Uchaguzi 2020 Furaha Dominic Jacob mshindi wa kura za maoni CCM jimbo la Kawe ni nani?

Uchaguzi 2020 Furaha Dominic Jacob mshindi wa kura za maoni CCM jimbo la Kawe ni nani?

Habari,

Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?

Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndan ya CCM katika Jimbo la Kawe?

Je, ni Mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?


CV YA FURAHA
dogo ni Mlokole., Yesu ni Bwana na mwokozi wa maisha yake.
Dogo yupo kwenye mahusiasno na mwanamke wa Kichgga, yupo CRDB.
Dogo mchapa kazi.
a.jpg

 
Ni Kijana Mmoja Mnyenyekevu, Mkarimu, Mwerevu, siyo Mjivuni kama Mtu Mmoja aliyekimbilia Kutuomba Msamaha wake wa Kipopoma / Kipumbavu na Mnafiki, ana Elimu yake nzuri tu, anakubalika na wana Kawe na wala hahitaji kwenda Kuosha Nyota yake Kijijini ' Usukumani ' Kishirikina ( Kiutamaduni ) kama wengine, siyo Maarufu Mitandaoni kama walivyo Waomba Misamaha ya ' hovyo hovyo ' Kwetu, hana Unafiki, Sanifu na Dharau kama Waliotuomba Misamaha na mwisho ni Mtu wa Watu hasa.

Mtoto Mdogo ( Kijana ) ambaye hana hata ' Umaarufu ' ulionao anapata Kura 101 halafu Kongwe, Jivuni na Jitu lenye ' Kiherehere ' linaambulia Kura yake 1 tu.Hongera sana Kijana Furaha Dominic Jacob japo najua una Kazi ' pevu ' kwa Dada yangu Halima Mdee ila nakuamini utamshinda na kuwa Mbunge tu.

Kwa wale ambao hamjapata Matokeo ya Mwisho haya hapa tafadhali....

1. Mr. Furaha Dominic Jacob 101
2. Mrs. Angela Daisy Kizigha 85
3. Mr. Mathias Josephat Gwajima 79
4. Mr. Benjamin Samuel Sitta 61
5. Mr. Kipi Joseph Warioba 3
6. Mr. Njaa Naombeni Msamaha 1

Kila la Kheri!
Njaa ndo nani?
 
Dogo anaonekana yupo vizuri kichwani. Ila naona alikuwa field zaidi. Kijiji baada ya kijiji.
Sijajua sana, maana na mie sikujua hata kama ametangaza nia hakuwa na makuu. Dogo mmoja yupo humble sanaa.. kila nikikutana nae hata kama sina time nae ataniita hata kwa mbalii au atanikimbili kikubwa tupeane hata salamu. Huyu nita msaport aisee ingawa mie sio kijani.. ila kwa namna alivyo nita mpa suport yangu. Ni mtu sahihi kabisa..
 
Back
Top Bottom