Kariakooking1978
JF-Expert Member
- Jul 11, 2023
- 549
- 1,078
- Thread starter
-
- #21
Hizi bado mkuu,I mean something like alibaba.com ambapo itakuwa specific eneo moja ambalo ni kariakoo.Kama ni muuzaji kutoka sehemu nyingine tofauti na kariakoo hutaweza kujisajili.Mbona zipo kaka,
Nida Danish
www.nidadanish.com
www.shoponline.co.tz
Kupatana.com
Jiji.co.tz
Na zingine zingi
Platform itakuwa na algorithim ya kuwafanya wauzaji wacompete bei.Wale wa cha juu kikubwa kwenye bidhaa ambayo anauza bei ndogo atapata shida sana kuonekana kwenye platform.Wauzaji wa online Tz Wengi Wana tamaa....wanaweka cha juu kiasi kikubwa Sana mwisho mtu unaamua kwenda kkoo mwenyewe...bado udanganyifu wa quality...unaweza uziwa used ukiamini mpya...
Jiji sio nzuri kwa B2BKwani mbona Kuna "Jiji". Hii nayo mbona ni nzuri ndugu
😂😂😂😂Watanzania wakizishangaa fursa mbalimbali bila ya kujalisha ni wasomi au laa huku nchi ikipigwa na panya road waliovalishwa suti na kukaa kwenye ofisi za uma👇😁😁😁
View attachment 2803774
Kiaje an?Alibaba kibongobongo inafanana na Sarafu
Akikujibu nitagMkuu hii nida danish Ina muda gan graundi?
Anhaa, hii ni wajasiriamali wanaotengeneza bidhaa zao na kuuza.Ok man mm wateja wa kuanzia nilkuaga nao. Yan maisha hayana. Uwinga kariakoo enzi hizo tandamti, sikukuu, Pemba mpaka nikaja kufika kwa wapakistan pale kitumbini bidhaa vya mini market. Mashuka kwa wachina na pazia Kule kinlaten darasa l machimbo na jamaa yangu kelvin.
Wazo zuri tatizo ni utekelezaji katika mazingira ya kibongo. Changamoto kuu ikiwa ni nidhamu mbovu kwa wote, wanunuzi, wauzaji na wasafirishaji.Hellow members,nimekuja kushare nanyi fursa hii niliyogundua kuwa inahitajika kwenye soko la kuuza na kununua bidhaa hasa kariakoo.
Nimekuwa nasafirisha bidhaa za watu mbali mbali kutoka kariakoo kwenda mikoa yote Tanzania na nchi jirani kwa mda sasa.
Katika hizi harakati mara nyingi nimekuwa napata changamoto ya watu kutaka kujua bei ya bidhaa flani na picha ya bidhaa husika.Sasa hili swala la kutafuta bei ya bidhaa na picha kila siku limekuwa changamoto sana.
Sasa juzi kati hapa nilipata mteja mmlawi anahitaji bidhaa kariakoo ila changamoto ikawa anataka picha za bidhaa mbali mbali aangalie then achague halafu mimi nikalipie nimsafirishie.
Sasa kuna mda inakuwa ni changamoto kupata picha za bidhaa ukizingatia wauzaji wengi wa kariakoo wapo bize na hawapendi usumbufu wa kuomba omba picha.
Sasa katika kuwaza nikagundua kungekuwa na platform like alibaba.com ambapo wauzaji wa kariakoo wanalist bidhaa zao na bei zao za jumla na rejareja ambapo mtu yoyote kutoka sehemu yoyote anaweza akaingia na kuchagua bidhaa then sisi wasafirishaji tukafika duka husika na kumsafirishia bidhaa zake.
Kila la kheri
Kama kuna uwezekano wa kuwapa foreigners walitekeleze nayo kheli.Wazo zuri tatizo ni utekelezaji katika mazingira ya kibongo. Changamoto kuu ikiwa ni nidhamu mbovu kwa wote, wanunuzi, wauzaji na wasafirishaji.
Wakiwekeza foreigners, na changamoto ya wanunuzi itakuwaje? au nayo tutawaita wageni?Kama kuna uwezekano wa kuwapa foreigners walitekeleze nayo kheli.
Sorry,nielezee namna wauzaji,wanunuzi na wasafirishaji watakosa nidhamu?Wakiwekeza foreigners, na changamoto ya wanunuzi itakuwaje? au nayo tutawaita wageni?
Mawazo ya kizamani haya.Boss endelea kuwa winga. Hata hiyo alibaba imecover eneo dogo sana la china. Updates wafanyabiashara wachache sana wanafanya. Sema Amazon labda of which bado. Hata group za whatsapp wafanyabiashara wachache sana hupost product zao. Endelea kupiga hela kwenye uwinga, kuwa smart, mtiifu, mwaminifu na mvumilivu. Itatosha ww kuwa alibaba kkoo yetu.
Acha mawinga wapige pesa mzee
Uzi ufungwe. Short and clear. Tupambanie kwanza nidhamu.Wazo zuri tatizo ni utekelezaji katika mazingira ya kibongo. Changamoto kuu ikiwa ni nidhamu mbovu kwa wote, wanunuzi, wauzaji na wasafirishaji.
Fafanua wanunuaji,wauzaji na wasafirishaji watakosa nidhamu kivipi?Uzi ufungwe. Short and clear. Tupambanie kwanza nidhamu.
kulikuwa kuna zoom pia lakini iliungana na kupatana ila jiji nadhani ndio the bestKwani mbona Kuna "Jiji". Hii nayo mbona ni nzuri ndugu
Sio kwamba watakosa. Hata sasa hawana nidhamu.Fafanua wanunuaji,wauzaji na wasafirishaji watakosa nidhamu kivipi?
Jamaa ana wazo zuri ila halitekelezeki kwa nchi yetu. Wale wafanyabiashara wanaotakiwa kupost ndo huwa hawapost kabisa na mtamtafuta wenyewe. Na wao ndo chanzo cha neno CHIMBO. Na ni kweli huko China kuna ambao hawako kabisa Alibaba lakini wanapiga biashara.Boss endelea kuwa winga. Hata hiyo alibaba imecover eneo dogo sana la china. Updates wafanyabiashara wachache sana wanafanya. Sema Amazon labda of which bado. Hata group za whatsapp wafanyabiashara wachache sana hupost product zao. Endelea kupiga hela kwenye uwinga, kuwa smart, mtiifu, mwaminifu na mvumilivu. Itatosha ww kuwa alibaba kkoo yetu.
Acha mawinga wapige pesa mzee
Elezea kivipi hawana nidhamu,sijakuelewaSio kwamba watakosa. Hata sasa hawana nidhamu.
Bado hujanishawishi kwamba wazo halitekelezekiJamaa ana wazo zuri ila halitekelezeki kwa nchi yetu. Wale wafanyabiashara wanaotakiwa kupost ndo huwa hawapost kabisa na mtamtafuta wenyewe. Na wao ndo chanzo cha neno CHIMBO. Na ni kweli huko China kuna ambao hawako kabisa Alibaba lakini wanapiga biashara.