Fursa nchini Morocco: Biashara ya mbuzi inalipa sana

Kuna Taarifa kwamba hao jamaa ni wabaguzi sana haswa kwa weusi, hiyo hali uliiona? Unaizungumziaje..

Hebu weka wazi ili anayeifuata hii fursa ya mbuzi ajiandae kisaikolojia.

acha kukariri story za vijiweni mkuu
 
Wanapenda nyama ya mbuzi au mbuzi wa aina gani
 
Aiseee maana mm na supply mahotel uku Arusha kwaiyo una link mkuu unatupa mchongo mizur lakn namna ya kuwafkia wao wateja sasa
 
Yaaani wewe wakitajwa waarabu tu lazima upanick kiukweli siioni tofauti kati yako na wale wanaoiita nchi fulani taifa teule

Hata wewe wakitajwa wazungu unapanick , hapo kuna kupanick au ukweli?? Nyinyi waafrika hamna chuki na waafrika wenzenu ?? Kamuulize Mbowe na Lissu yaliyowafika.Haya mnayotufanyia Wazanzibar nchi mliyoivamia na kuuwa maelfu na mnaendelea kuuwa mpaka leo ni kwa ajili gani kama si chuki dhidi ya waislamu ??
 
Chuki dhidi ya waislamu samia angekuwa raisi? Mimi kipaumbele changu hakijawahi kuwa wazungu wote hao ni wabaguzi japo nimewahi kulelewa na familia ya kifaransa nipo mdogo...halafu hakuna watu wabaguzi kama waislamu naongea hivyo kwasababu mimi kwetu ni mikindani
 
Kila mtu anajuwa Samia amekuwa Raisi kwa bahati mbaya na tizama mnavyompiga vita , yaani kila akijaribu kuiweka nchi kwenye mstari maaskofu wanakuja na Matamko

Hakuna watu wabaguzi kama wakristo kwani nimeona Marekani mpaka makanisa hii leo yapo ya waafrika na ya Wazungu dini hiyo moja ya ukristo na dhehebu moja
 
Hapa Tanzania mbuzi huuzwa laki 5 hiyo kwa Wale wazuri gala goat
 
Waliuawa watu 21 kwa kosa lipi? Je ni sahihi kumuhusisha samia na upoteaji wa watu unaondelea nchini kwasasa? Vipi ni sahihi kumuhusisha samia na mauaji yawatoto yanayoendelea nchini?

Samia hajatoa amri usiwe mjinga hivyo na mbishi, Magufuli alitumia vyombo vya dola kulazimisha kukaa madarakani na wakauliwa Hao watu , unajifanya Kama unaishi sayari ya Mars? Magufuli alileta mpaka majeshi ya Burundi hapa Zanzibar. Haya lete jengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…