Fuso mbili za Ng’ombe, Mahari ya Hamisa Mobetto

hamisa mobeto ni single maza watoto 3 kila mmoja na baba yake

anaolewa na rich kid azziz k mwenye 78m salary

kwenye maisha kuna kitu kinatwa bahati

Kama kuna watu wanahonga range kwa huyo single mother, ni nini kinakufanya uamini hamisa kuolewa na aziz ki ni bahati.

Kwangu mimi naona kawaida tu, zaidi ya hizi maneno za mitandaoni. Single mothers wanaolewa hata wakivuka 40 huku mitaani
 

Kila heri kwao
 
Kama kuna watu wanahonga range kwa huyo single mother, ni nini kinakufanya uamini hamisa kuolewa na aziz ki ni bahati.

Kwangu mimi naona kawaida tu, zaidi ya hizi maneno za mitandaoni. Single mothers wanaolewa hata wakivuka 40 huku mitaani
Kikubwa jamaa akitoka kwenye peak ndoa iendelee... the guy is young and foolish, while bi dada is older and strategist, so kheri kwao....

And the to me the only beautiful part about this wedding, wanae wamepata present father figure, they will turn out amazing kama hii ndoa ikidumu kwa uzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…