Uchaguzi 2020 Furaha Dominic Jacob mshindi wa kura za maoni CCM jimbo la Kawe ni nani?

Uchaguzi 2020 Furaha Dominic Jacob mshindi wa kura za maoni CCM jimbo la Kawe ni nani?

Na wewe chawa tu, watu wanahitaji CV yake, wewe unaropoka kiuswazi uswazi tu
Ni Kijana Mmoja Mnyenyekevu, Mkarimu, Mwerevu, siyo Mjivuni kama Mtu Mmoja aliyekimbilia Kutuomba Msamaha wake wa Kipopoma / Kipumbavu na Mnafiki, ana Elimu yake nzuri tu, anakubalika na wana Kawe na wala hahitaji kwenda Kuosha Nyota yake Kijijini ' Usukumani ' Kishirikina ( Kiutamaduni ) kama wengine, siyo Maarufu Mitandaoni kama walivyo Waomba Misamaha ya ' hovyo hovyo ' Kwetu, hana Unafiki, Sanifu na Dharau kama Waliotuomba Misamaha na mwisho ni Mtu wa Watu hasa.

Mtoto Mdogo ( Kijana ) ambaye hana hata ' Umaarufu ' ulionao anapata Kura 101 halafu Kongwe, Jivuni na Jitu lenye ' Kiherehere ' linaambulia Kura yake 1 tu.Hongera sana Kijana Furaha Dominic Jacob japo najua una Kazi ' pevu ' kwa Dada yangu Halima Mdee ila nakuamini utamshinda na kuwa Mbunge tu.

Kwa wale ambao hamjapata Matokeo ya Mwisho haya hapa tafadhali....

1. Mr. Furaha Dominic Jacob 101
2. Mrs. Angela Daisy Kizigha 85
3. Mr. Mathias Josephat Gwajima 79
4. Mr. Benjamin Samuel Sitta 61
5. Mr. Kipi Joseph Warioba 3
6. Mr. Njaa Naombeni Msamaha 1

Kila la Kheri!
 
yupo powa sana dogo.. tuna kutana nae sana mlimani city.. na hana shobo ana nidhamu.. mengine sijui.. 🙂

Bora wewe umesema yuko ni mtu poa sana lakini mengine sijui.

Kwa sababu wenye umri kama wangu watakumbuka campaign stump ya kwanza ya Ally Hassan Mwinyi watu waliuliza who the hell is is guy? Campaign Manager Julius Nyerere akawa anasema ni jamaa mmoja mpole, mkarimu, hana shobo, hana chuki, hana noma...

Tukampata Mzee Ruksa na baadae prototype yake kijana Jakaya na baadae ilikua aje Kijana Edward.

Ukarimu wao ulisaidia nini taifa hawa watu? Management ya nchi ilikuwaje chini ya hivu vijukuu vya Mtume?
 
Back
Top Bottom