Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

Ok
 
Wewe sasa ni wa sita

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetoka kununua mzigo mkubwa kupisha chinese new year mzunguko mpaka mwezi wa 5.,...hizo document zote ninazo na nikisema niemde siendi kujaribu? Ni kununua tu.
Mi nitaenda mzunguko wa pili...may be kuamzia mwezi wa 5
Yaani ungepost mapema singenuunua mzigo mkubwa bile.
Hivi ni soko,la yiwu tu?.
Unasafirisha na cargo gani?
 
Barua ya mwaliko inalipiwa huu utapeli
Kwani kuna shida gani ikilipiwa?
Angalia:
1. Anayekualika si ndugu yako wala hana maslahi nawe ya moja kwa moja. Yeye atake risk bure ya kujifunga kuwa ndiye aliyekualika? Ujue yeye anakuwa kama mdhamini wako ukiwa huko China. Ukivurunda ukiwa huko inaweza kumsababishia shida

2. Vipi na rasilimali zake atakazotumia kama muda, n.k. kukuandikia hiyo barua?

Hata huku Tanzania, watu wanapotaka waandikiwe barua za utambulisho na wenyeviti wa vitongoji n.k, baadhi huwatoza hela ya "karatasi".

"Hakunaga" cha bure mkuu!
 
Na hii ni Platform ya biashara sio chama cha misaada au hisani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi mwenyewe mzee sana tu.
Majina yenu nayafahamu kitambo.

Id yangu ya miaka ya nyuma niliacha kuitumia kwa mwaka nikasahau neno la siri
UNGEWAOMBA MAMODS WAKUELEKEZE KUIFUNGUA HIYO PASSWORD YAKO ULIYOISAHAU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…