Sir Kisesa
Member
- Jan 30, 2020
- 25
- 23
Habari zenu, kuna fursa nimepata nzuri sana ila sina capita ya kutosha iko ivi.
Kuna jamaa anafanya kazi kampuni fulani ya mafuta ya kupikia, yaani kiwanda kipo nchi fulani kisha Tz kuna brach yao.
Jamaa ndo anahusika na oda zote zinatoka kwa kawateja, wao hawauzi dukani, ni watu wenye maduka wanakuja stoo kununua kwa bei ya jumla.
Fursa iko wapi?
Jamaa kwa kila oda kubwa anaweza kupata discount ya 500 kwa kila dumu la mafuta.
Yaani mteja akiweka oda ya dumu 1000, yeye anaenda kuongea na manager wake kumpunguzia mteja anapata kila dumu 500.
Tuna mtaji mdogo na tuna mwezi sasa, kuna mda tunapata oda kubwa hadi pcs 1,000 kila siku
Hatuna fundi
Kama kuna mtu ana capita ya kuweza kununua kuanzia dumu 200 kila siku unaingiza 100k hio ni net profit.
Ni biashara ya jumla ambayo faida yake ni ndogo lakini unaipata chapi bila changamoto yeyote.
Mchanganuo
Mfano.
1 dumu lt 20= 63,000 (zanzibar)
Ukiwa na 10m= 158 dumu
Profit 158×500= 79,000
Na kwa mwezi ni tsh 2,370,000
Nimeandika apa sio nimehadisiwa
Nina fanya na plani nipate 50m
Kadri unavyonunua mzigo mkubwa ndivyo faida inaongezeka.
Wateja wapo sio wa kutafuta.
Mtu ambaye anaweza kuinvest tukishirikiana na anahitaji maelezo zaidi. 0678362478 (whatsapp)
Kuna jamaa anafanya kazi kampuni fulani ya mafuta ya kupikia, yaani kiwanda kipo nchi fulani kisha Tz kuna brach yao.
Jamaa ndo anahusika na oda zote zinatoka kwa kawateja, wao hawauzi dukani, ni watu wenye maduka wanakuja stoo kununua kwa bei ya jumla.
Fursa iko wapi?
Jamaa kwa kila oda kubwa anaweza kupata discount ya 500 kwa kila dumu la mafuta.
Yaani mteja akiweka oda ya dumu 1000, yeye anaenda kuongea na manager wake kumpunguzia mteja anapata kila dumu 500.
Tuna mtaji mdogo na tuna mwezi sasa, kuna mda tunapata oda kubwa hadi pcs 1,000 kila siku
Hatuna fundi
Kama kuna mtu ana capita ya kuweza kununua kuanzia dumu 200 kila siku unaingiza 100k hio ni net profit.
Ni biashara ya jumla ambayo faida yake ni ndogo lakini unaipata chapi bila changamoto yeyote.
Mchanganuo
Mfano.
1 dumu lt 20= 63,000 (zanzibar)
Ukiwa na 10m= 158 dumu
Profit 158×500= 79,000
Na kwa mwezi ni tsh 2,370,000
Nimeandika apa sio nimehadisiwa
Nina fanya na plani nipate 50m
Kadri unavyonunua mzigo mkubwa ndivyo faida inaongezeka.
Wateja wapo sio wa kutafuta.
Mtu ambaye anaweza kuinvest tukishirikiana na anahitaji maelezo zaidi. 0678362478 (whatsapp)