- Thread starter
- #21
Duh,kwanini mkuu?Kumbuka kuna tofauti kubwa Kati ya wasanii na waigizaji,Wasanii hapa Tanzania wamebaki Prof.J na shugu,na marehemu J.Komba. nyie wote ni waigizaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh,kwanini mkuu?Kumbuka kuna tofauti kubwa Kati ya wasanii na waigizaji,Wasanii hapa Tanzania wamebaki Prof.J na shugu,na marehemu J.Komba. nyie wote ni waigizaji.
Ina maana utatupilia mbali uadilifu?Hahaaaaa,haipo hivyo mkuu,majukumu ya ajira yanafanya kwa kiasi Fulani kutoshirikiana kila Jambo na hao wajumbe na hivyo kuonekana Kama tunawadharau kumbe sivyo.Lakini kwakuwa nimejifunza kitu,2025 nitakuwa mtu tofauti na 2020.
😁😁😁😁In
Ina maana utatupilia mbali uadilifu?
Big smile Mr. Pipi, Karibu😁😁😁😁
Wajumbe wamemfanya anko wangu kukosa hamu ya kula.
juzi kavaa shati nje ndani,kasahau hata funguo za gari aliweka wapi.
Kamuulize Mzee wa K-vant kapewa kiasi gani cha fedha na Nyalandu.
alafu pia akwambie na kiasi cha fedha alichopewa na Edlow 2015.
JPM wala hakubaliani na rushwa. Ndio maana chama kimeweka utaratibu wa kuwachuja upya wagombea ili kuwaondoa watoa rushwa.Ndio umemaliza utetezi wa hii rushwa ya aibu mliyokuwa mnahadaa wananchi kuwa Magufuli anapambana nayo?
Magufuli kaikuta rushwa ishakuwa na mizizi mirefu mno.kuing'oa pia ni mchakato wa mufa mrefu sana.Ndio umemaliza utetezi wa hii rushwa ya aibu mliyokuwa mnahadaa wananchi kuwa Magufuli anapambana nayo?
JPM wala hakubaliani na rushwa.ndo maana chama kimeweka utaratibu wa kuwachuja upya wagombea ili kuwaondoa watoa rushwa.
na wagombea wengine waliopita wapo mikononi mwa takukuru na kamati kuu itawaengua.
Katika hili nakuhakikishia mkuu,Kuna zaidi ya asilimia 80 wote,waliopata kura nyingi wamezipata kwa rushwa tupu,wale waliopata sifuri au hata 5 ndo hawakutoa rushwa hata kidogo,Kama chama kinataka kutokomeza rushwa kwenye uchaguzi,basi wanapaswa kufanya maamuzi magumu mno Tena mno ili kupitia sifa za hata wale waliopata 0 maana hao ndio waadilifu lakini pia hawana makundi ili kutoa funzo kwa chaguzi zijazo.JPM wala hakubaliani na rushwa.ndo maana chama kimeweka utaratibu wa kuwachuja upya wagombea ili kuwaondoa watoa rushwa.
na wagombea wengine waliopita wapo mikononi mwa takukuru na kamati kuu itawaengua.
Magufuli kaikuta rushwa ishakuwa na mizizi mirefu mno.kuing'oa pia ni mchakato wa mufa mrefu sana.
Hahaaaaa,haipo hivyo mkuu,majukumu ya ajira yanafanya kwa kiasi Fulani kutoshirikiana kila Jambo na hao wajumbe na hivyo kuonekana Kama tunawadharau kumbe sivyo.Lakini kwakuwa nimejifunza kitu,2025 nitakuwa mtu tofauti na 2020.
Hayo ni maneno ya wapiga kura mkuu,mpaka Leo wanaendelea kusema hivyohivyo,Wala haikuwa sehemu ya Sera yangu. Nisieleweke vibaya tafadhali kwamba ni siasa za taka maji kihivyo,lengo la kuyaandika maneno hayo hapa ni kuonesha namna wapiga kura walivyokuwa wakitulaghai kwa maneno hayo na ndo maana nimehitimisha kwa kuweka funzo nililolipata katika mchakato huo.Binafsi sijapendezwa na huu mstari "Diwani aliyekuwa akitetea kiti hana siasa zenye manufaa hata kidogo,kwa ufupi tu ni mzee,ameishia darasa la 4,si mzawa wa ile kata na mpaka sasa aslimia 80 ya shughuli na makazi yake yapo nje ya kata yetu".
Hiyo ni sawa na unamtongoza binti na kwakua unamfahamu bwana wake, basi unaanza kumpondea kwa binti.
Yaani kwa aina hiyo ya kampeni, hata hiyo kura 0 walikupendelea na ilitakiwa uambiwe kura zako ni zile zilizo haribika.
Hahaaaaa, Kama inanihusu mimi vile mkuu, kweli kabisa kina mjumbe alikuwa kwenye foleni tukawa tunachekeana huku moyoni nikichekelea kuwa hapo nishapata kura kumbe, ngoja nibaki kuvunjika mbavu mkuu.😁😁😁😁😁Ndiyo tabia zenu View attachment 1517434
Katika hili nakuhakikishia mkuu,Kuna zaidi ya asilimia 80 wote,waliopata kura nyingi wamezipata kwa rushwa tupu,wale waliopata sifuri au hata 5 ndo hawakutoa rushwa hata kidogo,Kama chama kinataka kutokomeza rushwa kwenye uchaguzi,basi wanapaswa kufanya maamuzi magumu mno Tena mno ili kupitia sifa za hata wale waliopata 0 maana hao ndio waadilifu lakini pia hawana makundi ili kutoa funzo kwa chaguzi zijazo.
Namuonea Sana huruma mheshimiwa Rais,Ana Nia nzuri kwa Tanzania kwa kutokomeza rushwa,lakini masikini ya Mungu juhudi zake zinahujumiwa mno na wachini wake.
Hakika bado tuna safari ndefu mno.
Safari ni ndefi sana.rushwa imetamalaki waziwazi,tena watoaji na wapokeaji wala hawana hofu kabisa.Katika hili nakuhakikishia mkuu,Kuna zaidi ya asilimia 80 wote,waliopata kura nyingi wamezipata kwa rushwa tupu,wale waliopata sifuri au hata 5 ndo hawakutoa rushwa hata kidogo,Kama chama kinataka kutokomeza rushwa kwenye uchaguzi,basi wanapaswa kufanya maamuzi magumu mno Tena mno ili kupitia sifa za hata wale waliopata 0 maana hao ndio waadilifu lakini pia hawana makundi ili kutoa funzo kwa chaguzi zijazo.
Namuonea Sana huruma mheshimiwa Rais,Ana Nia nzuri kwa Tanzania kwa kutokomeza rushwa,lakini masikini ya Mungu juhudi zake zinahujumiwa mno na wachini wake.
Hakika bado tuna safari ndefu mno.