Raha ya ushindi ni kumfahamu mpinzan wako, ni vzur ukatupa japo info kidogo za kijana kisha nasi tuweke mizan yenuMdee anashinda tena.
Naona Gwajboy aka Mkono wa baunsa, kapata kura 79 kajitahidi kawa wa tatu.
Habari,
Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?
Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndan ya CCM katika Jimbo la Kawe?
Je, ni mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?
Tupe profile la mpinzan wake ,nasi pia itatusaidia kujua wap tufate upepoOk ngoja tuone ila mimi mkeka wangu nampa Mdee.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🎶🎶Kawe pagumu sio Kama huko Nyang'wale
Ndan ya Chama alikuwa nan? Kwa kura hzo maana yake tayar ana nafasi ya umaarufu au jina ndan ya ccm-kaweNi Kijana Mmoja Mnyenyekevu, Mkarimu, Mwerevu, siyo Mjivuni kama Mtu Mmoja aliyekimbilia Kutuomba Msamaha wake wa Kipopoma / Kipumbavu na Mnafiki, ana Elimu yake nzuri tu, anakubalika na wana Kawe na wala hahitaji kwenda Kuosha Nyota yake Kijijini ' Usukumani ' Kishirikina ( Kiutamaduni ) kama wengine, siyo Maarufu Mitandaoni kama walivyo Waomba Misamaha ya ' hovyo hovyo ' Kwetu, hana Unafiki, Sanifu na Dharau kama Waliotuomba Misamaha na mwisho ni Mtu wa Watu hasa.
Mtoto Mdogo ( Kijana ) ambaye hana hata ' Umaarufu ' ulionao anapata Kura 101 halafu Kongwe, Jivuni na Jitu lenye ' Kiherehere ' linaambulia Kura yake 1 tu.Hongera sana Kijana Furaha Dominic Jacob japo najua una Kazi ' pevu ' kwa Dada yangu Halima Mdee ila nakuamini utamshinda na kuwa Mbunge tu.
Kwa wale ambao hamjapata Matokeo ya Mwisho haya hapa tafadhali....
1. Furaha Dominic Jacob 101
2. Angela Kizigha 85
3. Mathias Gwajima 79
4. Benjamin Sitta 61
5. Njaa Msamaha 1
Kila la Kheri!
Following too,ni nani haswa huyu..
Following,kijana kaangusha mibuyu. Nini siri ya ushindi wake ?
Nilizan peke yangu, kumbe tupo weng ! Wacha tusubir tuoneWekeni hiyo CV bhas,
Hongera Furaha, sayansi gani katumia huyu kijana kuwabwaga wenzake 175? tujifunze kwa anaejua!
Ndan ya Chama alikuwa nan? Kwa kura hzo maana yake tayar ana nafasi ya umaarufu au jina ndan ya ccm-kawe
Msaada tutan
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Atakuwa mtu wa field sana. Wajumbe nao hata JF hawapo .Naona hamna mtu anayemjua vizuri humu. Watu wanaongeaongea tu
Gwajiboy kama DAB, ameusaliti ukuhani nayeye katoswa na wapiga kuraHabari,
Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?
Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndan ya CCM katika Jimbo la Kawe?
Je, ni mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?
Kura za kukomoana wanafaidi vidagaaNdan ya Chama alikuwa nan? Kwa kura hzo maana yake tayar ana nafasi ya umaarufu au jina ndan ya ccm-kawe
Msaada tutan
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Haitaji kusubir kupitishwa ndo tuje kumjadili, fahamu pia aliyepambanishwa naye tayar weng wao wana majina na wanajulikana tofaut na Furaha.Kwani ndio amepitishwa kupeperusha bendera ya CCM October? Kwa nini usisubiri majibu ya mkutano mkuu ndio uje tujadiri huu utopolo wako?
Eeeeeh ndivyo ilivyo !Napata nyepesi ni ndg yake na jiwe,Nephew wake..hope its not true..