ni Mbaya sana na mwisho wa ubaya ni aibu. Aibu yao hii baba Mkwele.
Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli
Hatare sanaWatu wanamletea siasa mpaka marehemu
Huwezi kukomesha unafiki kila binadamu ni mnafiki.Tunakomesha unafki kwenye Taifa.
Taifa likijaa wanafki ni hatari sana.
Oneni jinga hili, kuna mwanasiasa hapendi milage?Siyo lazima utajwe hadharani ndiyo utaonekana kwamba uliisaidia familia. Wengine hawapendi sifa za hivyo.
Tulia wewe tusijesema ya Ufuska akiwa bado ananguvu. R.iP Mwamba wa Kaskazini halisiAs long as sijawahi kuskia scandal ya kingono au kimahusiano nje ya ndoa yake kuhusu Hayati Mh. Lowassa basi he got a super clean sheet from my side[emoji8] maana huo ndo upumbavu namba moja wa Wanaume wengi wa karne hii except my father of course and my husbae[emoji847]
He was a family guy.As long as sijawahi kuskia scandal ya kingono au kimahusiano nje ya ndoa yake kuhusu Hayati Mh. Lowassa basi he got a super clean sheet from my sidemaana huo ndo upumbavu namba moja wa Wanaume wengi wa karne hii except my father of course and my husbae
As long as sijawahi kuskia scandal ya kingono au kimahusiano nje ya ndoa yake kuhusu Hayati Mh. Lowassa basi he got a super clean sheet from my side[emoji8] maana huo ndo upumbavu namba moja wa Wanaume wengi wa karne hii except my father of course and my husbae[emoji847]
As long as sijawahi kuskia scandal ya kingono au kimahusiano nje ya ndoa yake kuhusu Hayati Mh. Lowassa basi he got a super clean sheet from my side[emoji8] maana huo ndo upumbavu namba moja wa Wanaume wengi wa karne hii except my father of course and my husbae[emoji847]
Tanzania ina wajinga kila tukio wanatumia kisiasa eti mtu analalamika kwa nn hawakutajwa chama chao 😅😅 halafu ndio awe Raisi?Hivi nyie mambwiga mliskiliza salam za shukran kwa niaba ya ukoo kutoka kwa Fred pale karimjee? Mbona alimtaja kwa heshma zote hamkuskiliza? Kilichotokea kwny richmond ni ajali ya kisiasa tu! Na kuhusu jina lake kukatwa 2015 yale hayakua maamuzi ya mzee Kikwete peke yake, kamati ya viongozi wa ngazi za juu wastaafu wakiongozwa na mzee Mkapa ndio ilioongoza kamati kuu kuengua jina la Lowasa kwny mbio za uraisi! Mzee wetu Kikwete hana hatia kwenye agenda zote mbili nataman aandike kitabu juu ya maisha yake kufunua hili fumbo lisiloaminika kwa wengi!
Tanzania ina wajinga kila tukio wanatumia kisiasa eti mtu analalamika kwa nn hawakutajwa chama chao [emoji28][emoji28] halafu ndio awe Raisi?
Hizo shutuma hata familia ya Lowasa wanashangaa kwa sababu amekufa akiwa CCM na hakuna ugomvi wowote ule.
Nimemuona Global TV akipasua kicheko katikati ya huzuniMwisho wa ubaya aibu, haya Mzee wa Msoga leo umejisikiaje wanafamilia wanamwaga sifa na shukrani Kwa watu mbalimbali mpaka mama Samia hawana cha kumshukuru Kwa Upendo na wema wake, wewe mswahili wa Msoga hauna sehemu umetajwa jina je unajisikiaje leo? Unafki unalipa?
Weeh!!! Itakua umezaliwa juzi!! Mbona alizaa na mdogo wa mke wake yaani shemeji yake
Hata angeandika historia yake mwenyewe lazima msomaju angepangiwa aya za kusomaLeo katika mazishi ya Mwamba wa kaskazini Mzee Lowasa kwenye wasifu wa marehemu Kwa makusudi na mpaka Sasa haijurikani ni Kwa maslahi ya Nani kuna kundi la wahuni hawakuandika chapter muhimu ya historia ya Mzee Lowasa duniani.
Mpaka pale Statesman Freeman Mbowe alipopewa fursa kama mwanafamilia kutowa Beno kukosowa wasifu ule ambao Kwa makusudi unanificha chapter muhimu ya maisha ya Mzee Lowasa.
Pamoja na wenzao Konde gang😃Wakwele hawana aibu