GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Na mimi nashangaa! Au watu wanataka "connection" za namna gani?Kila siku utaskia malalamiko ooh wabongo hatupendani,ooh wanaijeria na wakenya wanapeana sana connection,Sasa mwenzetu anataka kuwapa watu exposure Bado wanaleta vimanenomaneno
Malaya wa China bei gani?Kutakuwa na safari ya kibiashara kwa wajasiriamali wenye mitaji kidogo nchini China mji wa YI WU mwezi wa tatu mwaka huu wa 2024 tarehe kumi hivi
Safari itakuwa ya pamoja kwa watu wasiopungua 10 na wasiozidi 20.. Faida ya safari hii ya pamoja
.Kupata barua ya mwaliko kwa bei nafuu
. Kupata tickets kwa bei nafuu
. Malazi ya pamoja ya bei nafuu uwapo huko
. Usafiri wa bei nafuu
. Ukalimani
. Mtandao wa maduka ya jumla makubwa na madogo
.Kupata connection mbalimbali za wafanyabiashara na wazalishaji wa China
. Gharama nafuu za chakula, vinywaji matembezi nknk
. Gharama nafuu na za uhakika za kusafirisha mizigo kurudi nchini..
Hii ni fursa mpya na wale watakaoweza kwenda ndio watafungua pazia kwa wengine huko mbeleni
Yale mambo ya kuagiza online ama kumuagiza mtu na kuishia kutapeliwa sasa yanafika mwisho.. Lakini vilevile kununua kitu kwa picha nayo yamafikia ukomo wake
Nitaweka mawasiliano rasmi kwa wale wote walio tayari.. Dirisha la waendaji litafungwa wiki ya pili ya mwezi February siku ya wapendanao
Nyongeza:
Kwa vijana wasio na mishe naweza kuwapa mizigo ya mali kauli kama wakitimiza vigezo na masharti
Sent using Jamii Forums mobile app
Hunaga baya brotherKutakuwa na safari ya kibiashara kwa wajasiriamali wenye mitaji kidogo nchini China mji wa YI WU mwezi wa tatu mwaka huu wa 2024 tarehe kumi hivi
Safari itakuwa ya pamoja kwa watu wasiopungua 10 na wasiozidi 20.. Faida ya safari hii ya pamoja
.Kupata barua ya mwaliko kwa bei nafuu
. Kupata tickets kwa bei nafuu
. Malazi ya pamoja ya bei nafuu uwapo huko
. Usafiri wa bei nafuu
. Ukalimani
. Mtandao wa maduka ya jumla makubwa na madogo
.Kupata connection mbalimbali za wafanyabiashara na wazalishaji wa China
. Gharama nafuu za chakula, vinywaji matembezi nknk
. Gharama nafuu na za uhakika za kusafirisha mizigo kurudi nchini..
Hii ni fursa mpya na wale watakaoweza kwenda ndio watafungua pazia kwa wengine huko mbeleni
Yale mambo ya kuagiza online ama kumuagiza mtu na kuishia kutapeliwa sasa yanafika mwisho.. Lakini vilevile kununua kitu kwa picha nayo yamafikia ukomo wake
Nitaweka mawasiliano rasmi kwa wale wote walio tayari.. Dirisha la waendaji litafungwa wiki ya pili ya mwezi February siku ya wapendanao
Nyongeza:
Kwa vijana wasio na mishe naweza kuwapa mizigo ya mali kauli kama wakitimiza vigezo na masharti
Sent using Jamii Forums mobile app
Msitutenge kiasi hicho mkuu!
Hata ungeweka tozo mkuu si dhambi! Humlazimishi mtu. Ni biashara kama biashara zingine. Binafsi, nafasi yangu ikiniruhusu, nitaenda hata kama kutakuwepo na kiingilio, ila isizidi dola 400π€£Tuachane na mambo ya ukada tafadhali.. Ishu za exchange rate ni swala dogo sana sina interest na pesa za wajasiriamali hawa.. Ninacho aim ni kitu kikubwa sana ambacho nitakuwa ukombozi kwa wengi
Ningetaka kupiga hela ningepiga kupitia group za biashara za WhatsApp na Telegram kwa kutoza kiingilio kama wafanyavyo wengine.. Mimi watu wanafanya biashara za mamilion bure kabisa bila kutozwa hata thumni
Hizo group pekee zina watu 1500+ ningetaka faida wala nisingekuja Huku hao pekee wangenitosha
Angalia group hili MOJA pekee lina watu 800+ .. Hakuna kiingilio wala kitoleo.. Ningeamua kuchaji 5000 tu kwa mwezi nisingekosa si chini ya 4M kwa mwezi na kwa mwaka 48M+
Nje na tofauti zetu za kisiasa wote tunashare matatizo na changamoto zinazofanana! Nipo kusaidia sio kutengeneza faidaView attachment 2885001
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, ikiwa ana 5m pekee, na endapo itapotea yote haitamfanya afe, aende tu. Kuna faida kubwa sana kushuhudia kwa macho yako kile kinachofanywa na watu wengine huko "dunianai". Kutembea ni shule mkuu. Anaweza asiweze kununua mzigo wo wote lakini katika safari hiyo akapata wazo litakalomletea mapinduzi chanya maishani mwake.Uko sahihi mkuu. kuna watu hawajaelewa biashara ila wamekalili misemo ya mtaani.
cwz kushauri M5 uende China, chukua mzigo hapo ulipo au agiza, nauli ya kwenda China na kurudi ni mtaji.
Mkuu, unaonaje ukaanzisha kampuni ya kushughulika kuwatembeza Watanzania huko "duniani?" Naamini unalimudu hilo hasa ikizingatiwa kuwa umeshaishi nchi kadhaa Ughaibuni.Kutakuwa na safari ya kibiashara kwa wajasiriamali wenye mitaji kidogo nchini China mji wa YI WU mwezi wa tatu mwaka huu wa 2024 tarehe kumi hivi
Safari itakuwa ya pamoja kwa watu wasiopungua 10 na wasiozidi 20.. Faida ya safari hii ya pamoja
.Kupata barua ya mwaliko kwa bei nafuu
. Kupata tickets kwa bei nafuu
. Malazi ya pamoja ya bei nafuu uwapo huko
. Usafiri wa bei nafuu
. Ukalimani
. Mtandao wa maduka ya jumla makubwa na madogo
.Kupata connection mbalimbali za wafanyabiashara na wazalishaji wa China
. Gharama nafuu za chakula, vinywaji matembezi nknk
. Gharama nafuu na za uhakika za kusafirisha mizigo kurudi nchini..
Hii ni fursa mpya na wale watakaoweza kwenda ndio watafungua pazia kwa wengine huko mbeleni
Yale mambo ya kuagiza online ama kumuagiza mtu na kuishia kutapeliwa sasa yanafika mwisho.. Lakini vilevile kununua kitu kwa picha nayo yamafikia ukomo wake
Nitaweka mawasiliano rasmi kwa wale wote walio tayari.. Dirisha la waendaji litafungwa wiki ya pili ya mwezi February siku ya wapendanao
Nyongeza:
Kwa vijana wasio na mishe naweza kuwapa mizigo ya mali kauli kama wakitimiza vigezo na masharti
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhimu ni kujiuliza kama hiyo fursa inakulipa au haikulipi! Kama unaogopa kufanyika fursa kwa mtu mwingine hutaweza kufanya chochote. Binadamu tunategemeana.Ukiitwa kwenye fursa..............................
πππTumia translator mkuu, ni conversation ya kawaida tu...
πππNadhani hii kaka itanipita ila nadhani trip ijayo nipo miongoni inshallah ngoja kwanza nifanye mchakato wa passport
Utaratibu unaandaliwa nitafanya hivyo soonKaka namba ungeweka mapema make App haileti Notifications.
Kama mtu unataka kufanya biashara unashindwa kufanya research na kukata tiketi mwenyewe na kufika maeneo unayoyataka mwenyewe ukaweza fanikiwa kibiashara basi hufai kufanya hiyo biasharaKutakuwa na safari ya kibiashara kwa wajasiriamali wenye mitaji kidogo nchini China mji wa YI WU mwezi wa tatu mwaka huu wa 2024 tarehe kumi hivi
Safari itakuwa ya pamoja kwa watu wasiopungua 10 na wasiozidi 20.. Faida ya safari hii ya pamoja
.Kupata barua ya mwaliko kwa bei nafuu
. Kupata tickets kwa bei nafuu
. Malazi ya pamoja ya bei nafuu uwapo huko
. Usafiri wa bei nafuu
. Ukalimani
. Mtandao wa maduka ya jumla makubwa na madogo
.Kupata connection mbalimbali za wafanyabiashara na wazalishaji wa China
. Gharama nafuu za chakula, vinywaji matembezi nknk
. Gharama nafuu na za uhakika za kusafirisha mizigo kurudi nchini..
Hii ni fursa mpya na wale watakaoweza kwenda ndio watafungua pazia kwa wengine huko mbeleni
Yale mambo ya kuagiza online ama kumuagiza mtu na kuishia kutapeliwa sasa yanafika mwisho.. Lakini vilevile kununua kitu kwa picha nayo yamafikia ukomo wake
Nitaweka mawasiliano rasmi kwa wale wote walio tayari.. Dirisha la waendaji litafungwa wiki ya pili ya mwezi February siku ya wapendanao
Nyongeza:
Kwa vijana wasio na mishe naweza kuwapa mizigo ya mali kauli kama wakitimiza vigezo na masharti
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona nikasema ngoja nisubiri nidadabuliwe zaidi
Ngoja tusubiri maelezo zaidiNimeona nikasema ngoja nisubiri nidadabuliwe zaidi
Ni aina gani ya tyre unayozungumzia hapa?Hapa nilipo ndio asubuh nipo mji mmoja hiv uko kaskazin mashariki ya china karibu na Russia ni barafu tupu. Miaka minne nyuma nilijilipua kufanya utafiti kuna tyre flan za Magar nilikuwa naifuatilia utokaji wake bongo ni mkubwa sana. Nimetoka kuweka order kama wiki mbili zilizopita kabla viwanda kufungwa. Ishu hapa ni mpunga. Ili mchina akupe tenda inakulazimu uweke mpunga wa maana Chin kama Bond. Ili wasimpe mwingine uagent in East Africa. Sasa kwasababu hela ni ndefu by then nikawatafuta wabongo tushee hiyo fursa wakatema. Nikaenda lusaka na Lubumbashi kuna washkaji tuliwah kukutana kwenye huu upambanaji mmoja msomali ana duka lusaka na mmoja mkasai nae ana duka Lubumbashi. Tulichokifanya tumefungua kampuni itakayokuwa na makao yake Dar. Ambayo Mimi ndio naisimamia na Agent mkuu zambia ni msomali na Congo ni mkasai na Mimi nawasuplaia. Imekuwa very simpo na tyre kwa mtindo huo inafaida ya kutosha. Sasa haya yote nawaeleza ili mpate kujua faida ya kutembea. We ukipata fursa ya kutoka usiangalie gharama kuna faida lukuki mbelen. Cku ukiotea viela flan unajua pa kuanzia. Ukiwa unafanya kaz na mtu usiangalie yeye anakupiga kias gan we angalia uwepo wake pale unakusogeza kias gan. Mi kwangu ukiwa mfanyakz wangu kama huna emotional za kaz nakufukuza nahtaji mtu ambae sio mwaminifu sana ila mpambanaji Sana. Kila akikaa ili aibe lazima aivushe kampuni.
Mshara Jr naomba no yako kunakitu naomba tuzungumuze mim na wew nimeshawishika sana juu ya wazo lako hili, mimi nisajili nitakuwa wa kwanz kujiandikishaKutakuwa na safari ya kibiashara kwa wajasiriamali wenye mitaji kidogo nchini China mji wa YI WU mwezi wa tatu mwaka huu wa 2024 tarehe kumi hivi
Safari itakuwa ya pamoja kwa watu wasiopungua 10 na wasiozidi 20.. Faida ya safari hii ya pamoja
.Kupata barua ya mwaliko kwa bei nafuu
. Kupata tickets kwa bei nafuu
. Malazi ya pamoja ya bei nafuu uwapo huko
. Usafiri wa bei nafuu
. Ukalimani
. Mtandao wa maduka ya jumla makubwa na madogo
.Kupata connection mbalimbali za wafanyabiashara na wazalishaji wa China
. Gharama nafuu za chakula, vinywaji matembezi nknk
. Gharama nafuu na za uhakika za kusafirisha mizigo kurudi nchini..
Hii ni fursa mpya na wale watakaoweza kwenda ndio watafungua pazia kwa wengine huko mbeleni
Yale mambo ya kuagiza online ama kumuagiza mtu na kuishia kutapeliwa sasa yanafika mwisho.. Lakini vilevile kununua kitu kwa picha nayo yamafikia ukomo wake
Nitaweka mawasiliano rasmi kwa wale wote walio tayari.. Dirisha la waendaji litafungwa wiki ya pili ya mwezi February siku ya wapendanao
Nyongeza:
Kwa vijana wasio na mishe naweza kuwapa mizigo ya mali kauli kama wakitimiza vigezo na masharti
Sent using Jamii Forums mobile app