Furaha anaipata wapi?Kwanini Furaha nae aiposti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Furaha anaipata wapi?Kwanini Furaha nae aiposti
2020 si ishapita boss2020 ni uchaguzi mzee
Kwa Nini ujirokodi picha chafu.furaha Hana kosa.mwenye kosa ni yule aliyejirokodi.utajirekodije picha za uchi?ulilenga Nini?
LOoooh. Kumbe!Ni mpwa wa Magufuli alishinda Kura za maoni jimbo la Kawe Kwa support ya Magufuli halafu Magufuli huyohuyo Kwenye vikao vya juu akamchangia akamchagua Gwajima .
Yaani kichaa Magufuli aliifanya hii nchi kama mali yake binafsi
Afadhali yeye anatetea chama chake. Erythrocyte yeye amekalia kumfagilia Makonda tu, chama chake amekisahau!Sasa Lucas anajenga hoja gani mkuu, yaani zile pumba na vioja unaziita hoja?
Kwa nini??Watamuachia hawatamfanya chochote
Mara kumi ya Erythroyctes, ana uwezo mkubwa wa kureason na anaonekana ana upeo mkubwa, apunguze uchawa kidogo tu.Afadhali yeye anatetea chama chake. Erythrocyte yeye amekalia kumfagilia Makonda tu, chama chake amekisahau!
Sawa mkuu2020 si ishapita boss
Genius / Einstein huwa anakamatwa?Bado GENTAMYCINE na kundi lake kukamatwa
Broo CCM nI Mafiya c mchezoo kukutoa mhanga ni dakika sufuri tu kama huna timu kali hotoboi CCM ni kama GININGI ukifanya mchezo unatolewa kikoa kazi kwenu.Haiitaji akili sana huyu Furaha Dominic ndiye aliyemshinda Gwajima kura za maoni huyu jamaa nyuma ya pazia alitumiwa na Bashite kum blackmail Gwajiboy na huu ni mkakati maalum wa kudhoofishana ila uzuri hizi kete zinasukumwa na Watu wa system wenyewe Kuna Ile ngome imeapa iwe mvua iwe jua kabla 2025 lazma lile kundi la upande wa pili warudi kati tena baada ya ile 12.5.2023.
So hii nguvu yq Makonda siyo yeye ni Kama Cyprian Msiba wao wanatumika Kama kete za drafti hakika mwaka huu wote wameamua na hawapo tayari kurudia makosa ya 17.3.2021 acha wapasuane wamalizane Taifa libaki salama bila haya makundi 4 Makubwa Kama wanavyotaka System uzuri Mama Kizimkazi anajua mstari ulipochorwa tangu mwaka jana aliamua ku step down (Tizi na Jeiwii) wasafishe nyuma japo na yeye ni sehemu ya huo uchafu.
Kwanini asiruhusiwe kiziweka hadharani akiwa analiwaLINI ANAENDA MAHAKAMN
KKWENU WANASHERIA HIVI SI INABIDI TUONYESHWE HIZO PICHA .VID MAHAKAMANI KAMA USHAHIDI??
MAANA A HATA WAKE ZETU/DADAZETU WANAWEZA KUWA WAHANGA WA HUYU MSHENZI.TJUZWE WANANCHI TUJE KUZIONA...IKIWEZEKANA MKIDILI NAE HUKO POLISI TUDILI NAE NA TIBA ASILIAA..OMBII TU...
USIJE SHANGAAAAA UNAPITAAA SEHEMU WATU WANACHEKA UNASHANGAA KUMBE WAMEONA PICHA ZA MKEO AKILIWA 😂
SHETANI HUU ASIACHWEE...