Tutauenzi ufalme wake kwa kupeperusha bendera nusu mlingoti kwa siku tatu...Alitawala kwa nguvu na hakuondoka mpaka Bunge limpe mshahara kwenye nchi masikini. Sasa jiulize yuko wapi leo. Hawa viongozi wetu wa Mungu watu wajue huwezi kujua kesho kitatokea nini!
Burundi's parliament has voted to pay $530,000 (£400,000) to President Pierre Nkurunziza and provide him with a luxury villa when he leaves office.
It also proposes that Mr Nkurunziza be elevated to the title of "supreme leader" when he steps down in May.
View attachment 1476821
Malipo ni hapahapaAlitawala kwa nguvu na hakuondoka mpaka Bunge limpe mshahara kwenye nchi masikini. Sasa jiulize yuko wapi leo. Hawa viongozi wetu wa Mungu watu wajue huwezi kujua kesho kitatokea nini!
Burundi's parliament has voted to pay $530,000 (£400,000) to President Pierre Nkurunziza and provide him with a luxury villa when he leaves office.
It also proposes that Mr Nkurunziza be elevated to the title of "supreme leader" when he steps down in May.
View attachment 1476821
Watakula dhambi. Wako wapi watoto wa Mobutu au Bokassa na mabilioni yote ya dola waliyoiba na kuyaficha Uswisi?Lakini watoto watakula maisha yao yote na ukoo mzima,,labda ije serikali ya upinzani wataifishe kila kitu
Wale walikose kuficha huko,,wazungu dhulmati wale,,wangeficha dubey,watoto wa idd amin bado wako safi tuWatakula dhambi. Wako wapi watoto wa Mobutu au Bokassa na mabilioni yote ya dola waliyoiba na kuyaficha Uswisi?
Jidanganye. Hayo mafao ndo imetoka.Lakini watoto watakula maisha yao yote na ukoo mzima,,labda ije serikali ya upinzani wataifishe kila kitu
Evariste ni family friend hawezi kumwangusha rafiki yake marehemuJidanganye. Hayo mafao ndo imetoka.
You dont know about that aisee. Binadam hubadilika sana. Hata yule wa karib yako.Evariste ni family friend hawezi kumwangusha rafiki yake marehemu
Mkuu si Nkurunziza tu hakuna ajue kesho mimi na wewe tukiwemo,kwahiyo si jambo la kumnanga marehemu.hata ungekuwa wewe ungefanya hivyo hivyo, nimemkumbuka Kadinali pengo aliposema wale wanaosema jamaa ni fisadi wanasema hivyo sababu nao hawajapata nafasi kama ya huyo wanayemsema fisadi kwani nao wangefanya hivyo hivyo ni kuwa tu hawajapata jiyo nafasi.Alitawala kwa nguvu na hakuondoka mpaka Bunge limpe mshahara kwenye nchi masikini. Sasa jiulize yuko wapi leo. Hawa viongozi wetu wa Mungu watu wajue huwezi kujua kesho kitatokea nini!
Burundi's parliament has voted to pay $530,000 (£400,000) to President Pierre Nkurunziza and provide him with a luxury villa when he leaves office.
It also proposes that Mr Nkurunziza be elevated to the title of "supreme leader" when he steps down in May.
View attachment 1476821
Evariste ni family friend hawezi kumwangusha rafiki yake marehemu
Hata muda wa kuyapanga mabulungutu haukuwepo kabisa ndio kisa Mama kainuka kitandani Nairobi akarudi faster Bujumbura
Alitawala kwa nguvu na hakuondoka mpaka Bunge limpe mshahara kwenye nchi masikini. Sasa jiulize yuko wapi leo. Hawa viongozi wetu wa Mungu watu wajue huwezi kujua kesho kitatokea nini!
Burundi's parliament has voted to pay $530,000 (£400,000) to President Pierre Nkurunziza and provide him with a luxury villa when he leaves office.
It also proposes that Mr Nkurunziza be elevated to the title of "supreme leader" when he steps down in May.
Meko uko hapo?
View attachment 1476821
Kumbe huwajui wanadamu eeeEvariste ni family friend hawezi kumwangusha rafiki yake marehemu
Mungu pekee ndiye ajuaye kesho yetu....Alitawala kwa nguvu na hakuondoka mpaka Bunge limpe mshahara kwenye nchi masikini. Sasa jiulize yuko wapi leo. Hawa viongozi wetu wa Mungu watu wajue huwezi kujua kesho kitatokea nini!
Burundi's parliament has voted to pay $530,000 (£400,000) to President Pierre Nkurunziza and provide him with a luxury villa when he leaves office.
It also proposes that Mr Nkurunziza be elevated to the title of "supreme leader" when he steps down in May.
View attachment 1476821