Wewe ungepewa rungu na ufutio wa kufuta Nchi mbili kwemye uso wa Dunia ungefuta zipi na kwa sababu zipi... Sema tu kwa dhatikwa ulimwengu wa sasa uwezi kufuta nchi.
wewe ona uzi wako wa kutaja nchi za kufuta ugomvi umeanza humu kwenye hatua ya kuzifuta itakuaje!
Tukiambiwa na nani?Ukiambiwa uziondoe Nchi mbili, zisiwepo kwenye uso wa Dunia utaziondoa Nchi zipi?
Dunia mbayo hatuishi kwa kuitafuta pesa.Unatokea Dunia gani Muheshimiwa
N A K A Z I A.Sema Mkuu Kama hauna content au maudhui ni Bora uwe msomji maan unaandika pumba sana sijui ni ugeni wa kuingia JF au ? Hiyo nimekupa constructive criticism
Weka orodha ya hizo nchi.na eneo zinapopatikana.Isije ikawa ni za kuzimu ulizoota hatuwezi kuzifahamu.Ukiambiwa uziondoe Nchi mbili, zisiwepo kwenye uso wa Dunia utaziondoa Nchi zipi?
Acha ushamba boss hakuna mmiliki wa Forum. Ni kama shule tu uliwahi kusoma pale ila badae wakaja vizazi vingine ko usijikute wewe ndo goat wa hiyo shule.Sawa Ila fahamu wewe ni mtoto Mdogo Sana . Hapa Katika hii forum
Ofisaa mbona tukisema neno "Nchi" zinajulikana....au kuna Nchi zingine ambazo zipo Dunia na ambazo ulimwengu watu hauzifahamu utujuzeWeka orodha ya hizo nchi.na eneo zinapopatikana.Isije ikawa ni za kuzimu ulizoota hatuwezi kuzifahamu.
Shukrani sana Kaka kwa kumuelewesha huyo... Yeye anadhani mada humu ni CCM na CHADEMA tuAcha ushamba boss hakuna mmiliki wa Forum. Ni kama shule tu uliwahi kusoma pale ila badae wakaja vizazi vingine ko usijikute wewe ndo goat wa hiyo shule.
Tanzania.Ukiambiwa uziondoe Nchi mbili, zisiwepo kwenye uso wa Dunia utaziondoa Nchi zipi?
USA, NigeriaUkiambiwa uziondoe Nchi mbili, zisiwepo kwenye uso wa Dunia utaziondoa Nchi zipi?
Atakuwa ametokea twitter huyoSema Mkuu Kama hauna content au maudhui ni Bora uwe msomji maan unaandika pumba sana sijui ni ugeni wa kuingia JF au ? Hiyo nimekupa constructive criticism