Uchaguzi 2020 Furaha Dominic, afunguka mazito kuhusu uchaguzi wa 2020

Uchaguzi 2020 Furaha Dominic, afunguka mazito kuhusu uchaguzi wa 2020

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
11 January 2022

EXCLUSIVE THE BIG AJENDA USIKU WA LEO NA ALIYEKUWA MGOMBEA WA JIMBO LA KAWE, FURAHA DOMINICK.



Baada ya ukimya wa kipindi kirefu ajitokeza kwa mahojiano ya kina.

Furaha Dominic, mkemia na mbobevu wa elimu ya mazingira kwa fani alizosomea azungumzia pande mbili za uncle wake John Pombe Magufuli. Mjomba John Pombe Magufuli kuwaamini rafiki na watu wake wa karibu na hivyo wakati mwingine kutokana na imani hiyo alishauriwa vibaya na kupelekea watu kuumizwa bila kujua, na sasa 'wanamsaliti' kwa wazi Magufuli na sera zake.

Pia aliyoyaona ndani ya makundi yaliyopo ndani ya CCM kuelekea uteuzi wa kuchagua wagombea wa ubunge jijini Dar es Salaam hususan jimbo la uchaguzi la Kawe lililopo jijini Dar es Salaam. Furaha Dominick aliwahi kukamatwa tarehe 26 June kabla ya uchaguzi 2020 na kuwekwa ndani wakati wa utawala wa awamu ya 5.

Furaha Dominick visheni yake na matamanio ya CCM iende vipi na matamanio ya wananchi ... n.k n.k mengi sana.

Source: Star TV Habar
 
Azungumzia pande mbili za uncle wake John Pombe Magufuli. Mjomba John Pombe Magufuli kuwaamini rafiki na watu wake wa karibu na hivyo wakati mwingine kutokana na imani hiyo alishauriwa vibaya na kupelekea watu kuumizwa bila kujua, na sasa 'wanamsaliti' kwa wazi Magufuli na sera zake .. .
 
azungumzia pande mbili za uncle wake John Pombe Magufuli. Mjomba John Pombe Magufuli kuwaamini rafiki na watu wake wa karibu na hivyo wakati mwingine kutokana na imani hiyo alishauriwa vibaya na kupelekea watu kuumizwa bila kujua, na sasa 'wanamsaliti' kwa wazi Magufuli na sera zake .. .
Hao watu alioumizwa kwa Mujibu wa Furaha ni akina nani? Si walikuwa wanafurahia.

Muosha huoshwa
 
Hakuna kibaya au alichokosea kuongea Furaha Dominiki; sababu hakuna mwanadamu aliyemkamilifu na pia hakuna anaueweza kuwaridhisha watu wote wanaomzunguka kwa 100%

Hata tunaoona anamsema uncle wake tunajipa moyo tuu sababu ya chuki tulizo nazo juu yake, kabla ya kumsema hebu turudi kwenye familia zetu, office zetu, kwenye nyumba zetu za ibada, mitaani kwetu halafu tuone kama kila mtu anatukubali kwa 100%.

Aendelee kulala salama Mwamba Shujaa na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania John Pombe Joseph Magufuli.

Umeenda kimwili lakini kiroho unaishi, wacha waendelee kukujadili😃
 
Hakuna kibaya alichokosea kuongea Furaha Dominiki; sababu hakuna mwanadamu aliyemkamilifu na pia hakuna anaueweza kuwaridhisha watu wote wanaomzunguka kwa 100%

Hata tunaoona anamsema uncle wake tunajipa moyo tuu sababu ya chuki tulizo nazo juu yake, kabla ya kumsema hebu turudi kwenye familia zetu, office zetu, kwenye nyumba zetu za ibada, mitaani kwetu halafu tuone kama kila mtu anatukubali kwa 100%.

Aendelee kulala salama Mwamba Shujaa na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania John Pombe Joseph Magufuli.

Umeenda kimwili lakini kiroho unaishi, wacha waendelee kukujadili[emoji2]
Mtu mbinafsi na mkabila unamwitaje shujaa
 
Malaika huwa wanakosa? Sio nyie mliyemuondolea uanadamu na kumpachika uungu? Leo Mungu kafanya yake ndio mnajua mtu wenu alikuwa mwanadamu na hakuwa mkamilifu [emoji817] %?
Hakuna kibaya alichokosea kuongea Furaha Dominiki; sababu hakuna mwanadamu aliyemkamilifu na pia hakuna anaueweza kuwaridhisha watu wote wanaomzunguka kwa 100%

Hata tunaoona anamsema uncle wake tunajipa moyo tuu sababu ya chuki tulizo nazo juu yake, kabla ya kumsema hebu turudi kwenye familia zetu, office zetu, kwenye nyumba zetu za ibada, mitaani kwetu halafu tuone kama kila mtu anatukubali kwa 100%.

Aendelee kulala salama Mwamba Shujaa na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania John Pombe Joseph Magufuli.

Umeenda kimwili lakini kiroho unaishi, wacha waendelee kukujadili[emoji2]
 
Back
Top Bottom