Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimpitisha Gwajima ambae alijirekodi video ya ngono piaALFUUU NDIEE ALIKUWA AWE MBUNGE AISEEE ALALEE PEMA PEPONI MWENDAZAKE MAGUFULI ....ALIMSHTUKIA MAPEMAAA
Upumbavu, kwa hiyo mhalifu angetakiwa kuachwa kwa sababu ni rafiki wa CCM? Chadema mngemuacha sababu ni rafiki yenu?Anayefuatia ni Mwashambwa , Hakika Shetani hana rafiki
Umuite geto au hotelini Bado jinkosa na Lina kigungo Cha miaka Hadi 20Alikua anawafuata makwao kuwarekod ama
Wanawarubuni.kwenda kuwalaHizo video wanarekodi vipi?
Na alivyowashika wajumbe anaeza kushinda tena..then wamkate km walivyomkata mwanzoHuyu ashughulikiwe vilivyo kwa kuwa AMEPANIA sana kuwa mgombea wa CCM Kawe uchaguzi wa mwaka 2025
Aaaaah!! OkWanawarubuni.kwenda kuwala
Ndio hapo sasa , au walikuwa wanawekewa hiden camera imafikirisha inabidi watu tuwe makini unapokuwa faragha kama sio nyumbani kwakoAlikua anawafuata makwao kuwarekod ama
Ameachiwa kwa dhamana? Hizo picha anazipataje?Huyu kwanza kakamatwa karibu wiki sasa lkn wanatangaza leo ...kuna ishu nyingine.....
Mwenyewe nimewaza hilo, nakumbuka Gwajima kwenye kujitetea kwake alisema ni watu wanamchafua kwa kuwa kuna uchaguzi unakujaNajaribu ku-connect dots,huyu ndie alimshindaga Gwajima kwny uchaguzi wa ndani ya chama(Kawe) ingawa mjomba wake alimkata(Magu) akampa Gwajima.Je huyu ndiye aliyesambaaza connection ya Gwaji boy enzi zile?
Amepost wapi?Kwanini Furaha nae aiposti
Kuachiwa bado.. mie pia najiuliza khs hizo picha ...ila nadhani kuna jambo lingine...Ameachiwa kwa dhamana? Hizo picha anazipataje?
Ni mpwa wa Magufuli alishinda Kura za maoni jimbo la Kawe Kwa support ya Magufuli halafu Magufuli huyohuyo Kwenye vikao vya juu akamchangia akamchagua Gwajima .Alikuwa chama gani?
Dah, kukatwa na Magufuli, itakuwa ni mtu wa CCM huyo. Hiyo ni sampuli ndogo tu ya watu waliomo ndani ya chama hicho enzi hizi.
Furaha Dominic anashitakiwa kwa kosa la kurekodi video zisizo na maadili za viongozi mbalimbali kisha kuzitumia kujipatia pesa kwa kuwatisha (blackmailing).
Furaha Dominic ni yule kijana ambaye Magufuli alimkata jina na kusisitiza kuwa hafai kuwa mbunge wa Kawe. Magufuli huenda alikuwa anajua shughuli za huyu kijana na namna anavyojipatia pesa.
Akiongea na waandishi wa habari kamanda wa polisi, kanda maalumu ya Dar es Salaam Inspk Murilo amesema ushahidi wa awali umekamilika na mtuhumiwa atafikikishwa mahakamani.
Chanzo Uhondo Tv
Video iko chini
View attachment 2971429
Mtanikumbuka 😂😂🔥Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - Kikwete
Unamuogopa Sana Lucas 😂😂😂Anayefuatia ni Mwashambwa , Hakika Shetani hana rafiki