Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za Utupu

Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za Utupu

Najaribu ku-connect dots,huyu ndie alimshindaga Gwajima kwny uchaguzi wa ndani ya chama(Kawe) ingawa mjomba wake alimkata(Magu) akampa Gwajima.Je huyu ndiye aliyesambaaza connection ya Gwaji boy enzi zile?
Mwenyewe nimewaza hilo, nakumbuka Gwajima kwenye kujitetea kwake alisema ni watu wanamchafua kwa kuwa kuna uchaguzi unakuja
 
Alikuwa chama gani?
Dah, kukatwa na Magufuli, itakuwa ni mtu wa CCM huyo. Hiyo ni sampuli ndogo tu ya watu waliomo ndani ya chama hicho enzi hizi.
Ni mpwa wa Magufuli alishinda Kura za maoni jimbo la Kawe Kwa support ya Magufuli halafu Magufuli huyohuyo Kwenye vikao vya juu akamchangia akamchagua Gwajima .
Yaani kichaa Magufuli aliifanya hii nchi kama mali yake binafsi
 
Furaha Dominic anashitakiwa kwa kosa la kurekodi video zisizo na maadili za viongozi mbalimbali kisha kuzitumia kujipatia pesa kwa kuwatisha (blackmailing).

Furaha Dominic ni yule kijana ambaye Magufuli alimkata jina na kusisitiza kuwa hafai kuwa mbunge wa Kawe. Magufuli huenda alikuwa anajua shughuli za huyu kijana na namna anavyojipatia pesa.

Akiongea na waandishi wa habari kamanda wa polisi, kanda maalumu ya Dar es Salaam Inspk Murilo amesema ushahidi wa awali umekamilika na mtuhumiwa atafikikishwa mahakamani.

Chanzo Uhondo Tv

Video iko chini

View attachment 2971429

View: https://www.youtube.com/live/Xtub6JDRyAM?si=p1SkFfvdn0uxxBqe
 
Back
Top Bottom