11 January 2022
EXCLUSIVE THE BIG AJENDA USIKU WA LEO NA ALIYEKUWA MGOMBEA WA JIMBO LA KAWE, FURAHA DOMINICK.
Baada ya ukimya wa kipindi kirefu ajitokeza kwa mahojiano ya kina.
Furaha Dominic, mkemia na mbobevu wa elimu ya mazingira kwa fani alizosomea azungumzia pande mbili za uncle wake John Pombe Magufuli. Mjomba John Pombe Magufuli kuwaamini rafiki na watu wake wa karibu na hivyo wakati mwingine kutokana na imani hiyo alishauriwa vibaya na kupelekea watu kuumizwa bila kujua, na sasa 'wanamsaliti' kwa wazi Magufuli na sera zake.
Pia aliyoyaona ndani ya makundi yaliyopo ndani ya CCM kuelekea uteuzi wa kuchagua wagombea wa ubunge jijini Dar es Salaam hususan jimbo la uchaguzi la Kawe lililopo jijini Dar es Salaam. Furaha Dominick aliwahi kukamatwa tarehe 26 June kabla ya uchaguzi 2020 na kuwekwa ndani wakati wa utawala wa awamu ya 5.
Furaha Dominick visheni yake na matamanio ya CCM iende vipi na matamanio ya wananchi ... n.k n.k mengi sana.
Source: Star TV Habar
EXCLUSIVE THE BIG AJENDA USIKU WA LEO NA ALIYEKUWA MGOMBEA WA JIMBO LA KAWE, FURAHA DOMINICK.
Baada ya ukimya wa kipindi kirefu ajitokeza kwa mahojiano ya kina.
Furaha Dominic, mkemia na mbobevu wa elimu ya mazingira kwa fani alizosomea azungumzia pande mbili za uncle wake John Pombe Magufuli. Mjomba John Pombe Magufuli kuwaamini rafiki na watu wake wa karibu na hivyo wakati mwingine kutokana na imani hiyo alishauriwa vibaya na kupelekea watu kuumizwa bila kujua, na sasa 'wanamsaliti' kwa wazi Magufuli na sera zake.
Pia aliyoyaona ndani ya makundi yaliyopo ndani ya CCM kuelekea uteuzi wa kuchagua wagombea wa ubunge jijini Dar es Salaam hususan jimbo la uchaguzi la Kawe lililopo jijini Dar es Salaam. Furaha Dominick aliwahi kukamatwa tarehe 26 June kabla ya uchaguzi 2020 na kuwekwa ndani wakati wa utawala wa awamu ya 5.
Furaha Dominick visheni yake na matamanio ya CCM iende vipi na matamanio ya wananchi ... n.k n.k mengi sana.
Source: Star TV Habar