Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
mkuu Dagaa tulizo kuwa tuna peleka ni hizi za mwanza.Ya kweli haya WAKATI Wana ZIWA TANGANYIKA, moto Kongo na mabwawa mengi mengi..
Kuna sehemu ndo Kuna umoja wa soko lao, waki zipenda ni siku hiyo hiyo hata ziwe Lori 10.
ila una weza ziacha, aki patikana mteja una pigiwa simu.
Within 1 month shughuli kwisha.