Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

Dvprogram.state.gov

Bado siku mbili deadline kufika .

Mwisho wa application za bahati nasibu ya green card /visa ya marekani
Green card lottery/ Permanent residency mwaka jana watz walioombaa ni kama 4,000 lqkini wakenya walioomba ni zaidi ya 300,000 hahaha hatari sana

Tukija kwenye issue za scholarship West african ndio qanaoongoza kwa kuomba...

Inaelekea tz bado tutaendelea kuwa nyuma sana tuna kosa exposure kwa kujifungia ndani kwa kisingizio za "uzalendo"
 
Msaada kidogo wakuu...
Hivi katika uombaji wa passport kwa ajili ya masomo, ni lazima uwe umeshapata admission letter kutoka chuo unachotakiwa kwenda kusoma.
 
Msaada kidogo wakuu...
Hivi katika uombaji wa passport kwa ajili ya masomo, ni lazima uwe umeshapata admission letter kutoka chuo unachotakiwa kwenda kusoma.
hapamna sio lazima, hakikisha una documents muhimu za ku prove kuwa wewe ni mwanafunzi, na uwaambie kuwa unafuatilia scholarship ujiendeleze kimasomo
 
hapamna sio lazima, hakikisha una documents muhimu za ku prove kuwa wewe ni mwanafunzi, na uwaambie kuwa unafuatilia scholarship ujiendeleze kimasomo
Sasa atawezaje ku-prove kama yeye ni mwanafunzi bila ya kuwa na admission letter ya chuo? Au mie ndio sijaelewa.

Changamoto ya upatikanaji wa Passport iliyopo ni kuwa, ukiomba passport kuwa unahitaji kwenda masomoni, wanakuomba admission letter, ambapo kuipata hiyo admission letter inakuhitaji uwe na Passport. Nchi za wenzetu Passport ni kama ID tu, yaani ni haki ya RAIA. Ila kwetu Passport ni kama kutafuta utajiri..
 
Msaada kidogo wakuu...
Hivi katika uombaji wa passport kwa ajili ya masomo, ni lazima uwe umeshapata admission letter kutoka chuo unachotakiwa kwenda kusoma.
Anza kujaza online ... pale dhumuni la safair chagua kusoma.
Andaa

*Nida
*Cheti cha kuzaliwa
* Form Four /six leaving certificate
*Kitambulisho cha uwanafunzi/kama bado upo
chuo.
*Barua ya utambulisho ya unaposoma ukiipata
itakuongezea uzito.
*barua ya utambulisho serikali ya mtaa
*print izo form unazojaza zinazo onesha shemeu
ya kudai passport!
Hzi docs zote nenda nazo na ORIGINAL pamoja na copy
Jielezee kuwa unahitaji kwa ajili ya maombi ya scholarship/sponsorship to further your education.

Nafikiri ukiwa na hivyo vitu hapo juu vitasaidi kuongeza uzito wa ombi lako fasta...
 
Sasa atawezaje ku-prove kama yeye ni mwanafunzi bila ya kuwa na admission letter ya chuo? Au mie ndio sijaelewa.

Changamoto ya upatikanaji wa Passport iliyopo ni kuwa, ukiomba passport kuwa unahitaji kwenda masomoni, wanakuomba admission letter, ambapo kuipata hiyo admission letter inakuhitaji uwe na Passport. Nchi za wenzetu Passport ni kama ID tu, yaani ni haki ya RAIA. Ila kwetu Passport ni kama kutafuta utajiri..
PASSPORT zetu zinatumika hovyo hata majuzi kati wanaija walio hack mfumo qa maombi ya hb1 visa huko ... documents zao wamezifoji waonekane ni wa Tz
 
Fursa ni nyingi, ila ni nyepesi sana kwa waajiriwa wa serikalini...

Kwa mfano kwa sasa kuna online trainings nyingi sana una chagua una taka nini ila ni lazima uwe mtumishi na zote ni moja kwa moja kutoka nchi washirika ktk maendeleo...

Na hizi online zimekuja baada ya kuingia maswala ya Uviko19 na mawimbi yake...

Ingia ubalozi wa uholanzi ktk page yao fb, Indonesia, Germany, UK, China etc utaona watu wanavyo kula maskolaships


Updates:


View attachment 1899696
Hizi watu waliapply kweli ?
 
Nyingi zina wapa kipaumbele waajiriwa wa serikali kuna Hungary, orange huko Holland etc...

Na hasa zinazo pitia ktk mamlaka za serikali... Na hata ambazo hazipitii huko, kwa mfano za ubalozi etc

Kuzipata ni kusoma vigezo na kujua muda wa kutuma maombi...

Pia jifunze lugha za mataifa husika ina saidia, wachina wamechukua wengine kupitia program ya kufundisha kichina ktk vyuo vyetu, wakorea etc...

Kuna fellowships pia...

Mambo ni mengi pambania jifunze kitu kipya, hakuna linalo shindikana...

************************

Kuna magroup mbalimbali huko duniani kwa ajiri ya kusaidiana kupeana mwangaza, ukiona mtz mwenzio ana bana Basi ingia kwa wahindi, Pakistan hawa watu wana saidiana sana sana na wanaingia ulaya kwa wing mno...

Akili kumkichwa....

Check hapa tume kutana watu kutoka mataifa mbalimbali... Watu wenye njaa, hapa thread kupata mrejesho utakesha, tuchangamkie technology



Elon Musk says we need universal basic income because 'in the future, physical work will be a choice'

View attachment 1900661

View attachment 1900662
Mkuu ni muda sasa wa kutupa udates mpya..
 
Anza kujaza online ... pale dhumuni la safair chagua kusoma.
Andaa

*Nida
*Cheti cha kuzaliwa
* Form Four /six leaving certificate
*Kitambulisho cha uwanafunzi/kama bado upo
chuo.
*Barua ya utambulisho ya unaposoma ukiipata
itakuongezea uzito.
*barua ya utambulisho serikali ya mtaa
*print izo form unazojaza zinazo onesha shemeu
ya kudai passport!
Hzi docs zote nenda nazo na ORIGINAL pamoja na copy
Jielezee kuwa unahitaji kwa ajili ya maombi ya scholarship/sponsorship to further your education.

Nafikiri ukiwa na hivyo vitu hapo juu vitasaidi kuongeza uzito wa ombi lako fasta...
Mkuu mimi nimejaza hayo mambo kufika sehemu ya vyeti vya kuzaliwq vya wazazi nikakwama....sijui kama inawezekana bila hivyo vyeti
 
Mkuu mimi nimejaza hayo mambo kufika sehemu ya vyeti vya kuzaliwq vya wazazi nikakwama....sijui kama inawezekana bila hivyo vyeti
Ni lazima iwe na cheti cha kuzaliwa/ affidavit kimoja wapo cha mzazi mmojawapo!
 
Back
Top Bottom