Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Hebu tuzione hizo picha kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyalandu ametoa video ya ngono? Hebuitume hapaIssue ya Nyalandu au?Ukute anawatuma mademu wajilengeshe kwa viongozi,then anaweka hidden camera.Maana ile Video ya Nyalandu huo ni mpango wa watu kabisa.
Shujaa mnamsingizia Mengi 🐼Si walisema ni mjomba Jiwe, labda ndio anatukana Rais
Dogo huyu mpuuzi kumbe anajionaga kuwa yuko vzr mjomba ake kamtafutia Kaz ya tfda Huko Arusha namanga ,alihusishwa na kashafa za rushwa ndio maan magu alivyo aga tu dunia siku hyo hyo tfda ,tbs wakamfukuza kaziFuraha Dominic anashitakiwa kwa kosa la kurekodi video zisizo na maadili za viongozi mbalimbali kisha kuzitumia kujipatia pesa kwa kuwatisha (blackmailing).
Furaha Dominic ni yule kijana ambaye Magufuli alimkata jina na kusisitiza kuwa hafai kuwa mbunge wa Kawe. Magufuli huenda alikuwa anajua shughuli za huyu kijana na namna anavyojipatia pesa.
Akiongea na waandishi wa habari kamanda wa polisi, kanda maalumu ya Dar es Salaam Inspk Murilo amesema ushahidi wa awali umekamilika na mtuhumiwa atafikikishwa mahakamani.
Chanzo Uhondo Tv
Video iko chini
View attachment 2971429
Mm nilimtilia mashaka Sana alivyo fukizwa tbs na tfdaKile kichwa nilijua tu Kuna Mambo kinafanya ambayo ni ya ujingaa ,utoto ni mwingi sana eti ndo alitaka apewe ubunge angevulunda tu yulehata
🤣🤣🤣🤣🤣Kuna walakini hapa. Huyo Furaha anawarekodi vipi hao viongozi wakiwa faragha?
Hebu tuwe serious.
Sasa Lucas anajenga hoja gani mkuu, yaani zile pumba na vioja unaziita hoja?Unamchukia kwa kuwa anakuzidi kwenye kujenga hoja za kutetea chama chake kuliko wewe unavyotetea cha kwako kwa porojo na udaku. Una post nyingi zaidi za kumpromote Makonda kuliko kukielezea chama chako na wanasiasa wake akina mdude.
Hahahaha bila shaka wewe Ni timu gwajima hayo yanatokea Yana mkono was gwajimaHuyu ashughulikiwe vilivyo kwa kuwa AMEPANIA sana kuwa mgombea wa CCM Kawe uchaguzi wa mwaka 2025
Blackmailing ndio mbinu kubwa wanayotumia watu wa CCM, hata zile drama za Makonda ni njia zake za ku blackmail wenzake ndani ya CCM.Alikuwa chama gani?
Dah, kukatwa na Magufuli, itakuwa ni mtu wa CCM huyo. Hiyo ni sampuli ndogo tu ya watu waliomo ndani ya chama hicho enzi hizi.
Kumbe ni kitu anafanya kweli Mkuu?Ni presha za uchaguzi wa 2025, hivyo wanasiasa wanachafuana sana ndani ya CCM. Jamaa anapiga pesa kwa huo mchongo kwa kuletewa hizo picha na watu wengine.
Wahasimu wake kisiasa wako hapaMwenye Moja yahizo video za ngono aiweke hapa.
Hii imetengenezwa ili kumshughulikia.
Hata mimi nimejiuliza jee ndio muhusika wa filamu ya MKONO WA BAUNSA?Najaribu ku-connect dots,huyu ndie alimshindaga Gwajima kwny uchaguzi wa ndani ya chama(Kawe) ingawa mjomba wake alimkata(Magu) akampa Gwajima.Je huyu ndiye aliyesambaaza connection ya Gwaji boy enzi zile?
Wataje hao viongozi ambao video zao zilivujishwavideo zisizo na maadili za viongozi mbalimbali