Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa, wengine mnawatoa toka tiss, mkizuia wengine wasihonge, ili Yule mlengwa wenu apite, maana huko bila kuhonga hapati kura yoyote.CCM tuna watu kibao kuna frontliners na back benchers hidden in dark places.Usishangae mtu kuibuka paap huyu hapa!! Kama kwenda mbinguni hivi unaenda kukutana na usiowajua!!!
Kupitia comments
Kachukua wapi waota weyeHuyu ameshachukua jimbo asee, yuko vizuri katika strategia.. very humble in his lane.
Sio mpinzani sahihi kwa mdee. Kamati kuu waangalie mtu anayekubalika kwa raia na sio pale ofisini kwao kawe vinginevyo wanampa mdee jimbo mapema tuu..Habari,
Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?
Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndan ya CCM katika Jimbo la Kawe?
Je, ni Mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?
Mkuu siko hapa kubishana, Hilo ndio jibu nililokupa
Basi dogo kumbe ni mgombea maalum. Nimejiuliza sana hiyo influence kaipata wapi ?Basi sina swali tena. Na huyu ndo mgombea rasmi wa CCM kupitia kawe. Hapa mkakati ulisukwa aisee.
Huyu anajulikana kawe pale center ila ukienda mabwepande na nje ya kawe center hajulokani...Hatashinda Amina atapita huyu kijana. KUMBUKA wapiga Kura wengi ni vijana na wamama. Watampigia Kura huyu kaka
Ila gwajima ndiye angewapa ushindi sisiemu kwa kawe. Jpm asingekuwa na kazi ya kufanya kampeni kawe sababu anayekuwa mgombea kama ana haiba kubwa kwa wananchi kazi inakuwa rahisi zaidi. Huyu jamaa yawezekana anajulikana na watu wa sisiemu wa kawe ila wananchi wa kawe hawamjui.Bora kakosa. Gwajboy angepata angeligawa kanisa la Bwana. We unadhani kwa siasa zetu za bongo jinsi wabunge wanavyowananga wenye itikadi tofauti nao, unadhani ni mwanachamaa gani wa upinzani angebaki muumini wake!!?? Angebaki na waccm wenzake tu!!!
Kachukua wapi waota weye
Unapadharau kwetu Usukumani sio?Kawe pagumu sio Kama huko Nyang'wale
Anaweza akapata kura nyingi ila kutanganzwa hatangazwi.. Yaani mtoto wa dada asipewe Ubunge??? ThubutuuuuHakina Mdee HONGERAAAAA, Jimbo la Kawe la kwako tena. Utapita saa 2 Asubuhi.
Kwa taarifa za mange kimambi ni mtoto wa dadake Jiwe.Hatashinda Amina atapita huyu kijana. KUMBUKA wapiga Kura wengi ni vijana na wamama. Watampigia Kura huyu kaka
Mtoto wa dadake magu kwa taarifa za mange kimambi.Following,kijana kaangusha mibuyu. Nini siri ya ushindi wake ?
Yani Mzee Mwinyi mliuliza yeye ni nani? Mwinyi ambae alishakuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na akaja kuwa Rais wa Zanzibar??Bora wewe umesema yuko ni mtu poa sana lakini mengine sijui.
Kwa sababu wenye umri kama wangu watakumbuka campaign stump ya kwanza ya Ally Hassan Mwinyi watu waliuliza who the hell is is guy? Campaign Manager Julius Nyerere akawa anasema ni jamaa mmoja mpole, mkarimu, hana shobo, hana chuki, hana noma...
Tukampata Mzee Ruksa na baadae prototype yake kijana Jakaya na baadae ilikua aje Kijana Edward.
Ukarimu wao ulisaidia nini taifa hawa watu? Management ya nchi ilikuwaje chini ya hivu vijukuu vya Mtume?
Utaratibu wa CCM ni sawa na wa NEC, ushindi wa kura haukuhakikishii kuteuliwa, unaweza kuachwa akachukliwa mshindi wa tatu au wa nne.Habari,
Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?
Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndan ya CCM katika Jimbo la Kawe?
Je, ni Mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?
Sio bure inawezekana makonda alikutoa bikra kisha akakutelekezaNi Kijana Mmoja Mnyenyekevu, Mkarimu, Mwerevu, siyo Mjivuni kama Mtu Mmoja aliyekimbilia Kutuomba Msamaha wake wa Kipopoma / Kipumbavu na Mnafiki, ana Elimu yake nzuri tu, anakubalika na wana Kawe na wala hahitaji kwenda Kuosha Nyota yake Kijijini ' Usukumani ' Kishirikina ( Kiutamaduni ) kama wengine, siyo Maarufu Mitandaoni kama walivyo Waomba Misamaha ya ' hovyo hovyo ' Kwetu, hana Unafiki, Sanifu na Dharau kama Waliotuomba Misamaha na mwisho ni Mtu wa Watu hasa.
Mtoto Mdogo ( Kijana ) ambaye hana hata ' Umaarufu ' ulionao anapata Kura 101 halafu Kongwe, Jivuni na Jitu lenye ' Kiherehere ' linaambulia Kura yake 1 tu.Hongera sana Kijana Furaha Dominic Jacob japo najua una Kazi ' pevu ' kwa Dada yangu Halima Mdee ila nakuamini utamshinda na kuwa Mbunge tu.
Kwa wale ambao hamjapata Matokeo ya Mwisho haya hapa tafadhali....
1. Mr. Furaha Dominic Jacob 101
2. Mrs. Angela Daisy Kizigha 85
3. Mr. Mathias Josephat Gwajima 79
4. Mr. Benjamin Samuel Sitta 61
5. Mr. Kipi Joseph Warioba 3
6. Mr. Njaa Naombeni Msamaha 1
Kila la Kheri!
Daaah! Aione Pasco wa JFNi Kijana Mmoja Mnyenyekevu, Mkarimu, Mwerevu, siyo Mjivuni kama Mtu Mmoja aliyekimbilia Kutuomba Msamaha wake wa Kipopoma / Kipumbavu na Mnafiki, ana Elimu yake nzuri tu, anakubalika na wana Kawe na wala hahitaji kwenda Kuosha Nyota yake Kijijini ' Usukumani ' Kishirikina ( Kiutamaduni ) kama wengine, siyo Maarufu Mitandaoni kama walivyo Waomba Misamaha ya ' hovyo hovyo ' Kwetu, hana Unafiki, Sanifu na Dharau kama Waliotuomba Misamaha na mwisho ni Mtu wa Watu hasa.
Mtoto Mdogo ( Kijana ) ambaye hana hata ' Umaarufu ' ulionao anapata Kura 101 halafu Kongwe, Jivuni na Jitu lenye ' Kiherehere ' linaambulia Kura yake 1 tu.Hongera sana Kijana Furaha Dominic Jacob japo najua una Kazi ' pevu ' kwa Dada yangu Halima Mdee ila nakuamini utamshinda na kuwa Mbunge tu.
Kwa wale ambao hamjapata Matokeo ya Mwisho haya hapa tafadhali....
1. Mr. Furaha Dominic Jacob 101
2. Mrs. Angela Daisy Kizigha 85
3. Mr. Mathias Josephat Gwajima 79
4. Mr. Benjamin Samuel Sitta 61
5. Mr. Kipi Joseph Warioba 3
6. Mr. Njaa Naombeni Msamaha 1
Kila la Kheri!