Frank Hood
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 597
- 1,374
Natamani sana kupata watoto especially mapacha tena wawe mchanganyiko(kike/kiume) au wa kike pekee....ila sijui napataje....Mdada aliyeko tayari tufanye jambo basi☺️☺️☺
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shule nzuri chiefKwanza Nampa Hongera Sana Mkuu kwa Kuongeza Familia
Ni kweli Kabisa Ila Sio kweli kwa 100%
According to epidemiology and Biostatics..
genetic Inacontribute Only to Occurence of Fraternal Twins Na mara Nyingi ni Kwa Upande wa Maternal na sio Partenal..
Ngoja nishuke Nondo za Epidemiology na Biostatistics..
Kwenye Fraternal Twins likelihood ya Kupata fraternal twins (au dizygotic) huwa inaweza Kusababishwa au kuwa Inflenced na Genetic au Lineage kama ulivyosema .
Yaani kama mwanamke akitokea Katika Familia ya Wanaozaa Mapacha na Mara Nyingi chance yake ya kuzaa.Mapacha huwa iko juu sana kuliko ambaye hana Lineage japo inaweza kutkea Asiye na Lineage naya akazaa Japo chance yake sip kubwa sana...
Unajua kwanini??
Kuna kitu Kinaitwa hyperovulation (Kutoa Yai zaidi ya Moja kwa ajili ya Kuwa Fertilized)..
Sasa Hii Tabia "hyperovulation" ndo hurithishwa kwa Wanawake waliozaliwa kwenye Familia ya Mapacha na pale unapopachika Mbegu unajikuta Unachavusha Mayai mawili kwa wakati mmoja..
Kwa mapacha wa Kufanana "Identical Twins" hawa hutokea mfuko mmoja "monozygotic" ..
Na hii ndo ukisikia watu wanasema Majariwa ya Mungu ni haya maana Haihitaji Genetic Predisposition Mbegu Mbili Zifertilize Yai Moja au Yai moja baada ya Kuwa Fertilised lijigawe mara mbili...(ahuu ni Muujiza tu)
Kuna hii nakupa chukua Ethinicity pia Huchangia Kupata Mapacha waarabu na wahindi Ni Vigumu sana Kupata Mapacha Kuliko Waafrika..
Nakuongeza na Hii wanawake wenye Umri wa Miaka 30 na zaidi Wako kwenye Higher Rate ya Kupata mapacha kuliko walio chini ya Hapo unajua kwanini kwa sababu Wanawake wengi Kuanzia Miaka 30 Huanza kutoa mayai Mawili kila mwezi badala ya Moja..
Nawasilisha Mkuu
Wizo tulia basi, kila mtu unataka kumzalia jamani?? Hilo placenta la kuzalia kila mtu unalo lakini?? 😂😂😂Uliniboa sana haujanipa ile FANTASY, huenda na mimi ningekuwa na mimba ya mapacha muda huu!
Nani anipe mapacha jamanii, uwiiiihhh tumbo langu la uzazi linacheza!
Cc: Lamomy
Kiroboto & kunguni 😜Careen&catherine
Dorice&Dorothy
Nadiah....(hili nakosa pea yake)
Leah&.lelah
❤️❤️
Nadiah NorahCareen&catherine
Dorice&Dorothy
Nadiah....(hili nakosa pea yake)
Leah&.lelah
❤️❤️
Nipo hapa!😂😂😂😂😂😂Uliniboa sana haujanipa ile FANTASY, huenda na mimi ningekuwa na mimba ya mapacha muda huu!
Nani anipe mapacha jamanii, uwiiiihhh tumbo langu la uzazi linacheza!
Cc: Lamomy
Ngoja nimwambie mwanangu ajitunze kaka huenda akabahatika kuwa mkwe (mkwelima) wakoNatumaini ni wazima ndugu zangu
Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu
Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.
Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.
Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakike[emoji851]
Sijui niwaite majina gani..
Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa
Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.
African beaty aliefanya nkaitwa baba!
Hey queen E
Thank you[emoji3590]
Basi chenza & chungwa 😂😂😂N
Norah..aaah
Babakoooo😂
Kuna mmoja hapa ana miaka 38, labda anaweza kunipatia mapachaKwanza Nampa Hongera Sana Mkuu kwa Kuongeza Familia
Ni kweli Kabisa Ila Sio kweli kwa 100%
According to epidemiology and Biostatics..
genetic Inacontribute Only to Occurence of Fraternal Twins Na mara Nyingi ni Kwa Upande wa Maternal na sio Partenal..
Ngoja nishuke Nondo za Epidemiology na Biostatistics..
Kwenye Fraternal Twins likelihood ya Kupata fraternal twins (au dizygotic) huwa inaweza Kusababishwa au kuwa Inflenced na Genetic au Lineage kama ulivyosema .
Yaani kama mwanamke akitokea Katika Familia ya Wanaozaa Mapacha na Mara Nyingi chance yake ya kuzaa.Mapacha huwa iko juu sana kuliko ambaye hana Lineage japo inaweza kutkea Asiye na Lineage naya akazaa Japo chance yake sip kubwa sana...
Unajua kwanini??
Kuna kitu Kinaitwa hyperovulation (Kutoa Yai zaidi ya Moja kwa ajili ya Kuwa Fertilized)..
Sasa Hii Tabia "hyperovulation" ndo hurithishwa kwa Wanawake waliozaliwa kwenye Familia ya Mapacha na pale unapopachika Mbegu unajikuta Unachavusha Mayai mawili kwa wakati mmoja..
Kwa mapacha wa Kufanana "Identical Twins" hawa hutokea mfuko mmoja "monozygotic" ..
Na hii ndo ukisikia watu wanasema Majariwa ya Mungu ni haya maana Haihitaji Genetic Predisposition Mbegu Mbili Zifertilize Yai Moja au Yai moja baada ya Kuwa Fertilised lijigawe mara mbili...(ahuu ni Muujiza tu)
Kuna hii nakupa chukua Ethinicity pia Huchangia Kupata Mapacha waarabu na wahindi Ni Vigumu sana Kupata Mapacha Kuliko Waafrika..
Nakuongeza na Hii wanawake wenye Umri wa Miaka 30 na zaidi Wako kwenye Higher Rate ya Kupata mapacha kuliko walio chini ya Hapo unajua kwanini kwa sababu Wanawake wengi Kuanzia Miaka 30 Huanza kutoa mayai Mawili kila mwezi badala ya Moja..
Nawasilisha Mkuu
Usiwape watoto majina common kama hayo unakosea!!Careen&catherine
Dorice&Dorothy
Nadiah....(hili nakosa pea yake)
Leah&.lelah
❤️❤️
Hayo majina common sana sijui nayaonaje jamaniDorcas na Doreen
Dokta nataman kupata mapachaKwanza Nampa Hongera Sana Mkuu kwa Kuongeza Familia
Ni kweli Kabisa Ila Sio kweli kwa 100%
According to epidemiology and Biostatics..
genetic Inacontribute Only to Occurence of Fraternal Twins Na mara Nyingi ni Kwa Upande wa Maternal na sio Partenal..
Ngoja nishuke Nondo za Epidemiology na Biostatistics..
Kwenye Fraternal Twins likelihood ya Kupata fraternal twins (au dizygotic) huwa inaweza Kusababishwa au kuwa Inflenced na Genetic au Lineage kama ulivyosema .
Yaani kama mwanamke akitokea Katika Familia ya Wanaozaa Mapacha na Mara Nyingi chance yake ya kuzaa.Mapacha huwa iko juu sana kuliko ambaye hana Lineage japo inaweza kutkea Asiye na Lineage naya akazaa Japo chance yake sip kubwa sana...
Unajua kwanini??
Kuna kitu Kinaitwa hyperovulation (Kutoa Yai zaidi ya Moja kwa ajili ya Kuwa Fertilized)..
Sasa Hii Tabia "hyperovulation" ndo hurithishwa kwa Wanawake waliozaliwa kwenye Familia ya Mapacha na pale unapopachika Mbegu unajikuta Unachavusha Mayai mawili kwa wakati mmoja..
Kwa mapacha wa Kufanana "Identical Twins" hawa hutokea mfuko mmoja "monozygotic" ..
Na hii ndo ukisikia watu wanasema Majariwa ya Mungu ni haya maana Haihitaji Genetic Predisposition Mbegu Mbili Zifertilize Yai Moja au Yai moja baada ya Kuwa Fertilised lijigawe mara mbili...(ahuu ni Muujiza tu)
Kuna hii nakupa chukua Ethinicity pia Huchangia Kupata Mapacha waarabu na wahindi Ni Vigumu sana Kupata Mapacha Kuliko Waafrika..
Nakuongeza na Hii wanawake wenye Umri wa Miaka 30 na zaidi Wako kwenye Higher Rate ya Kupata mapacha kuliko walio chini ya Hapo unajua kwanini kwa sababu Wanawake wengi Kuanzia Miaka 30 Huanza kutoa mayai Mawili kila mwezi badala ya Moja..
Nawasilisha Mkuu