Uchaguzi 2020 Funzo nililolipata baada ya kupata 0 kwenye kura za maoni za udiwani CCM

Ujamwona SHEMEJI YANGU moja katokaa NJE kawajazaa hadhadi ma PhD holder akiwamanisha atashinda uraisi SASA ile ndioo una.,...wenyewe HATAKAMA Unajua halihalisi n IPI

wasiojua janannimecheka nae ssana kwenyehilii nkafikia kusema ntutunxie na madadazetu SIO kwa style ya siasa HIZI,,......
furaha ikaendeleaaa mpwaaa is back
tunamshukuru Mungu kumrudisha AKIWA HAI na NGUVU mengineyo t unamwachia Mungu swabaannah wataala mjaza Neema ndogondogo na KUBWA ndefu na fupi Nene na nyembembaa
welcome BK
t.lissu
 
Na katiba mpya tusiitegemee maCCM hayaitaki kwa makusudi sababu itaharibu ushenzi wao wa kuiba na kula rushwa.
 
Wajumbe , hawasikilizi hotuba yako ya kujinadi.

Kweli umejilipia kujifunza siasa, sasa yule atakayeteuliwa wewe jipendekeze kuwa mshirika wake.

Piga kampeni za nguvu kumnadi hiyo ndiyo njia ya kujitambulisha kwa wananchi.
Na nimeahidi kufanya hivyo bila kinyongo.
😁😁😁😁😁😁
 
Mkumbushe Lissu kuwa akipata kura 0 asishangae.
Pia usisubiri miaka 5 ijayo ili kuwatumikia wananchi, watumikie sasa kwa dhati ili baada ya miaka 5 wakufuate wenyewe wakikusihi ugombee
 
Mkumbushe Lissu kuwa akipata kura 0 asishangae.
Pia usisubiri miaka 5 ijayo ili kuwatumikia wananchi, watumikie sasa kwa dhati ili baada ya miaka 5 wakufuate wenyewe wakikusihi ugombee
Nakushukuru kwa ushauri wako mkoo,nami nimepanga kufanya hivyo bila kinyongo na nitashirikiana na diwani atakayeteuliwa bila unafiki.Ahadi nilizoziahidi zilizo ndani ya uwezo wangu nitazitekeleza katika kipindi hiki.
 
FUNZO NILILOLIPATA
1. Katika kugombea kitu Cha kwanza ni MTAJI WA FEDHA KWA AJILI YA RUSHWA.
2. Jambo la pili ni UNAFIKI.
3. CV ni na ukweli ni Jambo la ziada tu.
Mlimwamini jiwe kuwa Rushwa imeisha! Hahahaha I once said it kuwa rushwa ndio kwanza imenoga na kuhalalishwa kipindi hiki.... Asante kwa kukiri
 
CCM kama huna hela wewe andika maumivu
 
JPM wala hakubaliani na rushwa. Ndio maana chama kimeweka utaratibu wa kuwachuja upya wagombea ili kuwaondoa watoa rushwa.

na wagombea wengine waliopita wapo mikononi mwa takukuru na kamati kuu itawaengua.
Ahahahaha basi itawaondoa wote, maaana hakuna aliyepita bila kugawa pesa, ila nashkru tu kwa kumtia adabu Mwakyembe
 
wajumbe noma!
 
Wasomi wengi wameanguka kwa sababu waliamini kuwa kiongozi Tz ni CV yako tu ,wakati wengine wanaamini rushwa na wajumbe wanasubiri rushwa.
Lazima iwekwe system mpya ya kuondokana na hili tatizo
 
Wasomi wengi wameanguka kwa sababu waliamini kuwa kiongozi Tz ni CV yako tu ,wakati wengine wanaamini rushwa na wajumbe wanasubiri rushwa.
Lazima iwekwe system mpya ya kuondokana na hili tatizo
Kabisa mkuu,kwa mara ya kwanza kwa macho yangu nimethibitisha kuwa kweli rushwa ni adui wa Hali.Wengi walioongoza kura hizo wametoa Sana rushwa na sijui tunatengeneza taifa la namna gani kiukweli.Namuonea huruma Sana mheshimiwa Rais kuwa ndoto yake ya Tanzania bila rushwa inahujumiwa mno.
 
Siasa ni biashara.... na biashara zinahitaji pesa, mwaka huu mmejifunza wengi. 2025 mtakuwa wachache
 
Kubari umeshindwa kwa ujinga wako sio kwa sababu ya rushwa wala nn. Kwanza mnaojiita wasomi mnatabia ambazo si rahis mtu kukuamin
  1. Kutopenda kushirikiana na watu mnao waita darasa la 7 katika jamii zenu wakat ndio wapiga kura wenu.
  2. Kionekana karibu na wajumbe wakati wa uchaguzi tu ( ulisha wai ama ulikuwa na mahusiano au ukaribu gani na wajumbe hapo nyuma kabla ya uchaguzi?)
  3. Wengi wa watiania juhudi zenu ndani ya chama katika eneo hisika zilikuwa hazijulikani ( mtu ajawai kuwa ata mwenyekiti wa vijana wa kata wa chama alaf anataka watu wamuamin karahis rahis tu)
  4. Mnaubaguzi sana nakujiona kuwa nyie ni bora ( kujiita msomi alafu ukamuita mwingne"darasa la saba" jua umeisha jitenga nae)
  5. Mnasahau kuwa wajumbe ni wapelelezi japo ni darasa la saba kama mnavyo waita ( unasema ww ni msomi utashrikiana nao wakati ata kwenye misiba na visherehe vya mtaan kwako uwa hauuzulii, sasa hapo ushirikiana nao aje?)
Kama kweli una nia ya kugombea tena acha kuishi maisha mnayoita ya kisomi kumbe mnajitenga na jamii zenu, ishi kisomi ndan mwako tu ukitoka nje jichanganye nao, shiriki katika kila shughuri ya kijamii inayojitokeza pale mtaan kwako ww pamoja na familia yako, iwe ni yachama ama ya jamii nzima,

NB: ili uteke ukaribu na jamii yako jitoe ww na familia yako sana kwenye matukio yanoyo usisha jamii moja kwa moja kama vile misiba hapa ndio tunajuaga nan yupo nas na nan kajitenga nas. Kumbuka ata ukipita kwa rushwa mwisho wa siku jamii itaangalia nan yupo karibu nayo zaid ndio watamchagua
 
Walioshinda wengi ni kwa kuwa

1. Walitoa takrima/rushwa

2. Wapo kwenye inner circle ya chama ('wanafahamika' kwa wajumbe).
 
Tunashukuru sana kwa kutuhakikishia pasipo shaka kuwa ccm na rushwa ni sawa na pete na chanda.
 
Unajua nivigumu mwanasiasa yeyote kukiri au kukubali kuwa kipaumbele cha kwanza chake ni malengo binafsi na pili kuwatumukia wananchi kama kipaumbele chake chamwisho.. Mfano kuacha ukuu wa mkoa nakuja kugombania ubunge . huhitaji akili kubwa kufumbua hili fumbo

 
Acheni kudharau wajumbe, mnawaita darasa la saba na mnajiona wasomi.
Wajumbe hawana shida na dharau wala nini, wana vigezo vyao wale..wewe dharau unavyoweza lakini ukiweza kutunisha mifuko yao wanakupa baraka zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…