Fursa kwa wana IT: Wateja wanahitaji Kariakoo ya mtandaoni inayofanana na Alibaba.Com, kama una uwezo chukua hatua bila kusita

Fursa kwa wana IT: Wateja wanahitaji Kariakoo ya mtandaoni inayofanana na Alibaba.Com, kama una uwezo chukua hatua bila kusita

Hellow members,nimekuja kushare nanyi fursa hii niliyogundua kuwa inahitajika kwenye soko la kuuza na kununua bidhaa hasa kariakoo.

Nimekuwa nasafirisha bidhaa za watu mbali mbali kutoka kariakoo kwenda mikoa yote Tanzania na nchi jirani kwa mda sasa.

Katika hizi harakati mara nyingi nimekuwa napata changamoto ya watu kutaka kujua bei ya bidhaa flani na picha ya bidhaa husika.Sasa hili swala la kutafuta bei ya bidhaa na picha kila siku limekuwa changamoto sana.

Sasa juzi kati hapa nilipata mteja mmlawi anahitaji bidhaa kariakoo ila changamoto ikawa anataka picha za bidhaa mbali mbali aangalie then achague halafu mimi nikalipie nimsafirishie.

Sasa kuna mda inakuwa ni changamoto kupata picha za bidhaa ukizingatia wauzaji wengi wa kariakoo wapo bize na hawapendi usumbufu wa kuomba omba picha.

Sasa katika kuwaza nikagundua kungekuwa na platform like alibaba.com ambapo wauzaji wa kariakoo wanalist bidhaa zao na bei zao za jumla na rejareja ambapo mtu yoyote kutoka sehemu yoyote anaweza akaingia na kuchagua bidhaa then sisi wasafirishaji tukafika duka husika na kumsafirishia bidhaa zake.

Kila la kheri
Mbona wapo wanaofanya biashara hiyo japo si kwa mtandao. Wao wanakataloji unachagua anakuletea, unamlipa bila mbambamba.
 
Nyingi sana hata blog zipo nyingi.

Kuna hii moja niliamua kuianzisha kwa ajili ya wajasiriamali Tz
Wataweka bidhaa
Wataweka maelezo
Wataandika blog
Watajifunza crafts na kufundisha
Kimsingi mjasiriamali anakuwa na ukurasa wake mtandaoni unaojipambanua

Mtoa mada, zipo nyingi ila labda ulitaka iliyotawala kariakoo ndio ukakosa.

Bado ipo na ni fursa kwa wajasiriamali nchini. Bure bilashi. Soma attachments
View attachment 2803827
Hizo PDF hasa hio inayoelezea USER FLOW ina mambo mengi Sana (makelele) si rafiki kwa user na itamfanya aboreke, ungeandika Simple maelezo kirogo picha nyingi.

Ungetengeneza UI Design ya hizo sehemu au Kama haukua na UI Design hata unge screenshot then ungeweka screenshot hizo na maelezo kidogo.
 
Hizo PDF hasa hio inayoelezea USER FLOW ina mambo mengi Sana (makelele) si rafiki kwa user na itamfanya aboreke, ungeandika Simple maelezo kirogo picha nyingi.

Ungetengeneza UI Design ya hizo sehemu au Kama haukua na UI Design hata unge screenshot then ungeweka screenshot hizo na maelezo kidogo.
Yas ni kweli

Kwa bongo tuna changamoto ya umakini na muda wa kutilia mkazo. 'Attention span' ni changamoto.
 
Hizo PDF hasa hio inayoelezea USER FLOW ina mambo mengi Sana (makelele) si rafiki kwa user na itamfanya aboreke, ungeandika Simple maelezo kirogo picha nyingi.

Ungetengeneza UI Design ya hizo sehemu au Kama haukua na UI Design hata unge screenshot then ungeweka screenshot hizo na maelezo kidogo.
Una jicho la mbali
 
To be specific,
Muuzaji atajisajili then atatuma zile document za TRA kuthibitisha yupo location ya kariakoo,atatakiwa kusema ni muuzaji wa reja reja au jumla,atatakiwa kusema duka lake lipo mtaa gani na atatakiwa kulipiga picha.Pia platform itakuwa na escrow ili wauzaji na wanunuaji walindane.Mwisho kutakuwa na algorithim ya kushindanisha bei ili wale wapigaji wasionekane.
kwa hizi specs hapa, hii fursa kwa IT wa Bongo ! wallahi sahau
 
Sorry,nielezee namna wauzaji,wanunuzi na wasafirishaji watakosa nidhamu?
Wauzaji: uaminifu, kwa kuwa haupo pale kuchagua, anaweza kukuleta kitu kisicho na ubora, kisa anajua unaweza ona usumbufu kurudisha... pia wanatabia ya kuweka cha juu ambacho akiharisiki wakiamini kama wewe sio wa kwenda sokoni kuchagua basi kuna uwezekano mkubwa hujui bei halisi na una hela. Japo sio wote ila hizo ni baadhi ya kero za kawaida sana unaponunu kitu mtandaoni. Watatafuta tu namna ya kukuchakachua.
Wanunuzi: Kuna watu either hawajui wanachokitaka au sijui ni nini, unampelekea bidhaa bila kujua muda na gharama zako, anaweza kughairi wakati bidhaa ndo ishamfikia. Au anasema hicho alichokiagiza, Na vile issue ya physical address bongo bado changamoto, unapeleka bidhaa unafika karibu na eneo husika simu haipatikani, hupokelewi etc. bado kuna changamoto za kulipana kama ulitegemea kupokea cash bidhaa ikifika kwa mhusika, unafika unapigwa kiswahili, unapewa pungufu na mengineyo.
Wasafirishaji: mmewasiliana uletewe bidhaa muda fulani ni kawaida sana kukuletea visingizio lukuki kabla bidhaa kukufikia, unaweza kujikuta umepoteza siku nzima kububiri mtu wa derivery..
Japo japo sila mununuzi, muuzajia au mfanyabishara wa bongo yuko hivyo, ila wabongo kuheshimu muda watu, biashara ya mtu au hata shughuli yako mwenyewe inayokuingizia kipato bado changamoto kwa wengi bado hujakutana na lugha chafu.. kufika tutafika ila bado sana.
 
Wauzaji: uaminifu, kwa kuwa haupo pale kuchagua, anaweza kukuleta kitu kisicho na ubora, kisa anajua unaweza ona usumbufu kurudisha... pia wanatabia ya kuweka cha juu ambacho akiharisiki wakiamini kama wewe sio wa kwenda sokoni kuchagua basi kuna uwezekano mkubwa hujui bei halisi na una hela. Japo sio wote ila hizo ni baadhi ya kero za kawaida sana unaponunu kitu mtandaoni. Watatafuta tu namna ya kukuchakachua.
Wanunuzi: Kuna watu either hawajui wanachokitaka au sijui ni nini, unampelekea bidhaa bila kujua muda na gharama zako, anaweza kughairi wakati bidhaa ndo ishamfikia. Au anasema hicho alichokiagiza, Na vile issue ya physical address bongo bado changamoto, unapeleka bidhaa unafika karibu na eneo husika simu haipatikani, hupokelewi etc. bado kuna changamoto za kulipana kama ulitegemea kupokea cash bidhaa ikifika kwa mhusika, unafika unapigwa kiswahili, unapewa pungufu na mengineyo.
Wasafirishaji: mmewasiliana uletewe bidhaa muda fulani ni kawaida sana kukuletea visingizio lukuki kabla bidhaa kukufikia, unaweza kujikuta umepoteza siku nzima kububiri mtu wa derivery..
Japo japo sila mununuzi, muuzajia au mfanyabishara wa bongo yuko hivyo, ila wabongo kuheshimu muda watu, biashara ya mtu au hata shughuli yako mwenyewe inayokuingizia kipato bado changamoto kwa wengi bado hujakutana na lugha chafu.. kufika tutafika ila bado sana.
Lakini haya matatizo yote uliyoelezea hapa yanatatulika.Kwahiyo still there is chance
 
Wauzaji: uaminifu, kwa kuwa haupo pale kuchagua, anaweza kukuleta kitu kisicho na ubora, kisa anajua unaweza ona usumbufu kurudisha... pia wanatabia ya kuweka cha juu ambacho akiharisiki wakiamini kama wewe sio wa kwenda sokoni kuchagua basi kuna uwezekano mkubwa hujui bei halisi na una hela. Japo sio wote ila hizo ni baadhi ya kero za kawaida sana unaponunu kitu mtandaoni. Watatafuta tu namna ya kukuchakachua.
Wanunuzi: Kuna watu either hawajui wanachokitaka au sijui ni nini, unampelekea bidhaa bila kujua muda na gharama zako, anaweza kughairi wakati bidhaa ndo ishamfikia. Au anasema hicho alichokiagiza, Na vile issue ya physical address bongo bado changamoto, unapeleka bidhaa unafika karibu na eneo husika simu haipatikani, hupokelewi etc. bado kuna changamoto za kulipana kama ulitegemea kupokea cash bidhaa ikifika kwa mhusika, unafika unapigwa kiswahili, unapewa pungufu na mengineyo.
Wasafirishaji: mmewasiliana uletewe bidhaa muda fulani ni kawaida sana kukuletea visingizio lukuki kabla bidhaa kukufikia, unaweza kujikuta umepoteza siku nzima kububiri mtu wa derivery..
Japo japo sila mununuzi, muuzajia au mfanyabishara wa bongo yuko hivyo, ila wabongo kuheshimu muda watu, biashara ya mtu au hata shughuli yako mwenyewe inayokuingizia kipato bado changamoto kwa wengi bado hujakutana na lugha chafu.. kufika tutafika ila bado sana.
Huyu mleta uzi mwenyewe ni kijana wa hovyo na kujifanya mjuaji. Huyu aendelee kuwa winga tu. Kwa hii ego aliyo nayo anapoteza muda kufikiria jambo kama hilo.
 
Back
Top Bottom