Sawa kabisa... Ila nae ulitakiwa kumuelimisha kuwa hii ni free platform, na hii ni forum ya Habari Mchanganyiko.Enhe sasa ulivojielezea kwangu hivi ndo ungemuelezea mzee hivo na sio kumshushia matusi na maneno ya dharau.
Dunia tuu hapa tunapita, there's no need ya kusemana vibaya.
Huyo si muhaya mwenzako mkuu 😃Sema Mkuu Kama hauna content au maudhui ni Bora uwe msomji maan unaandika pumba sana sijui ni ugeni wa kuingia JF au ? Hiyo nimekupa constructive criticism
Ukinipa choice yoyote umeshindwa kuniuliza swali.Basi nimekupata vyema... Na mimi nakupa choice yoyote wewe utakayoona inafaa katika muktadha wowote wa kufuta Nchi, futa then unipe na sababu zilizokufanya ufute
Tulia upigwe Ban hapo... Admin wanapitia conversation kuona nani kaanza kutukanaUnalilia nini wewe si ulianza kunitukana, tuendelee na ulicho kianza acha kuomba omba huruma za admn, au hata huku pia huna nguvu mpaka ukapake mkongo ndo uje uanze kutukana.
Mtoto wa kiume unaanzisha ugomvi alafu unakimbilia police huo ni umama.Tulia upigwe Ban hapo... Admin wanapitia conversation kuona nani kaanza kutukana
Ila ulipaniki kidogo. Jifunze kuwa na kifua mitandaoni humu. Yeye hakukupangia ila alitoa tu maoni yake lakini wewe sasa ulienda mbali mpaka kumtukana. Hukuwa na haja ya kufanya hivyo japo ni kweli humu hatufahamiani lakini tabia ya dhati ya mtu hupimwa kwa jinsi anavyowatendea ambao ama hawajui au anaodhani kuwa hawatakaa kuwa na msaada maishani mwake. You are still immature emotionally!Sawa kabisa... Ila nae ulitakiwa kumuelimisha kuwa hii ni free platform, na hii ni forum ya Habari Mchanganyiko.
Vita vya wenyew kwa wenyew tangu watu wanakua mpaka sahizi wanawajukuu.Kwa nini Sudan ofisaa
Emotional maturity ni nzuri kama itaheshimiwa, ila kama utadharauliwa basi Emotional Immaturity itawafaha zaidi... Wao walikuja na jumbe za kunidhiaki na kukashifu content zangu.Ila ulipaniki kidogo. Jifunze kuwa na kifua mitandaoni humu. Yeye hakukupangia ila alitoa tu maoni yake lakini wewe sasa ulienda mbali mpaka kumtukana. Hukuwa na haja ya kufanya hivyo japo ni kweli humu hatufahamiani lakini tabia ya dhati ya mtu hupimwa kwa jinsi anavyowatendea ambao ama hawajui au anaodhani kuwa hawatakaa kuwa na msaada maishani mwake. You are still immature emotionally!
Nimekupata sana bro. Hiyo nayo ni option nzuri maana kuna wakati mtu anakuzonga utafikiri ushamchapia demu wake 😁Emotional maturity ni nzuri kama itaheshimiwa, ila kama utadharauliwa basi Emotional Immaturity itawafaha zaidi... Wao walikuja na jumbe za kunidhiaki na kukashifu content zangu.
Braza kaka, i dont tolerate shit nowdays, ukiwa humble sometimes people take you for granted.
Mimi ukimwaga mboga, simwagi ugali bali nabutua ugali. Mtandaoni kuna bullies nyingi, na mimi swezi kuwa mnyonge, tutakula sahani moja
Bora ufutike wewe mwenye mawazo ya kufuta mamilion ya maisha ya watu ambao hawajakukosea lolote.Yani hakuna chaguo la kukataa... Yani unapaswa lazima ufute nchi mbili kwenye Uso wa Dunia
unabishana na ndugu yako? Ni mhaya mwenzako huyoWewe ndio mshamba... Uelewi maana ya Forum, na social media platforms... Humu kila aina ya mada zinawekwa as long as hazivunji sheria na sera ya Jamiiforums
Wewe ukitaka mada za kuumiza Vichwa, tafadhali nenda kwenye majukwa ya Siasa huko, ukabishane kuhusu CCM... Sisi tuachie tupige stori tunazozipenda... Mimi sio Albert Einstein au Isaac Newton kukupa Uzi wa Maarifa... Kama maarifa hukuyapata shuleni shauri yako. Nenda kwemye Forums zenye hayo mambo, ni haki yangu kuweka mada ninayoitaka, tusipangiane tafadhali..