AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,318
- 4,106
kwahiyo mnadhani kesi ya nyani kwa ngedere inaishiaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Body language imejaa ujivuni.Swali la kwanza = Hakuna
Swali la pili=Hakuna
Swali la tatu=Hakuna
Muulizaji anauliza kutimiza itifaki tu ama?
Waitikiaji nao?
Hizo swing wakati na kushika kipaza sauti na total body motion yake ni attitude ama?
Huyo jamaa mwenye Ndevu na upara kamuangalia mshika kipaza sauti kichwani mpaka miguuni, mara mbili! Sampling ama?!
Inaonekana Chaguzi za ndani na kura za maoni CCM ni ngumu kuliko G.E.
Yaaah ni Bora ukafanye Interview UN au sehemu nyingine kuliko kazi ya kupigiwa Kura.!Swali la kwanza = Hakuna
Swali la pili=Hakuna
Swali la tatu=Hakuna
Muulizaji anauliza kutimiza itifaki tu ama?
Waitikiaji nao?
Hizo swing wakati na kushika kipaza sauti na total body motion yake ni attitude ama?
Huyo jamaa mwenye Ndevu na upara kamuangalia mshika kipaza sauti kichwani mpaka miguuni, mara mbili! Sampling ama?!
Inaonekana Chaguzi za ndani na kura za maoni CCM ni ngumu kuliko G.E.
Mpwaa mitaa yangu ya nyumbani pia siyo mbali na mzee wangu hapo...nmepita hapo naona hapaelewekielewekiMULIRO CHUNGUZA NA HII REDIO 90.9 KAMA WANALIPA STAHUKI ZA SERIKALI NA FWATILIEN VIPINDI VYAKEE USANII MTUPU MWANZO MWISHO
CC
TRA
....NK
Humu wanaokupuuzaga na kukidhihaki huwa nawashangaaga sanaHakuna Kitu ambacho GENTAMYCINE ama sikijui au nikitaka Kukijua ndani ya dakika chache tu nakijua. Nina Watu Mkuu.
Hahahahaha kumbe mitaa yako hy ya Kiko Avenue..karibu Golden Fork hapa tupate lunchMpwaa mitaa yangu ya nyumbani pia siyo mbali na mzee wangu hapo...nmepita hapo naona hapaelewekieleweki
Ova
Wachaaa bandana mmmhMpwaa mitaa yangu ya nyumbani pia siyo mbali na mzee wangu hapo...nmepita hapo naona hapaelewekieleweki
Ova
Akiwa anawatafuna ndio anawarekodi probably ni viongozi wa CCM.Kuna walakini hapa. Huyo Furaha anawarekodi vipi hao viongozi wakiwa faragha?
Hebu tuwe serious.
Hahahahaha basi tunakaa karibu karibu..white star hapo juu kulikua na Mimosa Bar and restaurant ilikua nakaa sana hapo jioniMzee anaishi huku kitambo tu
Sahv syo kiko ni white star naona mzee mbowe wa white star kataka jina la mtaa uqe wake
Si unajuwa huku ukiangalia kule anakaa karamagi mara kushoto weremA 😄
Home huku ila mm bado mtoto wa kino bana
Ova
Anacheza "rede" na mabinti.KWANI ALIYEPEWA UBUNGE ANAFANYA NINI?
Kabisa,maana ili picha yako ifanikiwe kupatwa ,ili uweze kuchukuliwa video Maana yake umezidiwa akili.Mfano Gwajima tuliona yeye mwenyewe kabisa anarekebisha angle ya caméra.Ya Nyalandu unaona kabisa akiwa anaingia,ana tomba kila kitu kipo clear.Kama anaweza kupata picha za utupu za watu maarufu na vigogo huko Serikalini, basi huyo ni "Kachelo" mzuri, amefuzu vyema katika tasnia ya Sexipionage.
Watekaji ni wale waliomteka Dr. Ulimboka.Mkuu watakuteka hao hawasemwi vibaya!