- Thread starter
- #61
πππππNa cha nne ni uchawi hasa ukiwa CCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππNa cha nne ni uchawi hasa ukiwa CCM.
Kabisa mkuu.Fanya yote ila kama hauna ruzuku bas kura utasikilizia bombani!
Sawa mkuu.siku nyingine hakikisha mkeo ni mmoja wa wajumbe π
Mkuu wewe ulifaa haswa kuwa diwani.Hahaaaaa,Kama inanihusu mimi vile mkuu,kweli kabisa kina mjumbe alikuwa kwenye foleni tukawa tunachekeana huku moyoni nikichekelea kuwa hapo nishapata kura kumbe,ngoja nibaki kuvunjika mbavu mkuu.πππππ
Kwanini kiongozi?Mkuu wewe ulifaa haswa kuwa diwani.
Mkuu,ukiwa mgombea lakini si mjumbe wa mkutano mkuu,huruhusiwi kupiga kura.Kwa mfano,katika wagombea wote 8 tuliokuwepo,ni wagombea wawili tu ndiyo walikuwa wapiga kura na wakajipigia,ndiyo maana utaona,yule aliyepata kura 23 na alikuwa mjumbe wakati yule aliyepata kura 22 hakuwa mjumbe ambapo huyu naye angekuwa mjumbe angejipigia kura na kupata 23 na kuwa sawa na mwenzake,lakini pia yule aliyepata 1 naye alikuwa mjumbe na hiyo ndiyo ilikuwa kura yake,naye naamini asingekuwa mjumbe,basi angepata sifuri Kama sisi.Wajumbe wasingekupa kura kwa vile hata wewe mwenyewe hukujipa kura yako mwenyewe ndio maana ukapata sifuri.
Ahsante Sana mkuu, ulichosema ndicho nilichojifunza.Mkuu pole hiyo ndio CCM,yanasemwa kila siku CCM ina wenyewe.
Kumbuka pia mkono mtupu huwa haulambwi mkuu.Vijana wao wanasema bila pesa hupati mchumba.
sio rahisi kiivyo. Kuna jamaa alikula zero na mkewe alikuwa mjumbe, wake up this is africa Bro.siku nyingine hakikisha mkeo ni mmoja wa wajumbe [emoji3]
Mkuu umenena vema Sana,basi hayo ndiyo yalinisukuma kutia Nia,nawatu niliwaeleza umuhimu wa mgombea kuwa na elimu na uelewa wa Mambo mengi utakaomboost kujenga hoja za nguvu na ushawishi lakini nikaambulia hiyo.Mchakato wa kupata wagombea udiwani, ilikuwa muhimu isimamiwe na chama hata ngazi ya mkoa. Pia ni wakati sheria zetu kuubadikilishwa ili anagalau kuongeza sifa za mgombea, kuwa hata na elimu ya form four.........Lkn bila hivo changamoto bado zitakuwa kubwa kule halmashaur, kwa sababu madiwan wengi ni stardand 7 & 4, hivo kushindwa kuhoji kikamilifu matumiz na makusanyo ya halmashaur. Mfano ukisoma taarifa ya CAG kuhusu LGAs ni ufisadi tu, ambao unachangiwa na mabalaza mabovu ya madiwan. Hizi nafasi zinahijat angalau watu wenyew uelewa wa mambo, lkn kwa bahat mbaya zimehodhiwa na wazee fulani huko vijijini ambao mchango wao sio effective kwa maendeleo ya halmashaur mbali mbali !
Rushwa ipo kila sehemu sio CCM tu, ipo kila chama na karibia kila taasisi. Rushwa ni tabia ya mtu sio taasisi
Kiukweli rushwa ni adui was haki.Huko kwengine ni shule ya msingi na chekechea , Kwa CCM ni University ya rushwa , huko watu huchukua ma degree na phds katika rushwa na roho mbaya
Kwakweli ni noma Sana.Bora wewe mkuu, wa kuonewa huruma ni Master J..yeye wajumbe walimwambia "We njoo tu kaka, kila kitu tayari huku nyoa na rasta kabisa" kinachosikitisha kakosa vyote, ubunge na rasta. Bila shaka umepata funzo kwanin mjumbe hauawi, hawauawi kwa sababu wajumbe ndo' wauaji