Funzo kwenye mazishi ya Lowassa, andika historia yako mwenyewe usisubiri kuandikiwa, na mwisho wa ubaya ni aibu

Mh, mpaka itoke na nyama!! Walah kila kona ni spana
 
Jitihada haizidi kudura, ni kweli Edo aliutaka sana Urais, lakini haikua kadari yake,yaani Mungu hakumpangia kua Rais wa Tanzania, lazima tukubali hilo!!
 
Sijui kwanini nikisikia mwanamke mmasai nadhani ni mgumu wa sura maana kiukweli kukuta mdada wa kimasai mrembo ni nadra sana.
Mi ni mdada ila napingana na ww
Alooo Wamasai wazuri aisee,imagine wako na para very natural ila wazuri...

Unawaona wabaya sbb ya mazingira Yao,na vile hawana Muda na mambo ya urembo
 
Masai hatuna unafiki, ukweli ndio sifa yetu.
Mnafiki wa Msoga kadhalilika kama alivyomfanya dhalili mpendwa wetu.
Kwa nimfahamuvyo mkwere hio haijaisha atahakikisha kizazi chake hakifanikiwi on gov mpk anaondoka only if atataka kuwamaliza Kwa kuwaweka karibu na kuwapa madaraka iliwajisahau kumbuka huyu mtu ni usalama/mwanajeshi
 
unajua shida kwako na watu wenye akili kama zako,kwani jk asipotajwa na watoto wa marehemu inamnyima raha hipi,hawezi kula? hawezi kunya? hawezi kupumua? hawezi kujamiiana na kewe? kwamba hatalipwa mafao yako? then what shubamiti! atajwe asitajwe jk yupo palepale na sikia hulazimishi udugu wala urafiki.kipi jk alimfanyia lowassa cha ajabu,eti alimsaliti,kwahiyo jk ndio alikuwa anawapa watu uraisi,pumba tupu
 
hivi asipotajwa atakufa? kwaninlazima atajwe?
 
Hivi Jk angempambania mwenzake angepungukiwa nini?

Duniani Mambo yote ni ubatili tu, kwenye misiba km hivi ndio unaona Duniani hakuna haja ya kubaniana,yote yanapita tu
we unajuaje mambo yao ya ndani
 
Watu wengine bhana. Mzee wa msoga awe na aibu gani? Unajua loyalty inatakiwa hata kwa magenge ya wauza madawa na magenge mengine ya kihalifu? Kwa hivyo unapompima mzee wa msoga na kuona ni msaliti jiulize alisaliti nini na kwa faida gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…