Uchaguzi 2020 Furaha Dominic Jacob mshindi wa kura za maoni CCM jimbo la Kawe ni nani?

Uchaguzi 2020 Furaha Dominic Jacob mshindi wa kura za maoni CCM jimbo la Kawe ni nani?

CCM tuna watu kibao kuna frontliners na back benchers hidden in dark places.Usishangae mtu kuibuka paap huyu hapa!! Kama kwenda mbinguni hivi unaenda kukutana na usiowajua!!!
Ni kweli kabisa, wengine mnawatoa toka tiss, mkizuia wengine wasihonge, ili Yule mlengwa wenu apite, maana huko bila kuhonga hapati kura yoyote.
 
Habari,

Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?

Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndan ya CCM katika Jimbo la Kawe?

Je, ni Mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?

Sio mpinzani sahihi kwa mdee. Kamati kuu waangalie mtu anayekubalika kwa raia na sio pale ofisini kwao kawe vinginevyo wanampa mdee jimbo mapema tuu..
 
‘Furaha Dominic Jacob’ hana sifa za kuwashinda wagombea wengi sana kwenye jopo la Kawe. Ukirudia kuangalia video Kippi Warioba kaitwa zaidi ya mara 3 (KURA alizopata) baadhi ya wajumbe wanashutumu Kippi kumpa KURA zake Furaha

Basi dogo kumbe ni mgombea maalum. Nimejiuliza sana hiyo influence kaipata wapi ?Basi sina swali tena. Na huyu ndo mgombea rasmi wa CCM kupitia kawe. Hapa mkakati ulisukwa aisee.
 
Bora kakosa. Gwajboy angepata angeligawa kanisa la Bwana. We unadhani kwa siasa zetu za bongo jinsi wabunge wanavyowananga wenye itikadi tofauti nao, unadhani ni mwanachamaa gani wa upinzani angebaki muumini wake!!?? Angebaki na waccm wenzake tu!!!
Ila gwajima ndiye angewapa ushindi sisiemu kwa kawe. Jpm asingekuwa na kazi ya kufanya kampeni kawe sababu anayekuwa mgombea kama ana haiba kubwa kwa wananchi kazi inakuwa rahisi zaidi. Huyu jamaa yawezekana anajulikana na watu wa sisiemu wa kawe ila wananchi wa kawe hawamjui.
 
Bora wewe umesema yuko ni mtu poa sana lakini mengine sijui.

Kwa sababu wenye umri kama wangu watakumbuka campaign stump ya kwanza ya Ally Hassan Mwinyi watu waliuliza who the hell is is guy? Campaign Manager Julius Nyerere akawa anasema ni jamaa mmoja mpole, mkarimu, hana shobo, hana chuki, hana noma...

Tukampata Mzee Ruksa na baadae prototype yake kijana Jakaya na baadae ilikua aje Kijana Edward.

Ukarimu wao ulisaidia nini taifa hawa watu? Management ya nchi ilikuwaje chini ya hivu vijukuu vya Mtume?
Yani Mzee Mwinyi mliuliza yeye ni nani? Mwinyi ambae alishakuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na akaja kuwa Rais wa Zanzibar??

Ebu toa ujinga na fix zako hapa...
 
Habari,

Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?

Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndan ya CCM katika Jimbo la Kawe?

Je, ni Mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?

Utaratibu wa CCM ni sawa na wa NEC, ushindi wa kura haukuhakikishii kuteuliwa, unaweza kuachwa akachukliwa mshindi wa tatu au wa nne.
 
Ni Kijana Mmoja Mnyenyekevu, Mkarimu, Mwerevu, siyo Mjivuni kama Mtu Mmoja aliyekimbilia Kutuomba Msamaha wake wa Kipopoma / Kipumbavu na Mnafiki, ana Elimu yake nzuri tu, anakubalika na wana Kawe na wala hahitaji kwenda Kuosha Nyota yake Kijijini ' Usukumani ' Kishirikina ( Kiutamaduni ) kama wengine, siyo Maarufu Mitandaoni kama walivyo Waomba Misamaha ya ' hovyo hovyo ' Kwetu, hana Unafiki, Sanifu na Dharau kama Waliotuomba Misamaha na mwisho ni Mtu wa Watu hasa.

Mtoto Mdogo ( Kijana ) ambaye hana hata ' Umaarufu ' ulionao anapata Kura 101 halafu Kongwe, Jivuni na Jitu lenye ' Kiherehere ' linaambulia Kura yake 1 tu.Hongera sana Kijana Furaha Dominic Jacob japo najua una Kazi ' pevu ' kwa Dada yangu Halima Mdee ila nakuamini utamshinda na kuwa Mbunge tu.

Kwa wale ambao hamjapata Matokeo ya Mwisho haya hapa tafadhali....

1. Mr. Furaha Dominic Jacob 101
2. Mrs. Angela Daisy Kizigha 85
3. Mr. Mathias Josephat Gwajima 79
4. Mr. Benjamin Samuel Sitta 61
5. Mr. Kipi Joseph Warioba 3
6. Mr. Njaa Naombeni Msamaha 1

Kila la Kheri!
Sio bure inawezekana makonda alikutoa bikra kisha akakutelekeza
 
Ni Kijana Mmoja Mnyenyekevu, Mkarimu, Mwerevu, siyo Mjivuni kama Mtu Mmoja aliyekimbilia Kutuomba Msamaha wake wa Kipopoma / Kipumbavu na Mnafiki, ana Elimu yake nzuri tu, anakubalika na wana Kawe na wala hahitaji kwenda Kuosha Nyota yake Kijijini ' Usukumani ' Kishirikina ( Kiutamaduni ) kama wengine, siyo Maarufu Mitandaoni kama walivyo Waomba Misamaha ya ' hovyo hovyo ' Kwetu, hana Unafiki, Sanifu na Dharau kama Waliotuomba Misamaha na mwisho ni Mtu wa Watu hasa.

Mtoto Mdogo ( Kijana ) ambaye hana hata ' Umaarufu ' ulionao anapata Kura 101 halafu Kongwe, Jivuni na Jitu lenye ' Kiherehere ' linaambulia Kura yake 1 tu.Hongera sana Kijana Furaha Dominic Jacob japo najua una Kazi ' pevu ' kwa Dada yangu Halima Mdee ila nakuamini utamshinda na kuwa Mbunge tu.

Kwa wale ambao hamjapata Matokeo ya Mwisho haya hapa tafadhali....

1. Mr. Furaha Dominic Jacob 101
2. Mrs. Angela Daisy Kizigha 85
3. Mr. Mathias Josephat Gwajima 79
4. Mr. Benjamin Samuel Sitta 61
5. Mr. Kipi Joseph Warioba 3
6. Mr. Njaa Naombeni Msamaha 1

Kila la Kheri!
Daaah! Aione Pasco wa JF
 
Back
Top Bottom