Furaha Dominic: Rais Samia awe mwangalifu na hao waliomzunguka, wengi wao ni Wafitinishi (KUPE) walimdanganya Magufuli!

Furaha Dominic: Rais Samia awe mwangalifu na hao waliomzunguka, wengi wao ni Wafitinishi (KUPE) walimdanganya Magufuli!

Furaha Dominic ambaye ni mpwa wa hayati Magufuli aliyegombea ubunge jimbo la Kawe na kushika nafasi ya kwanza huku Pascal Mayalla akiwa wa 162 amesema siku atakayokutana na Rais Samia atampa orodha ya Wafitini wote waliomzunguka.

Furaha anadai CCM kumejaa siasa chafu za kupakana matope, kufitinishana, kuchongeana na kusingiziana huku KUPE wa chama wakimnyonya damu Rais.

Furaha amesema ameshuhudia mengi sana katika utawala wa mjomba wake ( Magufuli) ikiwemo yeye mwenyewe kudhibitiwa na kikundi cha Wasiojulikana ili asigombee ubunge

Furaha alikuwa akihojiwa na Ernest Nyanda katika kipindi cha The Big Agenda, Star tv.

Mjadala ulikuwa mkali na Furaha alionekana akifuta machozi mara kwa mara huku mtangazaji Mtozi akimfariji.
Mahijiano yataendelea tena Ijumaa kwani jana hayakukamilika.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Kama Furaha analizwa na CCM wewe ni nani hadi Uchekelee?
Tuwekee walivyo jadili
 
Furaha Dominic ambaye ni mpwa wa hayati Magufuli aliyegombea ubunge jimbo la Kawe na kushika nafasi ya kwanza huku Pascal Mayalla akiwa wa 162 amesema siku atakayokutana na Rais Samia atampa orodha ya Wafitini wote waliomzunguka.

Furaha anadai CCM kumejaa siasa chafu za kupakana matope, kufitinishana, kuchongeana na kusingiziana huku KUPE wa chama wakimnyonya damu Rais.

Furaha amesema ameshuhudia mengi sana katika utawala wa mjomba wake ( Magufuli) ikiwemo yeye mwenyewe kudhibitiwa na kikundi cha Wasiojulikana ili asigombee ubunge

Furaha alikuwa akihojiwa na Ernest Nyanda katika kipindi cha The Big Agenda, Star tv.

Mjadala ulikuwa mkali na Furaha alionekana akifuta machozi mara kwa mara huku mtangazaji Mtozi akimfariji.
Mahijiano yataendelea tena Ijumaa kwani jana hayakukamilika.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Kama Furaha analizwa na CCM wewe ni nani hadi Uchekelee?
Anamlilia mjomba huyo hana lolote

Anyway, kwanini umemtaja Pascal Mayalla kushika nafasi ya 162 badala ya Gwajiboy aliyeshika nafasi ya 2 au ya 3? sielewi
 
Furaha Dominic ambaye ni mpwa wa hayati Magufuli aliyegombea ubunge jimbo la Kawe na kushika nafasi ya kwanza huku Pascal Mayalla akiwa wa 162 amesema siku atakayokutana na Rais Samia atampa orodha ya Wafitini wote waliomzunguka.

Furaha anadai CCM kumejaa siasa chafu za kupakana matope, kufitinishana, kuchongeana na kusingiziana huku KUPE wa chama wakimnyonya damu Rais.

Furaha amesema ameshuhudia mengi sana katika utawala wa mjomba wake ( Magufuli) ikiwemo yeye mwenyewe kudhibitiwa na kikundi cha Wasiojulikana ili asigombee ubunge

Furaha alikuwa akihojiwa na Aloyce Nyanda katika kipindi cha The Big Agenda, Star tv.

Mjadala ulikuwa mkali na Furaha alionekana akifuta machozi mara kwa mara huku mtangazaji Mtozi akimfariji.
Mahijiano yataendelea tena Ijumaa kwani jana hayakukamilika.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Kama Furaha analizwa na CCM wewe ni nani hadi Uchekelee?
Bwana Kiroboto
Naona unapambana kweli kweli kuwaanika wahuni.
 
Na ule ukwasi kwa muda mfupi sanaa...anataka kutuambia nini ?? Soon anazindua TV yake.....mtumishi wa serikali ....hata miaka 10 kwenye ajira anafuga Tv na FM radio ....
 
Hahahahahahaaa!! Dawa imemuingia. Atulie km walivyo tulia wakati na yy anakula kipindi kileeee
Alikula au aliliwa, alikamatwa wakamsweka ndani na ubunge wakampiga chini.
 
Furaha Dominic ambaye ni mpwa wa hayati Magufuli aliyegombea ubunge jimbo la Kawe na kushika nafasi ya kwanza huku Pascal Mayalla akiwa wa 162 amesema siku atakayokutana na Rais Samia atampa orodha ya Wafitini wote waliomzunguka.

Furaha anadai CCM kumejaa siasa chafu za kupakana matope, kufitinishana, kuchongeana na kusingiziana huku KUPE wa chama wakimnyonya damu Rais.

Furaha amesema ameshuhudia mengi sana katika utawala wa mjomba wake ( Magufuli) ikiwemo yeye mwenyewe kudhibitiwa na kikundi cha Wasiojulikana ili asigombee ubunge

Furaha alikuwa akihojiwa na Aloyce Nyanda katika kipindi cha The Big Agenda, Star tv.

Mjadala ulikuwa mkali na Furaha alionekana akifuta machozi mara kwa mara huku mtangazaji Mtozi akimfariji.
Mahijiano yataendelea tena Ijumaa kwani jana hayakukamilika.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Kama Furaha analizwa na CCM wewe ni nani hadi Uchekelee?
Mambo ya CCM hayo. Kikundi chenye laana ya ubaguzi nchini.
 
Kwahio huyu Furaha anaijua CCM kuliko Samia ?

Kwenye kundi la watu wafitini kufitiana ni kawaida huenda mfitini wa leo akawa mfitiniwa wa kesho....
 
Back
Top Bottom