Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za Utupu

Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za Utupu

KIFUPI ANAUZA HIZO PICHA KWA BEI JUU SASA NAHISI WALIOCHUKULIWA AWAKUPEWA STAHIKI ZINAZOTAKIWAMAANA JAMAA KUKUUPOTEZEA DK 0....
 
HUYUU JAMÀ SI NDIO ANAREDIOO 90.9 FURAHA FM NA KUNA MCHUNGAJI ANAITWA KIBOKO WA WACHAWI ANAHUBIRI HUKOO DOH INABIDI AJITAFAKARII

ANAFUFUAA WATU VIA REDIO YA FURAHAAA HAHAHAAAAA DUNIA HADAA ULIMWENGUDSHUJAAA
Ok ndohuyo mhubiri wa buza? Dah yule sio wa kawaida Bora apigwe marufuku niliskia siku anataka mtu afe kupitia redio eti kisa anamhisi ni mchawi!!
 
Kabisa,maana ili picha yako ifanikiwe kupatwa ,ili uweze kuchukuliwa video Maana yake umezidiwa akili.Mfano Gwajima tuliona yeye mwenyewe kabisa anarekebisha angle ya caméra.Ya Nyalandu unaona kabisa akiwa anaingia,ana tomba kila kitu kipo clear.
Mbna mm sijaona ya nyalandu
 
Kuumbe ndo maana huyu dogo hanaga hata maadili ya kiuongozi amejaa dharau na kiburi kumbe anafanya michezo michafu hivi?

Sheria ifuate mkondo wake,
Maadili ya kiongozi hasa ccm inapohusika ndio haya ya wizi kuanzia wa kura mpaka yanayotangazwa na cag kila Mwaka au yapi?
 
HUYUU JAMÀ SI NDIO ANAREDIOO 90.9 FURAHA FM NA KUNA MCHUNGAJI ANAITWA KIBOKO WA WACHAWI ANAHUBIRI HUKOO DOH INABIDI AJITAFAKARII

ANAFUFUAA WATU VIA REDIO YA FURAHAAA HAHAHAAAAA DUNIA HADAA ULIMWENGUDSHUJAAA
Vp nawewe kesi yako inaendaje huko amerika
 
Najaribu ku-connect dots,huyu ndie alimshindaga Gwajima kwny uchaguzi wa ndani ya chama(Kawe) ingawa mjomba wake alimkata(Magu) akampa Gwajima.Je huyu ndiye aliyesambaaza connection ya Gwaji boy enzi zile?
Alimshinda pia paschal mayalla
 
Back
Top Bottom