Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ndiyo tabia yao.Upumbavu, kwa hiyo mhalifu angetakiwa kuachwa kwa sababu ni rafiki wa CCM? Chadema mngemuacha sababu ni rafiki yenu?
Ok ndohuyo mhubiri wa buza? Dah yule sio wa kawaida Bora apigwe marufuku niliskia siku anataka mtu afe kupitia redio eti kisa anamhisi ni mchawi!!HUYUU JAMÀ SI NDIO ANAREDIOO 90.9 FURAHA FM NA KUNA MCHUNGAJI ANAITWA KIBOKO WA WACHAWI ANAHUBIRI HUKOO DOH INABIDI AJITAFAKARII
ANAFUFUAA WATU VIA REDIO YA FURAHAAA HAHAHAAAAA DUNIA HADAA ULIMWENGUDSHUJAAA
dr namugari vipi umenikuta popote nikimfagilia huyo tapeli Gwajima?Ni search humu unione kama nimewahi kumfagilia huyu Askofu Feki Gwajima, tapeli wa Biblia. Ukimikuta piga screenshot ilete hapa. Nitajitoa JF
Wewe jamaa banaAnayefuatia ni Mwashambwa , Hakika Shetani hana rafiki
Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - Kikwete
HHknMwNje ya Mada :
Hivi DCEA wamekamata kilo ngapi za Ngada ?
Mwenye video ya gwajoboySasa mbunge aliyepo, si ndo alijirekodi akifanya ngono? Au tumesahau Video ya Gwajima bila aibu anasema siyo yeye, huyo ana mkono wa baunsa ..HHknMweenye
Mbna mm sijaona ya nyalanduKabisa,maana ili picha yako ifanikiwe kupatwa ,ili uweze kuchukuliwa video Maana yake umezidiwa akili.Mfano Gwajima tuliona yeye mwenyewe kabisa anarekebisha angle ya caméra.Ya Nyalandu unaona kabisa akiwa anaingia,ana tomba kila kitu kipo clear.
Asante kwa huu Ushauri wako Mkuu.Humu wanaokupuuzaga na kukidhihaki huwa nawashangaaga sana
Ila wajanja na wale wanaojua kungamua mambo ahh tunakusoma na kukielewa sana
Alafu genta sahv usiwaamshe waliyolala
We waache na ubishi wao tu
Ova
Maadili ya kiongozi hasa ccm inapohusika ndio haya ya wizi kuanzia wa kura mpaka yanayotangazwa na cag kila Mwaka au yapi?Kuumbe ndo maana huyu dogo hanaga hata maadili ya kiuongozi amejaa dharau na kiburi kumbe anafanya michezo michafu hivi?
Sheria ifuate mkondo wake,
Fanya tafiti kisha uje na jibu.Kwani kumiliki kituo Cha kurusha matangazo ya redio unatakiwa uwe na umri kuanzia miaka mingapi?
Vp nawewe kesi yako inaendaje huko amerikaHUYUU JAMÀ SI NDIO ANAREDIOO 90.9 FURAHA FM NA KUNA MCHUNGAJI ANAITWA KIBOKO WA WACHAWI ANAHUBIRI HUKOO DOH INABIDI AJITAFAKARII
ANAFUFUAA WATU VIA REDIO YA FURAHAAA HAHAHAAAAA DUNIA HADAA ULIMWENGUDSHUJAAA
Popoma Ndio kaongea ukweliFuraha Dominic si mpwa wa JIWE? Anamilike Redio kweli huyo? 32 yrs?? Au alikwapua pesa kipindi cha jiwe akainvest? Ubunge alikosa.
Kwa Nini?Huyu wa picha za utupu sio yule binamu yake na Jiwe kweli?
Enzi za mjomba wake alifanya mabaya na machafu sana kwa watu!
Alidhulumu hadi haki za kuishi za watu na alikuwa akijiita usalama wa Taifa!
Jamaa wamemuwahi ana picha za mama yenu huyoUsikute ina uhusiano na yale mapicha ya kimange anayorusha
😂😂😂😂😂 Be careful