Angelicious
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 869
- 498
mume halali wa queen Angelicious..
mume halali wa queen Angelicious..
Ha ha ha!! Loh!! Bado hujakubali tu kushindwa?
cc miss neddy...mdogo wangu nilikuambia
Ntuzu..angalia unakompeleka mdogo wetu
Heaven on Earth..njoo uone
cc miss neddy...mdogo wangu nilikuambia
Ntuzu..angalia unakompeleka mdogo wetu
Heaven on Earth..njoo uone
Hapo Excel katereza tu kidogo, alikua amemkusudia miss neddy Alafu sio Yeye Huyo kuna mtu ameiingilia account yake!!!!!
Hapo Excel katereza tu kidogo, alikua amemkusudia miss neddy Alafu sio Yeye Huyo kuna mtu ameiingilia account yake!!!!!
Huyo Angelicious ndo Bado kimoyo chamuuma!
mwallu...! Punguza hasira sis..
Aliyekwambia Angelicious si mke wangu ni nani?
Niko kwenye mkakati mkali saana wa kutoa talaka!
Ili iwe funzo kwa wengine... Ngoja naja sis..! Utafurahi mwenyewe!
nadhani kuna maslahi unapata kutoka kwa Excel..haiwezekani hadi vitu vya wazi kabisa unakwepa kuviona
maamuzi yote anayo miss neddy..mie sitaunga mkono wala kupinga tena. Excel hawezekanikiiiii
Teh Teh Teh!
Sass Jamani mawazawadi yote hayo aliotoa Shemeji tutayarudishaje? Si bora tuvumilie hivyo hivyo! Mbona Wazazi wetu wamevumiliana mpk wamezeheshana? Unajua waliyopitia? Au umesahau mama yetu alijitoa masimbe?
Huyo Angelicious ndo Bado kimoyo chamuuma!
Lazima kwanza nikupe talaka in public ndipo umma uelewe kuwa nimekuacha rasmi!
Bado una element zangu nyingi sana! Kwanini nikuache kienyeji?
Lazima kwanza talaka tisa zitoke ndipo ntakapo ntakapomuoa kwa amani malikia wangu miss neddy!
Cc.. mwallu (punguza hasira sister! Eenh!) mfalme Ntuzu,
unofficial husband of yours, Daudi1
and all others.