GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Mkuu, huu ubunifu ni wako? Hakika, wewe ni "kichwa". Hongera sana mkuu. Naamini wengi wataichangamkia hiyo fursa. Sitarajii huu uzi utapata comment za "unapigwa", n.k.Kutakuwa na safari ya kibiashara kwa wajasiriamali wenye mitaji kidogo nchini China mji wa YI WU mwezi wa tatu mwaka
Siyo wafanyabiashara tu, hata wanaopenda kwenda kutalii China hiyo nayo ni fursa.Asante kwa kutoa fursa ya kwenda kwa Mchina.
WAFANYABIASHARA WATANEEMEKA KUPITIA WEWE.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Mkuu, hata kama utajinufaisha kupitia hiyo tripu sidhani kama kuna ubaya wo wote. Bado utakuwa umefanya jambo lenye tija na manufaa kwa wanufaika. Kwa mfano, ukiamua kuchaji kama dola mia moja ya kiingilio kwa kila mwendaji hilo lisingemkwamisha mtu aliye serious. Kwa kifupi, unachokifanya ni kizuri na hata ukiweka ada ni halali.Tuachane na mambo ya ukada tafadhali.. Ishu za exchange rate ni swala dogo sana sina interest na pesa za wajasiriamali hawa.. Ninacho aim ni kitu kikubwa sana ambacho nitakuwa ukombozi kwa wengi
Ningetaka kupiga hela ningepiga kupitia group za biashara za WhatsApp na Telegram kwa kutoza kiingilio kama wafanyavyo wengine.. Mimi watu wanafanya biashara za mamilion bure kabisa bila kutozwa hata thumni
Hizo group pekee zina watu 1500+ ningetaka faida wala nisingekuja Huku hao pekee wangenitosha
Angalia group hili MOJA pekee lina watu 800+ .. Hakuna kiingilio wala kitoleo.. Ningeamua kuchaji 5000 tu kwa mwezi nisingekosa si chini ya 4M kwa mwezi na kwa mwaka 48M+
Nje na tofauti zetu za kisiasa wote tunashare matatizo na changamoto zinazofanana! Nipo kusaidia sio kutengeneza faidaView attachment 2885001
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]Mkuu, huu ubunifu ni wako? Hakika, wewe ni "kichwa". Hongera sana mkuu. Naamini wengi wataichangamkia hiyo fursa. Sitarajii huu uzi utapata comment za "unapigwa", n.k.
NB. Tripu kama hizi zisiishie mwezi March 2024. Ziwe endelevu[emoji120]
Yaani [emoji23][emoji23][emoji23] Halafu walio serious na hii ishu tayari michakato inaendelea..Kila siku utaskia malalamiko ooh wabongo hatupendani,ooh wanaijeria na wakenya wanapeana sana connection,Sasa mwenzetu anataka kuwapa watu exposure Bado wanaleta vimanenomaneno
milion 7 kwa. biashara naweza toboa kwa connection hiyo ya uchina
Uko sahihi mkuuWabongo washamba sqna ukitembea nje ya nchi utajua maana ya utafiti wa biashara
hizi safari hua zipo hata TABWA wali ifanya hii mwaka jana tu hapoUkiitwa kwenye fursa..............................
Kiugumu na malengo mimi nilianza na milion 5milion 7 kwa. biashara naweza toboa kwa connection hiyo ya uchina
Take it easy mkuu! Assume hujaona vile. Unalilofanya lina tija sana. Angalia jinsi ya kuifanya ili iwe endelevu, hata ukiweka kiingilio ni sawa tu.Hivi kwanini umekuwa so negative kwenye hii mada? Una agenda yoyote ya siri? Hakuna niliposema watu wanikabidhi pesa zao mbona?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna shida gani kufanywa fursa ikiwa na wewe umepewa fursa? Hiyo itakuwa ni win - win business. Wote mtanufaika.Kuweni makini mnaweza kufanywa nyie ndio fursa.
✅🙏🙏🙏Acha kudiscourage watu, na siyo Kila mtu anapenda kuonesha waziwazi kama anaunga mkono wazo au lah, wengine ni watu wa kufikiri na kutafakari hoja na kufanya analysis then anachukua hatua ya kimaamuzi. Uzuri hoja/wazo liko very clear na Bado linampa nafasi ya kuexplore zaidi kabla ya kuchukua uamuzi kwa kutake advantage ya timeline ni ya kutosha.
Shukran mkubwaUkiweza twende kuliko kuagiza.. Kumbuka utakayemuagiza ataongeza cha kwake na anaweza kukuletea sub standard.. Pia faida ya kwenda mwenyewe ni kupata connection za direct
Sent using Jamii Forums mobile app
Si vizuri kuwa na mashaka kiasi hicho.Kuna watu watalia ni suala la muda tu
Nahisi Watanzania wanaweza wakawa wanaongoza kwa kuwa na mashaka.Yaani hadi anakera.ungekuwa umesema tutoe hela utuletee vitu ingekuwa habari ingine .hapa unaenda na mtu live.sijui utapeli uko wapi
Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
Umenena kwa hekima! Ubarikiwe sana.BTW watanzania na hususani wajasiriamali walio wengi wamekuwa makini sana na taarifa za mitandaoni hivyo siyo mburura/ignorant kama mnavyowachukulia baadhi yenu. Utapeli wa biashara za china kwa wafanyabiashara hapo kariakoo umewafundisha wengi sana. Si rahisi mtu awe na zaidi ya 5M kwa Sasa ukamtapeli kirahisi. Waliotoa maoni kuhusu tahadhali za kuchukua kutokana na fursa iliyotolewa na Mshana Jr wamefanya vizuri tena kizalendo lakini hawapaswi kubeza idea yake. Watanzania tumekuwa tukitishana juu ya fursa ndo maana unakuta mtu ana kamtaji kake lakini kutokana na vitisho vya wengi anaambulia ama kughairi au kutochukua uamuzi na kutapanya mtaji wake. Tunachohitaji watu wawe wazalendo kwa nchi na watz wenzao, hata kama coordinator atapata chochote nae siyo mbaya ili mradi amewapa watu exposure nao wakapata pa kuanzia. Kwenda China siyo kama kwenda Kizimkazi, unahitaji watu wenye connection na exposure. Naomba tusimkatishe tamaa mleta idea na wale walionza kuhamasika japo tahadhari ni mhimu kwa Kila fursa.
Msitutenge kiasi hicho mkuu!坦桑当局还是中国当局?
😃