Funzo kwenye mazishi ya Lowassa, andika historia yako mwenyewe usisubiri kuandikiwa, na mwisho wa ubaya ni aibu

Kama tunakuza sana haya mambo..
 
Wewe maamuma huna hulijuwalo, yule Mkwele hakuwa na uwezo wa kuwa pale, Urais alipewa na wanamtamdao Mwenyekiti wa mtandao akiwa bingwa wa mikakati Lowasa.
Hakuna cha mikakati wala nini. Ni dola tu ya ccm iliwezesha haya yote. Hiyo mikakati mbona ilikwama ccm na hata alipokuja chadema?.
Haya mambo ni above your discretion levels.. JK ni mwamba licha ya madhaifu yake yote bado alifanya uamuzi bora sana wa kumkataa rafiki yake kisa tu ushkaji mkakae kugawana taifa la watanzania kama vile nyama choma mkiwa kaunta bar. Jakaya Mungu azidi kukuweka japo mimi sio mshabkki wako.
 
Kwa mustakabli mpana wa maslahibya taifa, kikwete hajawaga na divided loyalty. Ndio maana hakusita kuwashughulikia masheikh wa uamsho kwa kutumia kigezo cha dini. Na vivyo hivyo hakuona ajab kumkataa mwana kisa tu ushkaji ndio upewe nchi kama zawadi. Na vile vile akaona isiwe tabu hata ndugu yake Membe vile vile akaona am bwage tu. Tanzania kwanza. Na hata huyo Sir-100 ambaye kutwa mnakaa kumuimbia mapambia asingekua hapo bila huyu mwamba JK..

Chuki zenu kaeni nazo, malizeni msiba mkaendelee na unafiki but a blessed JK is here to stay. Mumpe shukran au mum nange wala haimpunguzii wala kumuongezea chochote. Heshima yale iko pale pale
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
🙌
 
Sure man.
No one to bleach JK honor and respect as long as his friendship with Lowasa is concerned.

The guy is straight innocent. Wanaoshabikia hili ni kushadadia tu mambo kwa pupa zao za wengi wape, kwamba wengi wanaongea nini bas na wao wanashika njia huko huko
 
Huna taarifa ndugu,
Ukitaka kusikia skendo zake zimo humu,haijalishi ni za kweli ama za uongo lkn zipo.
Uliza kwa Nini au ni sababu Gani zilimfanya akaenda Hija Israel.
 
Hivi nyie mambwiga
Mbwiga mwenyewe 😏
mliskiliza salam za shukran kwa niaba ya ukoo kutoka kwa Fred pale karimjee? Mbona alimtaja kwa heshma zote hamkuskiliza?
Tupo Monduli sasa mambo ya karimjee yalimalizwa na wazee wa ukoo kwa kumuonya Fred aache ujinga.

Umemuonaje Fred leo pale msibani kamtaja mzee wa Msoga?

Tumia akili kusoma nyakati na majira, mzee wa Msoga hana lake kwa familia ya Ngoyayi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…