Dr Justice
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 797
- 855
Kipi warioba aachane na siasa sasa, anashindwa mpaka na Gwajima!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umbeya unakusaidia nn. Dume zima shilawadu. OvyooooNi mtoto wa dada yake Magufuli na alikuwa pale Bandarini kama mbea wa Rais.
Short and clear hakuna maneno mengi DOMINIC yuko fitHakuwa na maneno mengi,alishajijenga kitambo field.
Unataka kusema atakuwa ni mmoja wa wale makachelo
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Especially kwa CCMNataman pia wengine ,waungane mm na ww kwenye ili! Haiwezekan Vigogo wote wale wakakalishwa na dogo! Kuna jambo sio kawaida
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Naanza kuona picha ,! Kama inakuja hiviNi mtoto wa dada yake Magufuli na alikuwa pale Bandarini kama mbea wa Rais.
Nimesoma nae DIT .. Ila nilimuacha yupo powa sana dogo.. tuna kutana nae sana mlimani city.. na hana shobo ana nidhamu.. mengine sijui.. 🙂Naona hamna mtu anayemjua vizuri humu. Watu wanaongeaongea tu
Naisubir haswa haswaNi mtu makini na anaejua anachokifanya. ..subiri tu tutapata CV yake hapa.
Kumbe. Sasa hiyo influence kwa wajumbe aliifanya lini ?Au kakulia Osterbay kwa Magufuli ?Mtoto wa dada yake yupi ?Ni mtoto wa dada yake Magufuli na alikuwa pale Bandarini kama mbea wa Rais.
Atakuwa usalamaNami nawaza hivo ,Ila nakosa Final say kwa kuwa sina file lake lolote inakuwa ngumu kujipa matumain ya kimawazo pasipo kuwa na strong folder juu yake
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Dogo anaonekana yupo vizuri kichwani. Ila naona alikuwa field zaidi. Kijiji baada ya kijiji.Nimesoma nae DIT .. Ila nilimuacha yupo powa sana dogo.. tuna kutana nae sana mlimani city.. na hana shobo ana nidhamu.. mengine sijui.. 🙂
Habari,
Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?
Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndan ya CCM katika Jimbo la Kawe?
Je, ni Mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?
Ndo shasemaUmbeya unakusaidia nn. Dume zima shilawadu. Ovyoooo
Njaa ndo nani?Ni Kijana Mmoja Mnyenyekevu, Mkarimu, Mwerevu, siyo Mjivuni kama Mtu Mmoja aliyekimbilia Kutuomba Msamaha wake wa Kipopoma / Kipumbavu na Mnafiki, ana Elimu yake nzuri tu, anakubalika na wana Kawe na wala hahitaji kwenda Kuosha Nyota yake Kijijini ' Usukumani ' Kishirikina ( Kiutamaduni ) kama wengine, siyo Maarufu Mitandaoni kama walivyo Waomba Misamaha ya ' hovyo hovyo ' Kwetu, hana Unafiki, Sanifu na Dharau kama Waliotuomba Misamaha na mwisho ni Mtu wa Watu hasa.
Mtoto Mdogo ( Kijana ) ambaye hana hata ' Umaarufu ' ulionao anapata Kura 101 halafu Kongwe, Jivuni na Jitu lenye ' Kiherehere ' linaambulia Kura yake 1 tu.Hongera sana Kijana Furaha Dominic Jacob japo najua una Kazi ' pevu ' kwa Dada yangu Halima Mdee ila nakuamini utamshinda na kuwa Mbunge tu.
Kwa wale ambao hamjapata Matokeo ya Mwisho haya hapa tafadhali....
1. Mr. Furaha Dominic Jacob 101
2. Mrs. Angela Daisy Kizigha 85
3. Mr. Mathias Josephat Gwajima 79
4. Mr. Benjamin Samuel Sitta 61
5. Mr. Kipi Joseph Warioba 3
6. Mr. Njaa Naombeni Msamaha 1
Kila la Kheri!
Kumbe. Sasa hiyo influence kwa wajumbe aliifanya lini ?Au kakulia Osterbay kwa Magufuli ?Mtoto wa dada yake yupi ?
Sijajua sana, maana na mie sikujua hata kama ametangaza nia hakuwa na makuu. Dogo mmoja yupo humble sanaa.. kila nikikutana nae hata kama sina time nae ataniita hata kwa mbalii au atanikimbili kikubwa tupeane hata salamu. Huyu nita msaport aisee ingawa mie sio kijani.. ila kwa namna alivyo nita mpa suport yangu. Ni mtu sahihi kabisa..Dogo anaonekana yupo vizuri kichwani. Ila naona alikuwa field zaidi. Kijiji baada ya kijiji.
Imekuwaje mpk akapata kura zote hzo ndan ya chama?? Imekuwaje akaaminiwa na wanachama hao?Victoire
FURAHA DOMINIC JACOB aliyeongoza KURA za UBUNGE Kawe wengi mkawa mnajiuliza ni nani; huyu ni mtoto wa dada yake Rais Magufuli.
Kumbe ni ngosha wa Chato. Hongera kwake. Basi mpaka hapa kijana hawezi kukatwa.CV YA FURAHA
dogo ni Mlokole., Yesu ni Bwana na mwokozi wa maisha yake.
Dogo yupo kwenye mahusiasno.
Dogo mchapa kazi.View attachment 1512894
- Reseach Technician at
International Institute of Tropical Agriculture (IITA)
![]()
Studied at
DIT
![]()
Studied at
makongo jkt high school
![]()
Went to
chato secondary school
![]()
Lives in
Dar es Salaam, Tanzania
![]()
From
Chato, Kagera, Tanzania