ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Nawatakia kila heri tatizo niko mbali sana ila laki 3 tu asee ndogo sana kwa thamani ya ardhi...vipi ardhi hio haina panya maana duh karanga na panya hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusema ukweli ni nafasi yangu tu haipo vyema ungalikuta nimeshafika huko mara moja.Nikikamilisha mchakato nitaweka update hapa na hata picha za maeneo
Usifananishe kyela na vitu vya kijinga, ushaambiwa kula bata subiri wafugwe uletewe uuziwe mla bata.Kweli inabidi wanaoanza maisha.ekar tano ya mahari hakuna barabara vizazi vyangu si vitacheka.
Kigoma uvinza ekari moja laki shamba pembeni ya mto semi zinapitabusiku na mchana
Pole mkuuKusema ukweli ni nafasi yangu tu haipo vyema ungalikuta nimeshafika huko mara moja.
Endelea kununua BATA Kwa elf 60, Mchele kilo 5000 na maharage kilo 4000Usifananishe kyela na vitu vya kijinga, ushaambiwa kula bata subiri wafugwe uletewe uuziwe mla bata.
Poyoyo
2012,13,14... Tuliishi Kwa upendo Sana jf... Nakumbuka nilivyobeba sungura wangu 10 kupeleka Kwa mwanajf morogoro wakati tunawasiliana JF tuu...Haya mambo yanakuwaga na vilio mbele... kwa jinsi binadamu alivyo mbinafsi kama ni kitu kitamu atahakikisha anafaidika kwanza yeye na watu wake wa karibu.. kuja upost huku hawezi hata kumbuka. Anyway, kila la heri kwenu.
Hata nyoka sijaona .. Kwa wapenzi wa samaki, uyoga, maembe ndio Mahala pakeNawatakia kila heri tatizo niko mbali sana ila laki 3 tu asee ndogo sana kwa thamani ya ardhi...vipi ardhi hio haina panya maana duh karanga na panya hatari
Ni upuuz hebu katembelee muheza kidogo.Kwa kyela ama Rungwe kumiliki heka tano si Jambo dogo
Ni vyema ukiandika Kwa staa fursa zilizopo muhenza watu waje waoneNi upuuz hebu katembelee muheza kidogo.
Ni kweli sijanena kwa staha .Maana yangu ni nchi hii kama unayo cash mil 3 hadi 5 n'a uko tayari kuhamia kijijini kuishi kama mkulima wa kawaida ww ni tajir ila nadhani mikoa kama mbeya .kilimanjaro n'a kagera ardhi ishapiganiwa sana ni aghali .ila mikoa kama kigoma .katavi.lindi.tanga huko bado ni shamba la bibiNi vyema ukiandika Kwa staa fursa zilizopo muhenza watu waje waone
Ni uwekezaji mzuriNi kweli sijanena kwa staha .Maana yangu ni nchi hii kama unayo cash mil 3 hadi 5 n'a uko tayari kuhamia kijijini kuishi kama mkulima wa kawaida ww ni tajir ila nadhani mikoa kama mbeya .kilimanjaro n'a kagera ardhi ishapiganiwa sana ni aghali .ila mikoa kama kigoma .katavi.lindi.tanga huko bado ni shamba la bibi
Mfano mm ni ukupenda raha tu ila nina shamba la ekari 30 nilinunua mil 4 n'a liko pembezoni ya mto pale uvinza kutoka barabarani kilomita 3
kigoma ipi hiyo mkuu ambayo semi zinapita, zikenda wapi kwa mfanoKweli inabidi wanaoanza maisha.ekar tano ya mahari hakuna barabara vizazi vyangu si vitacheka.
Kigoma uvinza ekari moja laki shamba pembeni ya mto semi zinapitabusiku na mchana
Kijiji kinaitwaje kipo kata gani na kutoka kyela nauli kiasi gani naweza kuzama mwezi wa sita.Hata nyoka sijaona .. Kwa wapenzi wa samaki, uyoga, maembe ndio Mahala pake
Nauli ni 15 Kwa pikipiki naomba Info zaidi nikupe inboxKijiji kinaitwaje kipo kata gani na kutoka kyela nauli kiasi gani naweza kuzama mwezi wa sita.
Aisee nimepita maeneo ya uvinza hapo kuelekea Kasulu mpaka mate yakawa yananitoka ardhi inarutuba mpaka basi. Cheki inbox Yako Kuna kitu nimekuulizaKweli inabidi wanaoanza maisha.ekar tano ya mahari hakuna barabara vizazi vyangu si vitacheka.
Kigoma uvinza ekari moja laki shamba pembeni ya mto semi zinapitabusiku na mchana
Hapo kwenye semi katupigakigoma ipi hiyo mkuu ambayo semi zinapita, zikenda wapi kwa mfano
mtwa mkuluAisee nimepita maeneo ya uvinza hapo kuelekea Kasulu mpaka mate yakawa yananitoka ardhi inarutuba mpaka basi. Cheki inbox Yako Kuna kitu nimekuuliza
mtwa mkulu tafadhali ona ushahidi huu hiyo ardhi uvinza hajawahi lima mwanadamu tangu iumbwe mashamba mapya udongo mweusi toi. Karanga zinatoka ukubwa wa kudolegumba chako ardhi ekali haifiki laki n'a nusu na wanauza kuanzia ekali 10 kwenda juuAisee nimepita maeneo ya uvinza hapo kuelekea Kasulu mpaka mate yakawa yananitoka ardhi inarutuba mpaka basi. Cheki inbox Yako Kuna kitu nimekuuliza