Fursa ya kilimo Mbeya watu wachache sana wanahitajika

MTWA

mtwa mkulu tafadhali ona ushahidi huu hiyo ardhi uvinza hajawahi lima mwanadamu tangu iumbwe mashamba mapya udongo mweusi toi. Karanga zinatoka ukubwa wa kudolegumba chako ardhi ekali haifiki laki n'a nusu na wanauza kuanzia ekali 10 kwenda juu
Hujanitumia mkuu
 
2012,13,14... Tuliishi Kwa upendo Sana jf... Nakumbuka nilivyobeba sungura wangu 10 kupeleka Kwa mwanajf morogoro wakati tunawasiliana JF tuu...
Nashauri wanao hitaji kuwekeza waje na mpaka muda huu nimepata mmoja. Mwishoni tutaandaa mrejesho

Mfano [mention]Marire [/mention] alituletea fursa kibao
 

Tanga Kuna utapeli wa Ardhi sina hamu napo
 
Zote hizo zinapita Uvinza? Nimepita huko juzi nilipishana na lori 2 TU. Kwahiyo nimezungumzia nilichokiona barabarani.
 
Nimezungumza na Wana Jf watatu watasafiri kuja mbeya hivi karibuni
 
ughonile nkamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…