Funzo kwenye mazishi ya Lowassa, andika historia yako mwenyewe usisubiri kuandikiwa, na mwisho wa ubaya ni aibu

Funzo kwenye mazishi ya Lowassa, andika historia yako mwenyewe usisubiri kuandikiwa, na mwisho wa ubaya ni aibu

Mtibeli humu aliwahi kuandika humu na nampa credit Kwa kuliona hili mapema.

Leo katika mazishi ya Mwamba wa kaskazini Mzee Lowasa kwenye wasifu wa marehemu Kwa makusudi na mpaka Sasa haijurikani ni Kwa maslahi ya Nani kuna kundi la wahuni hawakuandika chapter muhimu ya historia ya Mzee Lowasa duniani.

Mpaka pale Statesman Freeman Mbowe alipopewa fursa kama mwanafamilia kutowa Beno kukosowa wasifu ule ambao Kwa makusudi unanificha chapter muhimu ya maisha ya Mzee Lowasa.

Sasa tuliobaki hai tujifunze katika hili, wenye uwezo wa kuandija vitabu na waandije Sasa na wasiokuwa na iwezo huo basis tutunze historian zetu Kwa kuziandija wenyewe tusisubiri kuandikiwa na wanafki.

Mwisho wa ubaya aibu, haya Mzee wa Msoga leo umejisikiaje wanafamilia wanamwaga sifa na shukrani Kwa watu mbalimbali mpaka mama Samia hawana cha kumshukuru Kwa Upendo na wema wake, wewe mswahili wa Msoga hauna sehemu umetajwa jina je unajisikiaje leo? Unafki unalipa?

Labda kuna viumbe wameumbwa bila aibu, leo ni aibu Kubwa na fedhea kutoka boys to men mpaka mwisho wa safari ya swahiba Wako hakuna sehemu familia inakutambuwa Kwa lolote tangy auguwe, hii ni aibu Kubwa.

Tujifunze kuishi vizuri na watu na Kwa uaminifu, unafki ni Mbaya sana na mwisho wa ubaya ni aibu. Aibu yao hii baba Mkwele.

Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli
Kama tunakuza sana haya mambo..
 
Wewe maamuma huna hulijuwalo, yule Mkwele hakuwa na uwezo wa kuwa pale, Urais alipewa na wanamtamdao Mwenyekiti wa mtandao akiwa bingwa wa mikakati Lowasa.
Hakuna cha mikakati wala nini. Ni dola tu ya ccm iliwezesha haya yote. Hiyo mikakati mbona ilikwama ccm na hata alipokuja chadema?.
Haya mambo ni above your discretion levels.. JK ni mwamba licha ya madhaifu yake yote bado alifanya uamuzi bora sana wa kumkataa rafiki yake kisa tu ushkaji mkakae kugawana taifa la watanzania kama vile nyama choma mkiwa kaunta bar. Jakaya Mungu azidi kukuweka japo mimi sio mshabkki wako.
 
Kwa mustakabli mpana wa maslahibya taifa, kikwete hajawaga na divided loyalty. Ndio maana hakusita kuwashughulikia masheikh wa uamsho kwa kutumia kigezo cha dini. Na vivyo hivyo hakuona ajab kumkataa mwana kisa tu ushkaji ndio upewe nchi kama zawadi. Na vile vile akaona isiwe tabu hata ndugu yake Membe vile vile akaona am bwage tu. Tanzania kwanza. Na hata huyo Sir-100 ambaye kutwa mnakaa kumuimbia mapambia asingekua hapo bila huyu mwamba JK..

Chuki zenu kaeni nazo, malizeni msiba mkaendelee na unafiki but a blessed JK is here to stay. Mumpe shukran au mum nange wala haimpunguzii wala kumuongezea chochote. Heshima yale iko pale pale
 
Hivi nyie mambwiga mliskiliza salam za shukran kwa niaba ya ukoo kutoka kwa Fred pale karimjee? Mbona alimtaja kwa heshma zote hamkuskiliza? Kilichotokea kwny richmond ni ajali ya kisiasa tu! Na kuhusu jina lake kukatwa 2015 yale hayakua maamuzi ya mzee Kikwete peke yake, kamati ya viongozi wa ngazi za juu wastaafu wakiongozwa na mzee Mkapa ndio ilioongoza kamati kuu kuengua jina la Lowasa kwny mbio za uraisi na kuhusu Lowasa na uraisi alishakataliwa tangu enzi za mwalim Nyerere mwaka 1995 haijaanza 2015! Mzee wetu Kikwete hana hatia kwenye agenda zote mbili nataman aandike kitabu juu ya maisha yake kufunua hili fumbo lisiloaminika kwa wengi!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa mustakabli mpana wa maslahibya taifa, kikwete hajawaga na divided loyalty. Ndio maana hakusita kuwashughulikia masheikh wa uamsho kwa kutumia kigezo cha dini. Na vivyo hivyo hakuona ajab kumkataa mwana kisa tu ushkaji ndio upewe nchi kama zawadi. Na vile vile akaona isiwe tabu hata ndugu yake Membe vile vile akaona am bwage tu. Tanzania kwanza. Na hata huyo Sir-100 ambaye kutwa mnakaa kumuimbia mapambia asingekua hapo bila huyu mwamba JK..

Chuki zenu kaeni nazo, malizeni msiba mkaendelee na unafiki but a blessed JK is here to stay. Mumpe shukran au mum nange wala haimpunguzii wala kumuongezea chochote. Heshima yale iko pale pale
🙌
 
Hivi nyie mambwiga mliskiliza salam za shukran kwa niaba ya ukoo kutoka kwa Fred pale karimjee? Mbona alimtaja kwa heshma zote hamkuskiliza? Kilichotokea kwny richmond ni ajali ya kisiasa tu! Na kuhusu jina lake kukatwa 2015 yale hayakua maamuzi ya mzee Kikwete peke yake, kamati ya viongozi wa ngazi za juu wastaafu wakiongozwa na mzee Mkapa ndio ilioongoza kamati kuu kuengua jina la Lowasa kwny mbio za uraisi na kuhusu Lowasa na uraisi alishakataliwa tangu enzi za mwalim Nyerere mwaka 1995 haijaanza 2015! Mzee wetu Kikwete hana hatia kwenye agenda zote mbili nataman aandike kitabu juu ya maisha yake kufunua hili fumbo lisiloaminika kwa wengi!
Sure man.
No one to bleach JK honor and respect as long as his friendship with Lowasa is concerned.

The guy is straight innocent. Wanaoshabikia hili ni kushadadia tu mambo kwa pupa zao za wengi wape, kwamba wengi wanaongea nini bas na wao wanashika njia huko huko
 
we we mswahili wa Msoga hauna sehemu umetajwa jina je unajisikiaje leo? Unafki unalipa?
Huyo jomba ni mnafiki mno, yeye na watu wake ni wanafiki wakubwa
 

Attachments

  • 1708069189717.jpg
    1708069189717.jpg
    212.6 KB · Views: 3
As long as sijawahi kuskia scandal ya kingono au kimahusiano nje ya ndoa yake kuhusu Hayati Mh. Lowassa basi he got a super clean sheet from my side[emoji8] maana huo ndo upumbavu namba moja wa Wanaume wengi wa karne hii except my father of course and my husbae[emoji847]
Huna taarifa ndugu,
Ukitaka kusikia skendo zake zimo humu,haijalishi ni za kweli ama za uongo lkn zipo.
Uliza kwa Nini au ni sababu Gani zilimfanya akaenda Hija Israel.
 
Hivi nyie mambwiga
Mbwiga mwenyewe 😏
mliskiliza salam za shukran kwa niaba ya ukoo kutoka kwa Fred pale karimjee? Mbona alimtaja kwa heshma zote hamkuskiliza?
Tupo Monduli sasa mambo ya karimjee yalimalizwa na wazee wa ukoo kwa kumuonya Fred aache ujinga.

Umemuonaje Fred leo pale msibani kamtaja mzee wa Msoga?

Tumia akili kusoma nyakati na majira, mzee wa Msoga hana lake kwa familia ya Ngoyayi
 
Back
Top Bottom