Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Huyo kende za sungura hana picha nasi tupate kumjua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa chama gani?Kile kichwa nilijua tu Kuna Mambo kinafanya ambayo ni ya ujingaa ,utoto ni mwingi sana eti ndo alitaka apewe ubunge angevulunda tu yule
Unamchukia kwa kuwa anakuzidi kwenye kujenga hoja za kutetea chama chake kuliko wewe unavyotetea cha kwako kwa porojo na udaku. Una post nyingi zaidi za kumpromote Makonda kuliko kukielezea chama chako na wanasiasa wake akina mdude.Anayefuatia ni Mwashambwa , Hakika Shetani hana rafiki
KWANI ALIYEPEWA UBUNGE ANAFANYA NINI?Kile kichwa nilijua tu Kuna Mambo kinafanya ambayo ni ya ujingaa ,utoto ni mwingi sana eti ndo alitaka apewe ubunge angevulunda tu yule
Mkuu watakuteka hao hawasemwi vibaya!Unamchukia kwa kuwa anakuzidi kwenye kujenga hoja za kutetea chama chake kuliko wewe unavyotetea cha kwako kwa porojo na udaku. Una post nyingi zaidi za kumpromote Makonda kuliko kukielezea chama chako na wanasiasa wake akina mdude.
Hata damu ya chacha wangwe italipwa na wale walomhijumu zito kabwe pia watalipwa Bado weweAnayefuatia ni Mwashambwa , Hakika Shetani hana rafiki
Shida hawa jamaa wakitoa ripoti ya madai haiwagi clear inauacha umma na maswali mengi...Alikua anawafuata makwao kuwarekod ama
Ni kweli ..yatajulikana tuMnhh..!!
Hapa Kuna shida hapa... Let's wait
Kwanini Furaha nae aipostiKwa Nini ujirokodi picha chafu.furaha Hana kosa.mwenye kosa ni yule aliyejirokodi.utajirekodije picha za uchi?ulilenga Nini?
2020 ni uchaguzi mzeeAlikua anawafuata makwao kuwarekod ama
Hapa kuna siasaMnhh..!!
Hapa Kuna shida hapa... Let's wait
Tumuone ili tusimkaribieFuraha Dominic anashitakiwa kwa kosa la kurekodi video zisizo na maadili za viongozi mbalimbali kisha kuzitumia kujipatia pesa kwa kuwatisha (blackmailing).
Furaha Dominic ni yule kijana ambaye Magufuli alimkata jina na kusisitiza kuwa hafai kuwa mbunge wa Kawe. Magufuli huenda alikuwa anajua shughuli za huyu kijana na namna anavyojipatia pesa.
Akiongea na waandishi wa habari kamanda wa polisi, kanda maalumu ya Dar es Salaam Inspk Murilo amesema ushahidi wa awali umekamilika na mtuhumiwa atafikikishwa mahakamani.
Chanzo Uhondo Tv
Video iko chini
View attachment 2971429
Huyu ashughulikiwe vilivyo kwa kuwa AMEPANIA sana kuwa mgombea wa CCM Kawe uchaguzi wa mwaka 2025Furaha Dominic anashitakiwa kwa kosa la kurekodi video zisizo na maadili za viongozi mbalimbali kisha kuzitumia kujipatia pesa kwa kuwatisha (blackmailing).