Fursa kwa wana IT: Wateja wanahitaji Kariakoo ya mtandaoni inayofanana na Alibaba.Com, kama una uwezo chukua hatua bila kusita

Fursa kwa wana IT: Wateja wanahitaji Kariakoo ya mtandaoni inayofanana na Alibaba.Com, kama una uwezo chukua hatua bila kusita

Mbona zipo kaka,

Nida Danish
www.nidadanish.com

www.shoponline.co.tz

Kupatana.com

Jiji.co.tz

Na zingine zingi
Hizi bado mkuu,I mean something like alibaba.com ambapo itakuwa specific eneo moja ambalo ni kariakoo.Kama ni muuzaji kutoka sehemu nyingine tofauti na kariakoo hutaweza kujisajili.

To be specific,
Muuzaji atajisajili then atatuma zile document za TRA kuthibitisha yupo location ya kariakoo,atatakiwa kusema ni muuzaji wa reja reja au jumla,atatakiwa kusema duka lake lipo mtaa gani na atatakiwa kulipiga picha.Pia platform itakuwa na escrow ili wauzaji na wanunuaji walindane.Mwisho kutakuwa na algorithim ya kushindanisha bei ili wale wapigaji wasionekane.
 
Wauzaji wa online Tz Wengi Wana tamaa....wanaweka cha juu kiasi kikubwa Sana mwisho mtu unaamua kwenda kkoo mwenyewe...bado udanganyifu wa quality...unaweza uziwa used ukiamini mpya...
Platform itakuwa na algorithim ya kuwafanya wauzaji wacompete bei.Wale wa cha juu kikubwa kwenye bidhaa ambayo anauza bei ndogo atapata shida sana kuonekana kwenye platform.
 
Ok man mm wateja wa kuanzia nilkuaga nao. Yan maisha hayana. Uwinga kariakoo enzi hizo tandamti, sikukuu, Pemba mpaka nikaja kufika kwa wapakistan pale kitumbini bidhaa vya mini market. Mashuka kwa wachina na pazia Kule kinlaten darasa l machimbo na jamaa yangu kelvin.
Anhaa, hii ni wajasiriamali wanaotengeneza bidhaa zao na kuuza.

Na wateja sasa wa kununua hizo bidhaa.

Kwa hizo za wachina na viwandani vya nje ya Tanzania tayari kuna mitandao mingine. Hata features zake zinawafaa zaidi walio katika location za ndani
 
Hellow members,nimekuja kushare nanyi fursa hii niliyogundua kuwa inahitajika kwenye soko la kuuza na kununua bidhaa hasa kariakoo.

Nimekuwa nasafirisha bidhaa za watu mbali mbali kutoka kariakoo kwenda mikoa yote Tanzania na nchi jirani kwa mda sasa.

Katika hizi harakati mara nyingi nimekuwa napata changamoto ya watu kutaka kujua bei ya bidhaa flani na picha ya bidhaa husika.Sasa hili swala la kutafuta bei ya bidhaa na picha kila siku limekuwa changamoto sana.

Sasa juzi kati hapa nilipata mteja mmlawi anahitaji bidhaa kariakoo ila changamoto ikawa anataka picha za bidhaa mbali mbali aangalie then achague halafu mimi nikalipie nimsafirishie.

Sasa kuna mda inakuwa ni changamoto kupata picha za bidhaa ukizingatia wauzaji wengi wa kariakoo wapo bize na hawapendi usumbufu wa kuomba omba picha.

Sasa katika kuwaza nikagundua kungekuwa na platform like alibaba.com ambapo wauzaji wa kariakoo wanalist bidhaa zao na bei zao za jumla na rejareja ambapo mtu yoyote kutoka sehemu yoyote anaweza akaingia na kuchagua bidhaa then sisi wasafirishaji tukafika duka husika na kumsafirishia bidhaa zake.

Kila la kheri
Wazo zuri tatizo ni utekelezaji katika mazingira ya kibongo. Changamoto kuu ikiwa ni nidhamu mbovu kwa wote, wanunuzi, wauzaji na wasafirishaji.
 
Wazo zuri tatizo ni utekelezaji katika mazingira ya kibongo. Changamoto kuu ikiwa ni nidhamu mbovu kwa wote, wanunuzi, wauzaji na wasafirishaji.
Kama kuna uwezekano wa kuwapa foreigners walitekeleze nayo kheli.


Ila tutakuwa wajinga sana.
 
Boss endelea kuwa winga. Hata hiyo alibaba imecover eneo dogo sana la china. Updates wafanyabiashara wachache sana wanafanya. Sema Amazon labda of which bado. Hata group za whatsapp wafanyabiashara wachache sana hupost product zao. Endelea kupiga hela kwenye uwinga, kuwa smart, mtiifu, mwaminifu na mvumilivu. Itatosha ww kuwa alibaba kkoo yetu.
Acha mawinga wapige pesa mzee
 
Boss endelea kuwa winga. Hata hiyo alibaba imecover eneo dogo sana la china. Updates wafanyabiashara wachache sana wanafanya. Sema Amazon labda of which bado. Hata group za whatsapp wafanyabiashara wachache sana hupost product zao. Endelea kupiga hela kwenye uwinga, kuwa smart, mtiifu, mwaminifu na mvumilivu. Itatosha ww kuwa alibaba kkoo yetu.
Acha mawinga wapige pesa mzee
Mawazo ya kizamani haya.

Innovation ni kitu muhimu sana.
 
Boss endelea kuwa winga. Hata hiyo alibaba imecover eneo dogo sana la china. Updates wafanyabiashara wachache sana wanafanya. Sema Amazon labda of which bado. Hata group za whatsapp wafanyabiashara wachache sana hupost product zao. Endelea kupiga hela kwenye uwinga, kuwa smart, mtiifu, mwaminifu na mvumilivu. Itatosha ww kuwa alibaba kkoo yetu.
Acha mawinga wapige pesa mzee
Jamaa ana wazo zuri ila halitekelezeki kwa nchi yetu. Wale wafanyabiashara wanaotakiwa kupost ndo huwa hawapost kabisa na mtamtafuta wenyewe. Na wao ndo chanzo cha neno CHIMBO. Na ni kweli huko China kuna ambao hawako kabisa Alibaba lakini wanapiga biashara.
 
Jamaa ana wazo zuri ila halitekelezeki kwa nchi yetu. Wale wafanyabiashara wanaotakiwa kupost ndo huwa hawapost kabisa na mtamtafuta wenyewe. Na wao ndo chanzo cha neno CHIMBO. Na ni kweli huko China kuna ambao hawako kabisa Alibaba lakini wanapiga biashara.
Bado hujanishawishi kwamba wazo halitekelezeki
 
Back
Top Bottom