Furaha yangu kubwa ni kuona watu wanaoana

Hii ndio furaha yangu kubwa sana,na kusuluhisha migogoro ya wanandoa ni furaha yangu kubwa sana.Siangalii dini za wanandoa wanaooana au naowasuluhisha.Kama una mgogoro wa ndoa au unatamaninkuoa au kuolewa njoo tuongee
Mm nataka kuoa ila Sina pesa ya kufunga ndoa na kulipia mahari
 
Kuoana ni kupungukiwa na akili... Kuoana ni uwendazimu... Imarika kiakili kiafya na kiuchumi achana na ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…