FURSA: Canada imetoa Visa maalum kwa wachomelea vyuma, Mafundi bomba na Maselemala

FURSA: Canada imetoa Visa maalum kwa wachomelea vyuma, Mafundi bomba na Maselemala

Serikali ya Canada imekaribisha maombi ya Visa maalum kwa mafundi mchundo, sorry I mean kwa wateknolojia katika fani ya welding, plumbing na carpentry. Vijana hii ni fursa ambayo hampaswi kuiacha ipite. Maisha ni malengo.
Kila la heri.
Dr Matola PhD unaona nilichokua nachangia kule kwenye uzi wako? Wamebana huku wanafungua kwingine. Wameshaona wanaoenda kwa style ya visitor wengi wanaelemea kazi za aina fulani na sasa wameamua kufungua milango specific kwa makundi ya watu wenye fani wanazozitaka.
Hawa mambo yao mengi huwa well calculated.

Soma vizuri haya matangazo yao..focus yao ni Europe USA sababu ujunzi unalingana na Kikubwa ni lugha..
 
Soma vizuri haya matangazo yao..focus yao ni Europe USA sababu ujunzi unalingana na Kikubwa ni lugha..
Mkuu, mahali fulani hapa kati baada ya European countries kuimarisha sera zao za hasa usalama, afya na ajira Canada ilipata gab kwa kuondokewa na wataalam wengi wenye asili za nchi za Ulaya. Wazungu wengi walirudi nchi zao za asili. Ikabidi Canada kuanza kuajiri wataalam kutoka nje, fursa ambazo zilichangamkiwa sana na wahindi, wachina, na waafrika walihamia kwa wingi.
Ilivutia wanafunzi kwenda kusoma na walipomaliza iliweka program/mazingira ya kuwabakiza ili waitumie elimu ile palepale Canada.
Nafasi nyingi za kazi zinazohitaji watu kutoka nje ya Canada waombaji wengi hutoka China, Afrika na nchi nyingine za Asia na sasa hivi Ukranians. Sasa hivi idadi ya Waafrika ma wachina waliopo Canada inashabihiana.
Huwa hizi kazi zina levels na hata wakifika kule huwa kunakuwa na utaratibu lazima wapitishwe ili kukidhi standards zao ndipo waanze rasmi kuzifanya.
 
halafu vijana Tanzania waseme hakuna kazi, ila kazi ni popote duniani vigezo tu- lugha na uzoefu. Vijana changamkieni fursa ulimwenguni huko kuliko kusema hakuna Kazi Tanzania, Tanzania/Canada ni sehemu ya Ulimwengu pia. Nendeni mchume na mlete, kazi kwenu.
Umeandika kiasi kwamba ni rahisi sana kupata kazi huko?
Dunia ni kijijini na unaweza kufanya kazi na mtu yoyote aliyeoko duniani bila kwenda huko kwao ila kwa kuwa Tanzania ni kuzimu hizo fursa utabaki unaziangalia kwa macho tu.
Najua bado haujanielewa, Tanzania haina mifumo ya kupokea pesa kutoka nje ya nchi kwa kiasi cha 1 USD
Mtu aliyeoko Ghana akikitumia hela 1 USD. Utaweza kujibeba
Punguza kushinda JF, Facebook na Instagram.
 
Umeandika kiasi kwamba ni rahisi sana kupata kazi huko?
Dunia ni kijijini na unaweza kufanya kazi na mtu yoyote aliyeoko duniani bila kwenda huko kwao ila kwa kuwa Tanzania ni kuzimu hizo fursa utabaki unaziangalia kwa macho tu.
Najua bado haujanielewa, Tanzania haina mifumo ya kupokea pesa kutoka nje ya nchi kwa kiasi cha 1 USD
Mtu aliyeoko Ghana akikitumia hela 1 USD. Utaweza kujibeba
Punguza kushinda JF, Facebook na Instagram.
Ulimaanisha nn mtu awezi kupokea hela kutoka nje ya nchi mbona Kuna remit na nyinginezo kwa ajili ya hilo
 
Back
Top Bottom