msumeno
JF-Expert Member
- Aug 3, 2009
- 2,826
- 1,734
Waungwana niko hapa DRC na leo nimeona ni vyema kushare fursa za kibiashara hapa.. Kwanza kabisa napenda kuwafahamisha kuwa kuwa Mtanzania hapa DRC hasa hapa Goma ni ujiko,, wacongo wanatupenda sana na wanadhani kuwa sisi ni watu waaminifu na wenye upendo na jasiri. kwa haraka haraka hizi ni bidhaa ambazo waweza uza bila kuwa na shaka
1. Khanga ,, akina mama wa ki congo wanapenda sana khanga ukileta utauza
2. Viatu vya kimasai... vyapendwa sana hapa... kwa wale wenye mitaji midogo hapa ni mahala pake
3. Nguo japo wameeanza kwenye China na Dubai , lakini bado wateja wa anguo jina la Tanzania linauza sana ( sijui kwa nini)
4. Mchele hakuna na kama upo si huu wa Tanzania wenye ladha.. na ukiupata bei haikamatiki wanakula akina fulani tu wengi wanjilia huu unaofanana na makande
5.maharagwe ya bukoba na kigoma utauza hapa
6. Alminium windows na door hakuna na ujenzi unaaza kwa kasi sana .. ukiwekeza utavuna pesa.. sijaona dirisha la alminum hapa.
7. Samaki na dagaa hasa wa mwanza -- waliwa sana hasa huko vijijini na Goma ndo soko kubwa
asante sana kwa leo n
1. Khanga ,, akina mama wa ki congo wanapenda sana khanga ukileta utauza
2. Viatu vya kimasai... vyapendwa sana hapa... kwa wale wenye mitaji midogo hapa ni mahala pake
3. Nguo japo wameeanza kwenye China na Dubai , lakini bado wateja wa anguo jina la Tanzania linauza sana ( sijui kwa nini)
4. Mchele hakuna na kama upo si huu wa Tanzania wenye ladha.. na ukiupata bei haikamatiki wanakula akina fulani tu wengi wanjilia huu unaofanana na makande
5.maharagwe ya bukoba na kigoma utauza hapa
6. Alminium windows na door hakuna na ujenzi unaaza kwa kasi sana .. ukiwekeza utavuna pesa.. sijaona dirisha la alminum hapa.
7. Samaki na dagaa hasa wa mwanza -- waliwa sana hasa huko vijijini na Goma ndo soko kubwa
asante sana kwa leo n