Funzo kwenye mazishi ya Lowassa, andika historia yako mwenyewe usisubiri kuandikiwa, na mwisho wa ubaya ni aibu

Funzo kwenye mazishi ya Lowassa, andika historia yako mwenyewe usisubiri kuandikiwa, na mwisho wa ubaya ni aibu

Hivi Jk angempambania mwenzake angepungukiwa nini?

Duniani Mambo yote ni ubatili tu, kwenye misiba km hivi ndio unaona Duniani hakuna haja ya kubaniana,yote yanapita tu
Darasani kwangu nilichaguliwa kuwa monitor wa kudumu mpaka tumalize shule. Niliunda mtandao mkubwa wa wapambe/chawa wangu. Niliongoza tani yangu nitakavyo mpaka nikapata changamoto tishio la kuondolewa madarakani. Nikaomba darasa wanikubalie niachie ngazi kwa amani. Mara nikaletewa warithi nisiowaelewa, ikabidi niwapigie kampeni watu wangu mpaka washinde, na walishinda umonita wa kiume na wa kike nikaastaafu kwa raha. Huyu mzee wa msoga asingeshindwa kumpambania mwenzake waliotoka naye mbali kwenye safari ya siasa zao. Alimtosa mwenzake bila aibu, ni dhambi na dhambi humtafuna mtu bila aibu automatically
 
Hivi nyie mambwiga mliskiliza salam za shukran kwa niaba ya ukoo kutoka kwa Fred pale karimjee? Mbona alimtaja kwa heshma zote hamkuskiliza? Kilichotokea kwny richmond ni ajali ya kisiasa tu! Na kuhusu jina lake kukatwa 2015 yale hayakua maamuzi ya mzee Kikwete peke yake, kamati ya viongozi wa ngazi za juu wastaafu wakiongozwa na mzee Mkapa ndio ilioongoza kamati kuu kuengua jina la Lowasa kwny mbio za uraisi na kuhusu Lowasa na uraisi alishakataliwa tangu enzi za mwalim Nyerere mwaka 1995 haijaanza 2015! Mzee wetu Kikwete hana hatia kwenye agenda zote mbili nataman aandike kitabu juu ya maisha yake kufunua hili fumbo lisiloaminika kwa wengi!
Mkuu, kuna wakati ukipita humu jukwaani unabaki unasikitika tu......walahi imejaa mijinga humuuu, acha kabisa. Tusio na hela ndo tunazidi kuumia mijinga inapoongezeka namna hii maana hatuna sehemu nyingine ya kutoa mawazo zaidi ya jf.....500 tu naperuzi kutwa kucha.

Halafu kuna kitu nakiona, ni kwamba haters wa kikwete kama wanatoka akili kadiri siku zinavyoenda.....we angalia tu mijadala yao humu hususani mada hii; wanakngea hoja nyepesiiiii lakini kwa miguvu mikubwa. Kuna wengine walikuwa wanaheshimika humu lakini taratiibu wanakuwa kama form I (in terms of thinking).

Uzuri kikwete anawajulia sana hawa wapuuzi, hawajibu na wala haangaiki nao...kesho au keshokutwa ( kama uhai upo) utamuona anatabasamu anaendelea na hamsini zake. Hii mihaters ndiyo inayobaki ikichujuka kwa hasiea na wivu.
 
Darasani kwangu nilichaguliwa kuwa monitor wa kudumu mpaka tumalize shule. Niliunda mtandao mkubwa wa wapambe/chawa wangu. Niliongoza tani yangu nitakavyo mpaka nikapata changamoto tishio la kuondolewa madarakani. Nikaomba darasa wanikubalie niachie ngazi kwa amani. Mara nikaletewa warithi nisiowaelewa, ikabidi niwapigie kampeni watu wangu mpaka washinde, na walishinda umonita wa kiume na wa kike nikaastaafu kwa raha. Huyu mzee wa msoga asingeshindwa kumpambania mwenzake waliotoka naye mbali kwenye safari ya siasa zao. Alimtosa mwenzake bila aibu, ni dhambi na dhambi humtafuna mtu bila aibu automatically
Hebu sikilizeni kituko hiki wadau! Dah, ngoja nijitokee humu nisije nami nikawa tahira bure. Jioni njema!!
 
History ya marehemu anayeianda si familia ya marehemu!

Historia haiandaliwi na familia maani ni uhalisia wa maisha yako, ila wasifu ndio huandaliwa na familia ya marehemu. Humo ndio familia huweka watakacho kwa utashi wao, au kwa shinikizo la nje ya utashi wao.
 
Mtibeli humu aliwahi kuandika humu na nampa credit Kwa kuliona hili mapema.

Leo katika mazishi ya Mwamba wa kaskazini Mzee Lowasa kwenye wasifu wa marehemu Kwa makusudi na mpaka Sasa haijurikani ni Kwa maslahi ya Nani kuna kundi la wahuni hawakuandika chapter muhimu ya historia ya Mzee Lowasa duniani.

Mpaka pale Statesman Freeman Mbowe alipopewa fursa kama mwanafamilia kutowa Beno kukosowa wasifu ule ambao Kwa makusudi unanificha chapter muhimu ya maisha ya Mzee Lowasa.

Sasa tuliobaki hai tujifunze katika hili, wenye uwezo wa kuandija vitabu na waandije Sasa na wasiokuwa na iwezo huo basis tutunze historian zetu Kwa kuziandija wenyewe tusisubiri kuandikiwa na wanafki.

Mwisho wa ubaya aibu, haya Mzee wa Msoga leo umejisikiaje wanafamilia wanamwaga sifa na shukrani Kwa watu mbalimbali mpaka mama Samia hawana cha kumshukuru Kwa Upendo na wema wake, wewe mswahili wa Msoga hauna sehemu umetajwa jina je unajisikiaje leo? Unafki unalipa?

Labda kuna viumbe wameumbwa bila aibu, leo ni aibu Kubwa na fedhea kutoka boys to men mpaka mwisho wa safari ya swahiba Wako hakuna sehemu familia inakutambuwa Kwa lolote tangy auguwe, hii ni aibu Kubwa.

Tujifunze kuishi vizuri na watu na Kwa uaminifu, unafki ni Mbaya sana na mwisho wa ubaya ni aibu. Aibu yao hii baba Mkwele.

Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli
Naunga mkono hoja
 
Mwisho wa ubaya aibu, haya Mzee wa Msoga leo umejisikiaje wanafamilia wanamwaga sofa na shukrani Kwa watu mbalimbali mpaka mama Samia hawana cha kumshukuru Kwa Upendo na wema wake, we we mswahili wa Msoga hauna sehemu umetajwa jina je unajisikiaje leo? Unafki unalipa?

Bifu linazidi kukua[emoji848][emoji2827]
Kiuhalisia huo ndiyo uhalisia na ukweli ila kibongo ni bifu.

Ukitaka ugomvi na mtanzania mweleze ukweli.
 
Mtibeli humu aliwahi kuandika humu na nampa credit Kwa kuliona hili mapema.

Leo katika mazishi ya Mwamba wa kaskazini Mzee Lowasa kwenye wasifu wa marehemu Kwa makusudi na mpaka Sasa haijurikani ni Kwa maslahi ya Nani kuna kundi la wahuni hawakuandika chapter muhimu ya historia ya Mzee Lowasa duniani.

Mpaka pale Statesman Freeman Mbowe alipopewa fursa kama mwanafamilia kutowa Beno kukosowa wasifu ule ambao Kwa makusudi unanificha chapter muhimu ya maisha ya Mzee Lowasa.

Sasa tuliobaki hai tujifunze katika hili, wenye uwezo wa kuandija vitabu na waandije Sasa na wasiokuwa na iwezo huo basis tutunze historian zetu Kwa kuziandija wenyewe tusisubiri kuandikiwa na wanafki.

Mwisho wa ubaya aibu, haya Mzee wa Msoga leo umejisikiaje wanafamilia wanamwaga sifa na shukrani Kwa watu mbalimbali mpaka mama Samia hawana cha kumshukuru Kwa Upendo na wema wake, wewe mswahili wa Msoga hauna sehemu umetajwa jina je unajisikiaje leo? Unafki unalipa?

Labda kuna viumbe wameumbwa bila aibu, leo ni aibu Kubwa na fedhea kutoka boys to men mpaka mwisho wa safari ya swahiba Wako hakuna sehemu familia inakutambuwa Kwa lolote tangy auguwe, hii ni aibu Kubwa.

Tujifunze kuishi vizuri na watu na Kwa uaminifu, unafki ni Mbaya sana na mwisho wa ubaya ni aibu. Aibu yao hii baba Mkwele.

Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli

Unakuta mtu yupo Kizimkazi huko anakuja kulalama humu kuwa Kikwete alimsaliti Lowassa, ukiuliza alimsaliti kwenye nini, hakuna majibu ya kueleweka.

Kilichotokea Baina ya Kikwete kilipangwa kitokee, na wanaojua hasa ni Kikwete na Lowassa. Hata angesifiwa Kikwete leo, isingebadili ya kile kilichotokea.

Familia inalalamika Lowassa kunyimwa Haki yake ya Matibabu kama kiongozi mstaafu, lakini Bado analaumiwa kikwete badala ya Jiwe.

Lowassa alikuwa msafi kiasi kumzidi Magufuli? Wagombea walikuwa kama 40 hivi, ni wangapi walihama Chama baada ya kukosa nafasi?

Kuna wakati MUNGU anaamua kuonesha Jambo baada ya kujikuta una haki zaidi kwenye Jambo hilo na ndicho kilichotokea kwa Lowassa, kwa kutumia fedha alizoiba kwa watanzania alijikuta ana haki ya kuwa Rais wa Nchi ila MUNGU hakupanga hilo.
 
Lowassa alikuwa na nia njema kwa taifa hili, ila maslahi yake binafsi yalikuwa mbele zaidi ya maslahi ya taifa na hiyo ndiyo iliyokuwa wekaness kubwa sana kwake. Msuguano binafsi dhidi ya Kikwete ni jambo jingine kabisa, ila Lowassa alipokuwa Waziri wa ardhi (Chini ya Ali Hassan Mwinyi) alichukua hatua nyingi sana zilzlizokuwa na sura za Uzalendo wakati mfaidika mkubwa akiwa ni yeye mwenyewe Lowassa. Tabia hiyo ilibaki akilini mwake miaka yote hadi pale ilipofikia kuwa ndoto ya urais haipo tena.
 
As long as sijawahi kuskia scandal ya kingono au kimahusiano nje ya ndoa yake kuhusu Hayati Mh. Lowassa basi he got a super clean sheet from my side[emoji8] maana huo ndo upumbavu namba moja wa Wanaume wengi wa karne hii except my father of course and my husbae[emoji847]


Mke wangu ana mtazamo kama wako, ila laiti angelijua, angekufa na presha, Usiseme hayo maneno kuhusu mumeo, unaeza dondoka na usiamke
 
Unakuta mtu yupo Kizimkazi huko anakuja kulalama humu kuwa Kikwete alimsaliti Lowassa, ukiuliza alimsaliti kwenye nini, hakuna majibu ya kueleweka.

Kilichotokea Baina ya Kikwete kilipangwa kitokee, na wanaojua hasa ni Kikwete na Lowassa. Hata angesifiwa Kikwete leo, isingebadili ya kile kilichotokea.

Familia inalalamika Lowassa kunyimwa Haki yake ya Matibabu kama kiongozi mstaafu, lakini Bado analaumiwa kikwete badala ya Jiwe.

Lowassa alikuwa msafi kiasi kumzidi Magufuli? Wagombea walikuwa kama 40 hivi, ni wangapi walihama Chama baada ya kukosa nafasi?

Kuna wakati MUNGU anaamua kuonesha Jambo baada ya kujikuta una haki zaidi kwenye Jambo hilo na ndicho kilichotokea kwa Lowassa, kwa kutumia fedha alizoiba kwa watanzania alijikuta ana haki ya kuwa Rais wa Nchi ila MUNGU hakupanga hilo.
Mungu yupi huyo kwenye taifa lililojaa dhuluma, ufisadi na ukosefu wahaki?
 
Back
Top Bottom