katu nundu
Member
- Nov 26, 2018
- 75
- 74
Ofisi yenu iko wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funguka uokoe wengine, maana dunia duara😂Acha nikae kimya ila
Too good to be trueAcha nikae kimya ila
Angesema yeye ni nani anapatikana wapi jina lake hili ni halisi au lah ingeleta maana kidogoToo good to be true
Jamani mnaojua kuagiza bidhaa china huko mtufundishe na sisi tuagize
Angesema yeye ni nani anapatikana wapi jina lake hili ni halisi au lah ingeleta maana kidogo
Siko hapa kuharibu biashara ya mtu ila umakini ni muhimu sana
Sanaa Niliagiza mzigo na mtu Leo karibu mwaka sijawahi kuupata 🤣Hii makitu ya China ni challenge mno
Nenda kikuu, leo tu nimepika kifurushi toka China, wamefungua mataw mikoa yote.Jamani mnaojua kuagiza bidhaa china huko mtufundishe na sisi tuagize
Nimepata, kifurushi,( typing error)Nenda kikuu, leo tu nimepika kifurushi toka China, wamefungua mataw mikoa yote.
Kuna watu waaminifu na ambao wa kutilia shaka,
Ina maana wao ujuzi wametoa wapiWakikufundisha watakula wap?
Sanaa Niliagiza mzigo na mtu Leo karibu mwaka sijawahi kuupata [emoji1787]
Ina maana wao ujuzi wametoa wapi
Basi mi nishaanza kabisa tena najifunza kuongea kichina.Wanajiongeza na ujanja ujanja
Pole kwa kawaida mzigo ukichelewa sana ni miezi miwili sawa na siku 60 toka mzigo unapoanza safari sio toka unapolipia order yako. So anakuagizoa lazima akujuze siku ambayo amepeleka mzigo kwa ajili ya kuanza safari. Ila kwa mwaka mzima hunapata mzigo basi hapo hesabu maumivuSanaa Niliagiza mzigo na mtu Leo karibu mwaka sijawahi kuupata [emoji1787]