Furaha Dominic anashitakiwa kwa kosa la kurekodi video zisizo na maadili za viongozi mbalimbali kisha kuzitumia kujipatia pesa kwa kuwatisha (blackmailing).
Furaha Dominic ni yule kijana ambaye Magufuli alimkata jina na kusisitiza kuwa hafai kuwa mbunge wa Kawe. Magufuli huenda alikuwa anajua shughuli za huyu kijana na namna anavyojipatia pesa.
Akiongea na waandishi wa habari kamanda wa polisi, kanda maalumu ya Dar es Salaam Inspk Murilo amesema ushahidi wa awali umekamilika na mtuhumiwa atafikikishwa mahakamani.
Chanzo Uhondo Tv
Video iko chini
View attachment 2971429